Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
👉Mara nyingi, "sheria" ambazo hazija andikwa (Un-Written Laws), ndio huwa zinakuwa zinafanya kazi katika uhalisia kuliko sheria ambazo zimeandikwa. 👉Mimi huziita sheria za asili ama kanuni za...
6 Reactions
12 Replies
881 Views
Zacharia alizaliwa mwaka 1956 na kufariki mwaka 2021.apumzike nimemkumbuka kwa ushujaa wake 👉Harakati za uanajeshi tangu mwaka 1973-1982 👉Kifungo cha maisha jela 1982-1995 Baada ya jaribio la...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Aisee sijui shida nini wakuu mpaka leo watu tunaotumia NMB mshahara haujaingizwa au nyie wengine mshahara mmepata? Au umeingizwa?
5 Reactions
30 Replies
907 Views
Asili ya hizi Dini Mbili. Tumsikilize ndugu yetu akituelezea hapa kwa logic kabisa. Bila kupepesa macho.
1 Reactions
0 Replies
108 Views
Admins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.
6 Reactions
22 Replies
606 Views
Mwijaku ametoa kilio chake kuhusiana na kodi ambapo amedai yeye kama influencer anaingiza Milioni 3 kwa siku lakini hajapata utaratibu wa kulipa kodi. hivyo amemuomba Rais Samia kuwapatia...
2 Reactions
4 Replies
316 Views
- Hili ndo' sakata la 'wanted man' wa Uingereza na kupotea kwa wanawake wawili huko mji wa Aba, Nigeria. Mwezi ulopita, mkuu wa jeshi la Polisi la Nigeria, IGP Kayode Egbetokun, hakuwa na namna...
17 Reactions
43 Replies
3K Views
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65) Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso: "Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza...
11 Reactions
75 Replies
1K Views
Anonymous (228a)
Vodacom wamekuwa na makato yasiyoeleweka kwa mawakala wa mitandao ya kifedha hasa mkoa wa Mbeya, inapokaribia mwisho wa mwezi wanakata pesa kwenye faida ya wakala ambayo angeipata, ukiwapigia na...
0 Reactions
2 Replies
277 Views
Surah Al-Ankabut (29:14): "Na kwa hakika tuliwatuma Nuhu kwa watu wake, naye akakaa nao miaka elfu kasoro hamsini. Kisha tufani iliwakamata, nao walikuwa madhalimu." Halafu mtu akiishi miaka 100...
3 Reactions
11 Replies
220 Views
Jana wakati nipo nimekaa wakaja walokole 5 na mgeni 1. Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua. Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze...
5 Reactions
17 Replies
505 Views
Wakuu inaumiza, inakoroga na kukata maini kabisa. Fikiria kwanza vyoo vya umma vinavyoshughulikiwa kila baada ya dakika 6. Masizi, michanga, matope na chembechembe za vinyesi zinayotapaa pale...
2 Reactions
12 Replies
434 Views
Wakuu hii nchi ingekuwa na watu kama huyu proton pump aisee nchi ingesonga mbele itoshe kusema huyu jamaa ngoja nimpe maua yake hata kabla hajafa mwisho nakaonekana mnafiki jamaa ana madini sana...
2 Reactions
13 Replies
501 Views
Ndio hivyo dunia ianze kujiandaa Kwa Mambo mapya na Kwa maana hiyo vijana Someni Sayansi na Teknolojia Mshauri mkuu wa Rais wa Marekani amesema anatengeneza Mfumo wa kuwawezesha Watumishi wa...
3 Reactions
54 Replies
1K Views
Waswahili wanasema sikio la kufa halisikii dawa. Ndivyo walivyo baadhi ya wanaume ni kenge haswa kusikia kwao Hadi Damu masikioni iwatoke. Hapo Sasa ndo ataanza kushituka. Ukweli ni kwamba...
1 Reactions
4 Replies
276 Views
Anonymous (13a3)
Kwanza nianze kwa kuwapongeza JamiiForums kwa kazi nzuri mnayofanya ya kubadilisha mwenendo wa nchi yetu, kazi kubwa inafanyika na mabadiliko yanaonekana, pongezi kwa hilo. Hivi karibuni niliona...
0 Reactions
1 Replies
555 Views
WASANII 200 SONGEA WAPATIWA MAFUNZO UZALISHAJI WA FILAMU BORA Bodi ya Filamu na Michezo ya kuigiza Tanzania (TFB) imeendesha mafunzo kwa wasanii 200 wa tasnia ya filamu wa manispaa hiyo ili...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Usiku wa kuamkia leo Novemba 24, 2024 nilifika kwenye Kituo cha Afya ambacho ni Zahanati ipo Kitunda (Dar es Salaam), palepale Kitunda Mwisho ambapo Dadalada zinageuka. Nilipofika hapo wameandika...
3 Reactions
8 Replies
436 Views
Wakuu!! Huwa sielewi tulichukua mkopo {company} ilitudhamini mkopo wa muda wa miaka6. kuna baadhi ya wafanyakazi waliacha kazi baada ya pesa zao kuzitumia divyo sivyo na kwa maelezo yao walidai...
1 Reactions
6 Replies
601 Views
Wengi wetu leo hii ukimwambia unataka Mungu akupe nini atakwambia pesa/utajiri. Hata ibada nyingi kwenye haya makanisa binafsi ya mitume na manabii maombi makubwa ni Pesa! Mali! Utajiri. Mfalme...
2 Reactions
2 Replies
242 Views
Back
Top Bottom