Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (4a32)
Wananchi wa Vijiji vya Simambwe, Shibolya, Usoha Njiapanda, Ilembo Usafwa na Galijembe vilivyopo Kata ya Tembela, Wilaya ya Mbeya, walilazimika kuchangishwa michango kwa ajili ya ujenzi wa Kituo...
0 Reactions
1 Replies
412 Views
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
17 Reactions
119 Replies
3K Views
Salaam,Shalom!! Imeandikwa ( mithali 16:1), maandalio ya moyo ni ya mwanadamu, Bali.... Pana mtumishi mmoja pia aliwahi kuimba kuwa, Ibada huanzia nyumbani. Sasa TOBA, msamaha, utakatifu wa...
2 Reactions
12 Replies
404 Views
Habari ndugu wana JF. Kama mada inavyosema. BInafsi nina mpango wa kufanya safari nje ya mipaka ya Tanzania 🇹🇿 kwa njia ya basi kwenda nchi za Sadc na Eac kwa dhumuni la kutalii(Kutembea). Tayari...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari. Harafu baadae tutaenda kutengua na kubadilisha Waziri tena. Ndiyo maana hakuna ufanisi. Sijui vetting huwa inafanyikaje huko jikoni? Pia soma: Dkt Faustine Ndugulile...
1 Reactions
13 Replies
754 Views
Ukipita njia ya Vingunguti, Tabata, Tandale na maeneo mengine kumekuepo na ongezeko kubwa sanaa la vituo vya mafuta. Je, tathimini imefanyika vya kutosha kabla ya kutoa vibali? Je, tunasubiri...
4 Reactions
6 Replies
234 Views
Kuna maswali mengi muhimu ya kujiuliza kwenye hii biashara ya vituo vya nafuta mpaka inakimbiliwa na karibia kila mfanyabiashara? Je magari yameongezeka sana nchini? Je kumekuwa na urahisi wa...
6 Reactions
10 Replies
570 Views
Kuabudu milima miamba maziwa nk, wengi ma traditional Africans waliitwa au "branded' kama washirikina au pegans, ila kuwasha mshuma nyakati za mchana jua kali na kuabudi sanamu ambao zimetegenezwa...
5 Reactions
62 Replies
1K Views
Taarifa iwafikie Idala ya Maji safi na maji taka mkoa wa Mbeya. Hivi huwa mnautaratibu wa kukagua chemba za maji taka hapa jijini maana mji mzima umekuwa ukinuka harufu ya maji taka. Mwanzo...
6 Reactions
9 Replies
737 Views
Wakuu, Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani? Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi? Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia...
13 Reactions
173 Replies
3K Views
Habari wakuu, Nahitaji kuanza kuhudhuria jumuhiya za kikatoloki Mwenge. Mimi nasali Kimara kwa sababu zangu binafsi itanibidi nisali Jumuhiya za Mwenge kila Jumamosi. Kwa mwenye uzoefu hizo hizi...
1 Reactions
7 Replies
265 Views
Anonymous (7b52)
Ucheleweshaji wa Pasipoti: Changamoto na Maswali Yasiyojibiwa Mnamo tarehe 23 Septemba 2024, nilikamilisha hatua ya kwanza ya maombi ya pasipoti ya kawaida kwa kujaza fomu namba 24ER-Y091-Q020 na...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Habari za siku mbili tatu wakuu na wananzengo hapa jukwaani? Hi video ni ile ya uchaguzi Mkuu 2020 nimeitumia hapa kutaka kusema kitu kuhusu hizi chaguzi Unajua kwa kawaida kabisa ni wazi...
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Dola bilioni 16.9 zinahitajika ili kutatua janga la njaa linalozidi kushamiri duniani, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP hii leo, kiwango cha fedha ambacho...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Moja Kwa moja niende kwenye hoja kuna hili suala mtu Anaapa kwamba hatakuja kunywa smart gin ila k vant na konyagi anabugia kama kawaida. Nataka nijuzwe spirit kama spirit hizi zenye ethanol na...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Aslaam, Kuna jamaa hapa amepigwa tukio na mtu wake wakaribu. Alimkopesha ela ila alimtumia kupitia mtandao wa simu. Jamaa baada ya muda saana amemgeuka, amemwambia hajawahi kukopa ela kutoka...
3 Reactions
11 Replies
542 Views
Naombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!! Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu. Sasa jamaa yetu amekuwa...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Kukubali kuchukuliwa bila kuacha taharuki na kuwajulisha raia eneo hilo kuwa unakamatwa na watu wasio sahihi. Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni...
65 Reactions
116 Replies
47K Views
Juzi kulitokea ajali ya bus mbeya, watanzania wenzetu wakafariki na wengine kuumizwa vibaya. Jana napo imetokea ajali ya bus mbeya na kuua watanzania kadhaa. Leo napo morogoro kuna ajali ya bus...
3 Reactions
11 Replies
288 Views
Mwili wa aliyekuwa Mwanachuo wa chuo cha Sokoine University of Agriculture (SUA) Magreth aliye hitimu mwaka huu mwezi wa 11 tarehe 26 waokotwa katika mashamba ya chuo hicho. Magreth alipotea...
10 Reactions
226 Replies
27K Views
Back
Top Bottom