Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Samwel Anthony (34) mkazi wa kijiji cha Shilima wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 8. Hukumu hiyo imetolewa jana tarehe 20...
2 Reactions
1 Replies
242 Views
Wadau kuna mwamko mkubwa sana sasa hivi wa vijana kupenda kufanya mazoezi barabarani, tena barabara kuu kiholela🙆🏾‍♀️ Hili siyo sahihi na ikitokea bahati mbaya lori likapoteza brake maafa...
4 Reactions
4 Replies
188 Views
Anonymous (06bd)
Katika kata ya Ubungo Makubuli baadhi ya vijiji vyake ikiwa Kibangu, Wanaichi kwa wiki tatu sasa wamekosa huduma ya Maji kutoka DAWASA hivyo kupata shida na kuhofia mlipuko wa magonjwa na hawana...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
Hawa jamaa nadhani walitakiwa pale ghorofani ili wafanye jambo la muhimu sana, sijawaona, au ratiba zimewabana?
8 Reactions
26 Replies
665 Views
Anonymous (319e)
Kumekuwa na shida sana kwenye Namba za Huduma kwa wateja kwenye baadhi ya Wizara za Serikali, kama namba ya huduma kwa wateja Wizara ya Ardhi , mwananchi unapata shida ili upige simu upate msaada...
0 Reactions
1 Replies
234 Views
Anonymous (b84c)
Machinjio ya Kimara yanatupa wakati mgumu majirani. Maji yanoyotiririshwa kwenye mitaro yanafanya uchafuzi wa hali ya hewa. Serikali iangalie upya suala hili
1 Reactions
1 Replies
124 Views
TAARIFA YA TUKIO KUBWA KWA KIREFU KGD/IR/4422/2019 KOSA MAUAJI MTOA TAARIFA NI SP THOBIAS WALELO MKUU WA UPELELEZI WILAYA YA KIGAMBONI Anaeleza kuwa mnamo tarehe 15.07.2019 majira ya saa...
23 Reactions
565 Replies
87K Views
Wakuu, poleni kwa janga la Kariakoo. Mungu awarehemu waliotangulia, majeruhi wapate nafuu mapema na ambao bado wapo katika kifusi wapate kuokolewa wangali hai, Amen! Kama mtakumbuka vyema...
15 Reactions
93 Replies
3K Views
Nilikuwa natafakari hali ya maisha hapa nchini. Siku moja nilisoma mitandaoni kwamba kuna polisi kule Mtwara alijinyonga baada ya kutuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara mmoja. Nimewahi kusikia...
4 Reactions
23 Replies
664 Views
Habari za usiku wakuu! Kuna mtoto wa miaka 10 amekutwa amejinyonga chumbani kwake hapa Buguruni. Maelezo ya kina hayajapatikana ila kwa maelezo ya awali ni kwamba mtoto katoka shule mida ya saa...
16 Reactions
110 Replies
5K Views
MFANYABIASHARA Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mavili ya mkaa, amedai katika maelezo yake ya onyo kuwa kichwa cha mkewe...
7 Reactions
128 Replies
10K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Kariakoo muda huu kwa ajili ya kujionea hali halisi ya zoezi zima la uokoaji ambao unaendelea na kuzungumza...
1 Reactions
4 Replies
354 Views
Kwa nini watoto hulia? Naamini kwamba tukiwachukua akina mama kumi wenye watoto wadogo na kuwauliza ni sababu zipi zinazopelekea watoto wao kulia watataja vitu kama; njaa, kutaka kunyonya...
2 Reactions
2 Replies
434 Views
Tokea ajali itokee mmefunga mitaa karibia minne hadi sehemu ambazo zipo mbali kabisa na ile ajali mmewaamrisha watu wafunge maduka. Ni kweli tunamajonzi kuwapoteza ndugu zetu ila kazi lazima...
4 Reactions
8 Replies
352 Views
Copy and Paste kama ilivyokutwa; "Moyo wangu unavuja damu kuhusu binti yangu wa kwanza Maria Izidory Petro ambaye alikuwa anasoma Chuo, Institute of Tax Administration kilichoko Dar es Salaam...
12 Reactions
78 Replies
3K Views
Kwa Tanzania naamini kabisa Tunaweza tukapata https://www.jamiiforums.com/threads/wazo-huru-ppps-ya-tanesco-na-wamiliki-wa-nyumba-tanzania-133-2-gigawatts.2265053/']Nishati kwa Bei nafuu bila...
1 Reactions
11 Replies
498 Views
Tabia ya kuwa na hasira,hii ni tabia ambayo baadhi yetu tunayo,inaweza kukuondolea kujiamini wewe binafsi,na unaweza kuwafanya watu wawe mbali na wewe Tabia ya kuwafikiria wengine vibaya,yani...
2 Reactions
0 Replies
197 Views
Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma, na hata mijini, kwenye hii...
15 Reactions
45 Replies
2K Views
Naipongeza serikali ya Tanzania kwa jitihada ilizoonyesha kwenye janga la wafanyabiashara wa kkoo wamejitahidi sana nawapongeza kwa hilo ila baadhi ya vitu haviko sawa:– Majeruhi wa kkoo hawako...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia Kituo chake cha Kikanda cha Umahiri katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani Zanzibar (ZARTSA) kimetoa...
0 Reactions
1 Replies
310 Views
Back
Top Bottom