Kwanza nitoe pole kwa wahanga na tukio na nchi yote kwa ujumla. Kumekuwepo na kelele nyingi mitandaoni Kutokana na zoezi Zima la uokoaji(Rescue mission), kelele(banters) hizi zikihusisha ukosefu...
Wakuu naileta kwenu miji hii miwili ili kusaidia vijana watafutaji kuifaham vizuri.
Uyole ni mji ambao ni sehemu ya jiji la Mbeya
Katoro ni mji ambao ni sehem ya halmashaur ya Geita Dc.
Je...
I love that song badly,
but I am completely not accepting the style of Joseph Mbilinyi unreached politics, specifically in mbeya town constituency.
Alistahili kuwa mbali zaidi, lakini pia more...
Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.
Sasa unaweza kuta michoro...
Mungu awe nanyi nyote.
Nikweli kwamba hatuwezi fanana kwa kila kitu wala kupangiana vitu vya kufanya.
Sasa kuna hawa watu yaani unakuta analalamikia kitu hadi unauzika ukimwambia achana nacho...
wakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana...
Sijawahi kuelewa kwa nini kuna watu wanasema mungu ni mmoja ila duniani kuna dini nyingi mbalimbali tofauti kila moja ikiwa na maelezo tofauti kabisa kuhusu mungu.
Habari wanajamii.
Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.
Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui...
Rais wa Kenya William Ruto, ameagiza kusitishwa kwa kandarasi ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa JKIA na ya nishati iliyopewa kampuni ya Adani kutoka India.
“Nilishawahi kusema huko nyuma, na...
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.
2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.
3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.
4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na...
Habari Wakuu
Binafsi nasumbuliwa sana na mende Nyumbani kwangu, kiasi kwamba wamefikia hatua ya kula chochote kilichopo mbele yao mfano chakula, matunda, na hata nyanya, karoti
Lakini cha...
Hebu nenda kwenye makaburi ya umma ya wakristo utarudi nyumbani na kusema asante Mungu.
Kumbe watanzania wengi hatutoboi 70,Yaani narehemu wengi ni miaka 50 kushuka chini,
Kwa mujibu wa sensa...
Kijana mmoja anayeitwa Kimario amekutwa na ndoo 6 za kinyesi, chupa sabini za mkojo ndani Arusha, ushirikina watajwa
=====================================
Depression - hali hii humpata mtu yeyote...
Wakuu habari,pasi na shaka wengi wetu tumewahi kuhudhuria kwa mganga/waganga wa kienyeji kwa shida mbalimbali za miili yetu na maisha kwa ujumla.Nishee nanyi visa/madhira niliyowahi kuvisikia toka...
Habari za asubuhi wapendwa
Leo ni siku ya Jumamosi ingawa sijachelewa na pengine una kadi za harusi kadhaa zingatia haya
Ukumbuke kadi za harusi kwenda harusini
Ukienda harusini hakikisha...
Niende madani, hivi mna habari kuwa Yesu anakuja/amekuja kutokea Korea kusini?
Wengi mlikariri atakuja kupitia Israeli, ila amekuja kupitia S Korea.
Je, Wayahudi wataamini au watamkataa kama...
Wakuu naomba mnipe ufafanuzi kidogo juu ya mawingu ya mvua kwani kila nikijiuliza maswali kadha wa kadha juu ya mawingu sipati majibu.
Yafuatayo ni maswali ninayojiuli kila ninapoangalia angani...
Timu za Uokoaji tarehe 23, Novemba 2024 zimeendelea na kazi ya kuondosha Vifusi na Mizigo kufuatia kuporomoka kwa Jengo Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Picha kwa hisani ya Zimamoto.
Kuhusu ajali...
Wakuu naomba mnijuze vipindi vya Crown FM Radio na watangazaji wa vipindi hivyo maana kuna jamaa anaisifia sana hiyo redio.
Tangu Crown FM ianzishwe sijabahatika kuisikiliza zaidi ya kuambiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.