Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Raisi Samia katoa kibali cha ajira 400 Kwa walimu wa biashara ambao watatumia mtaala mpya katika kufundisha masomo ya biashara lengo kubwa ni kutatua tatizo la ajira je 1.wahitimu wa hayo masomo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TPA kuwapunguzia tozo/gharama ya uhifadhi mizigo waathirika janga la ghorofa Kariakoo Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) itawapunguzia gharama za uhifadhi...
1 Reactions
0 Replies
175 Views
Mfanyabiashara Saidi Lugumi ( @lugumisaidi ) hapo jana November 23 ameendeleza utamaduni wake wa kusaidia Watu wenye mahitaji kwa kujumuika na Watoto yatima wa Vituo vitano nyumbani kwake Masaki...
2 Reactions
1 Replies
745 Views
Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa Nchini Nigeria, Sio kwenye Private Jet yake anayoimiliki wala sio kwenye Business Class ya Commercial Airline bali maiti yake imerudishwa kama Cargo...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Kwa miaka mingi usafiri wa anga wa kiraia wa Urusi umekuwa ukitegemea ndege na baadhi ya vipuli muhimu kutoka nje ya nchi kama Boeing na Airbus. Anga ya kirusi ilijaa ndege za kigeni, zikiondoa...
1 Reactions
0 Replies
200 Views
Brother/Sister Acha kuchezea sadaka za watu :Ni sadaka ya Muda :Ni sadaka ya Nguvu :Ni sadaka ya Fedha :Ni sadaka ya Damu :Ni sadaka ya Akili na Hisia :Usichokifahamu ni kwamba kila mwanamke ni...
3 Reactions
2 Replies
167 Views
Ninayeandika hapa si mhanga wa ajira baada ya kumaliza chuo kikuu , maana hamchelewi kusema stress za unemployment zinanichanganya. Nina elimu ya university mwenye shahada ya Usimamizi wa...
0 Reactions
2 Replies
285 Views
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), George Ķatabazi amesema sekta binafsi bado ni changamoto kwenye kutoa elimu kwa Wafanyakazi wao na jamii...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
IBADA YA KWELI KWA MUAFRIKA NI TAMBIKO TU. Tambiko ni ibada yenye asili ya Afrika.Katika tambiko muombaji hufikisha haja yake kwa mungu kupitia sadaka za kuchinja,kuteketeza mali na mengineyo...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Niende moja Kwa moja, Kwa pongezi zangu Kwa baadhi ya viongozi wa dini Kwa KUSIMAMIA HAKI hasa kipindi hiki Cha uchaguzi, Mungu awabariki Ila kuna baadhi ya viongozi wa dini wenyewe wanasubiri...
0 Reactions
1 Replies
122 Views
Kuna muda huwa nawaangalia wazee na watu ambao umri umekwenda huwa najiuliza huwa wanatuonaje vijana , siku hizi starehe nyingi na wao nadhani baadhi wanazipenda nyingine zinawashangaza . Simu...
5 Reactions
11 Replies
264 Views
Kwa uzoefu wangu wa kuishi na watu mbalimbali nimegundua hivyo. Je, kuna ukweli wowote?
2 Reactions
17 Replies
325 Views
Wahubiri wa imani ya kikristo mna matangazo yenu ya mikutano na ahadi ya kuwaita wagonjwa waje kupata uponyaji wa kimiujiza. Hakuna hata rekodi moja mlimponya mtu aliyekatwa mguu au mkono! Huyo...
17 Reactions
114 Replies
2K Views
Islamophobia ni nini? Na nini haswa lengo lake? Kiufupi, Islamophobia ni hofu dhidi ya mafundisho ya kiislamu. But, kabla hatujaendelea kuna kitu cha maana sana cha kujiuliza, kwann watu wawe...
9 Reactions
17 Replies
545 Views
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme 👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi? 👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki Mifano...
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi...
1 Reactions
15 Replies
867 Views
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai 1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo...
19 Reactions
183 Replies
4K Views
Hamsini ya noti Wakongwe hii ilitumika mwaka gani? Na vitu gani ulikuwa unaweza kununua?
2 Reactions
4 Replies
293 Views
Sina shaka na ufahamu wa umasikini alionao Rais juu ya uchumi CV yake inaonesha amesoma Economic Development. Naamini alikuwa anawachezea shere wahariri kwa kuwachanganya kidogo, bahati mbaya...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Back
Top Bottom