Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari zenu JF Mimi nilikuwa Nina ushauri ..kutokana na Hali ya uchumi nchini kwanini Hela zisitengenezwe nyingi afu watu wapewe Kila mtu akawa na hela nyingi zingine tukalipa madeni ya nchi...
4 Reactions
9 Replies
311 Views
Mwaka 2013 nilipata kazi kwenye kampuni moja katika branch yake Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu, sasa basi maisha yalianza kwa kufanya kazi kwa sababu sikua najua chochote ilibidi nijifunze kupitia...
33 Reactions
67 Replies
7K Views
Wazungu pamoja na kwamba tunaona ni wastarabu na ndio walituletea ustarabu lakini upande mwingine wa shilling mambo mengine wafanya kama hamnazo na jaribu kuainisha na wewe uandike zako. Mfano...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Wahenga walitufunza kwamba Heri kukinga kuliko kutibu na wakasisitiza Usipoziba Ufa Utajenga Ukuta Hakunaga Kipindi Vijana wamekuwa wakitukana viongozi kama awamu ile ya 4 na5 Nasi wengine...
14 Reactions
51 Replies
709 Views
Bilion moja kwa matajiri sio kitu kikubwa Ila kuitafuta Bilion kwa watu wenye maisha ya kawaida kupata bilion moja sio rahisi hata kidogo. Kama unabiashara au unalipwa mshahara na kufanikiwa...
42 Reactions
169 Replies
5K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote. Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada...
38 Reactions
312 Replies
10K Views
UHURU UNAOPIGANIWA NA WACHACHE HUWANUFAISHA WACHACHE. UHURU UNAOPIGANIWA NA WENGI HUWANUFAISHA WENGI. Anaandika Robert Heriel Mtibeli Viongozi wanakula Sana. Viongozi wanajipendelea Sana...
3 Reactions
0 Replies
123 Views
Kuna utani wa kitaifa kuwa huwezi kumtenganisha Mnyakyusa na tunda la parachichi. Huu ni utani usioumiza unaokaribiana na ukweli kwa sababu parachichi ni tunda pendwa kwa watu wa jamii ya...
2 Reactions
8 Replies
550 Views
Hata tatizo la low sperms count pata hii mixture special juice! Let mrejesho hapo! Kunywa kila jioni kabla ya kulala, achaneni na matapeli.
2 Reactions
6 Replies
274 Views
Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita. Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo...
33 Reactions
264 Replies
12K Views
Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana. - Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta - Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu...
44 Reactions
280 Replies
11K Views
Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
15 Reactions
170 Replies
4K Views
Ile video iliyokuwepo hapa two hours ago ya yule yaya anamtesa toddler nimeipeleka Polisi. Polisi wameonyesha interest lakini wanasema Afande amekwenda weekend,nirudi Jumatatu.
2 Reactions
18 Replies
734 Views
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa...
10 Reactions
108 Replies
4K Views
Samia yuko Morogoro, time to trigger Hawa wa mitaa waungane hapo Dodoma?
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Yaani kuna saa uki observe namna maisha yanavyokwenda, whether unaishi Africa au wherever. Kama umebahatika kuwa na familia yenye mke na watoto, kuna saa huwa unajiuliza ya kwamba, kama nitakuwa...
2 Reactions
9 Replies
441 Views
Baadhi ya wanawake ni vichwa mwenge, Huna biashara yoyote halafu unacheza KIBATI sasa utapata wapi pesa ya marejesho kama sikufungua milango ya ufisadi?
1 Reactions
17 Replies
503 Views
Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda Sasa mnaishi maisha ya kutupwa...
9 Reactions
42 Replies
840 Views
Habari za majukumu Waziri Mteule wa Habari, Sisi wananzengo, tunakuomba ukishaapishwa tu, jambo la kwanza la kutilia mkazo katika vipaumbele vyako ni Internet ya Elon Musk. Tunaomba Star Link...
1 Reactions
32 Replies
1K Views
WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA (SANA SANA DMO's na DEO's) WAMEKUWA KIKWAZO KWENYE ZOEZI ZIMA LA UHAMISHO WA WATUMISHI KWA KISINGIZIO CHA KUTOKUWA ORIENTED NA MFUMO MPYA WA HUDUMA YA UHAMISHO WA...
11 Reactions
53 Replies
7K Views
Back
Top Bottom