Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Yaani unapanda chuma hadi unasikia raha ndani kuna A/C, USB port, azam TV na bus zao kwa kweli nyingi au zote ni mpya na nzuri na safi. Ukija kwenye jambo la mwisho zuri zaidi kwa sisi wenye...
11 Reactions
27 Replies
848 Views
Pumzika mpambanaji Honorath Godfrey Makoi ulikuwa na ndoto nyingi sana. Msiba uko nyumbani kwake Swaswa. Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma. 1. Chako ni Chako 2. GM Sport & Bar...
39 Reactions
512 Replies
30K Views
Nimepita katika pitapita zangu mitandaoni, pale mjini Instagram nakutana na page inayoitwa @samia.app nikawa natazama ajali ya kariakoo ambayo bwana Alikiba alikuwa anahojiwa na page hiyo ya...
2 Reactions
59 Replies
1K Views
Wakuu Bwana ni mwema!! Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja. Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika...
16 Reactions
245 Replies
4K Views
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Suleiman Serera serikali haitamfumbia macho yeyote atakayechezea Sekta ya Mkonge kwa namna yoyote kwani sekta...
0 Reactions
5 Replies
233 Views
Idadi ya watu kuongezeka inapelekea kukutana na kashikashi zitokanazo na Joto la Dar kwa sababu linapunguza NGUVU za KIUME kwa maana ya kukosesha hamu ya kufanya mapenzi na hivyo kupelekea tendo...
5 Reactions
17 Replies
431 Views
Mazingira ya choo kwa ajili ya Abiria kwa Wanawake katika Kivuko upande wa Magogoni hayana privacy’ na pia kuna muda hakuna usalama kwa watumiaji hasa wakati wa Usiku. Kero ya kwanza, wakati wa...
3 Reactions
5 Replies
414 Views
Naomba mnaojaribu kujiunga na izi biashara za forex muwe makini, sio kila kitu online ni cha kuamini
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Moja ya vitu vya kijinga kabisa mwanaume anaweza kufanya, ni kutumia pesa ili kumvutia mwanamke. Matumizi yako ni kiherehere kitakachosahaulika dakika chache baada ya senti zako kukauka. Badala...
6 Reactions
15 Replies
497 Views
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za vijana watano wanaodaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu mwisho wa mwaka 2021. Kamanda Jumanne Muliro...
16 Reactions
237 Replies
24K Views
Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu. Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Naweza kusema TANESCO hamna uzalendo kabisa kwanini mnakata UMEME kwenye tukio kubwa la kitaifa kama Hilo. Meneja TANESCO SHINYANGA mbona hana uzalendo. Ni aibu kubwa sana.
1 Reactions
9 Replies
201 Views
Mpaka mjirekebishe ndiyo nitaacha kuwasakama. Halmashauri ya Jiji la Mbeya kama inawezekena badilisheni mfumo wa kukusanya taka au tafuteni kampuni nyingine ya kukusanya taka. Hawa JKT wamefeli...
0 Reactions
2 Replies
404 Views
Palikuwepo Kanisa la TAG pale Msimbazi roundabout, sijajua lilikoishia ila Sasa Kuna Flemu za maduka Labda ndio sababu Kariakoo Shetani anatamba tu kwa sababu Imeandikwa " Watu wangu wanaangamia...
6 Reactions
17 Replies
372 Views
Nilikuwa sina internet kwa muda mrefu, naomba kujuzwa kuhusu hawa vijana waliopotea mwanzo wa mwaka huu kama walipatikana? Pia, soma...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Ally Kiba Awasili Kariakoo @ Wasanii tujifunze kitu kwa huyu mkongwe kwenda kutoa msaada Na siyo Kutupigia Kelele kwenye mitandao😭 Ukiwa kwako Ukiomboleza Chumbani kwako😭 Tufanye Vitendo 😭😭😭
7 Reactions
53 Replies
1K Views
Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saa nne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa...
7 Reactions
47 Replies
1K Views
Watu wa magari au wenye uelewa na hizi namba za magari mtueleweshe kwanini hiyo herufi huwa haipo kwenye mtiririko wa usajili au plate number? Nimezoea kuona magari yenye namba za usajili kama T...
2 Reactions
7 Replies
334 Views
𝗦𝗜𝗥𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 Maisha yanaweza kubadilika kwa sekunde tu, kutoka kupambania rizki mpaka kupambania uhai yaani hakuna ajuaye nyakati hizi maana kila kitu ni ndani ya dakika tu kinachukua sura...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Maji haya yalifika kwa wingi mkoani kwetu Geita mwaka 2019. Sasa naomba kufahamu kwa matumizi ya kupikia yako salama kweli? 👉Na hayo mapovu meupe ni chemical gani ambayo imetumika? Maana...
3 Reactions
22 Replies
824 Views
Back
Top Bottom