Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza nyumba ya familia ya Bibi Maria Kaudidi Mkazi wa Kijiji cha Urauri Kata ya Rea Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro nakuicha familia hiyo bila...
2 Reactions
3 Replies
154 Views
Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame, inayojenga Bomba la Gesi kutoka...
0 Reactions
2 Replies
74 Views
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame, inayojenga Bomba la Gesi kutoka...
1 Reactions
3 Replies
135 Views
Naibu Waziri wa Viwanda na biashara na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Exaud Kigahe,ameitaka kampuni ya Mwenga Hydro power kuboresha huduma zake ili kufikisha nishati ya umeme kwa Wananchi wa...
2 Reactions
2 Replies
63 Views
Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, Juma Hokororo, amemtaja Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kama chachu ya maendeleo kwa...
2 Reactions
2 Replies
58 Views
Anonymous
Kuna tatizo kubwa kwa upande wa biashara ya mafuta, mfano leo 4 March 2025 (kila Jumanne mwanzo wa mwezi, wiki ya kwanza, kabla bei ya mafuta haijatajwa kama itashuka au itapanda), makampuni mengi...
1 Reactions
7 Replies
131 Views
Dar es Salaam, 6 Machi 2025 – Benki ya Exim Tanzania imeandaa futari maalum jijini Dar es Salaam, ikikusanya pamoja Wateja wake, viongozi wa dini, na wadau wakuu kwa jioni ya shukrani, mshikamano...
1 Reactions
5 Replies
98 Views
(HISTORY OF THE ASH RITUAL) 1. ASILI YA MAJIVU KATIKA BIBLIA (ORIGIN OF ASHES IN THE BIBLE) Majivu yametumika tangu nyakati za Agano la Kale kama ishara ya toba, huzuni, na unyenyekevu mbele ya...
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Nimekutana na Mabinti wengi ambao Wana akili na mtazamo wa aina hii kuwa wakiwa kwenye mahusiano na mtu na wakafanikiwa kuzaa basi wataolewa. Mmoja akaniambia kuwa amepata mwanaume mzuri...
7 Reactions
21 Replies
308 Views
Katika dunia inayojaa changamoto zisizokwisha—mahusiano yaliyovunjika, matatizo ya kiuchumi, ndoto zilizokwama—watu hutafuta suluhisho kwa njia mbalimbali. Wapo wanaotumia akili zao kutafuta njia...
4 Reactions
5 Replies
152 Views
Uchakavu wa Choo cha wanafunzi katika Shule ya Msingi Kiselu iliyopo Kata ya Machame Uroki Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro uliyokuwa ukihatarisha usalama wa wananfunzi katika shule hiyo kutokana...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kauli mbiu ya 'Kitabu Kimoja Mwanafunzi Mmoja' itasaidia...
1 Reactions
4 Replies
75 Views
Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga, imetenga fedha kiasi cha Sh.bilioni 1.3 kwa ajili ya kuwapatia wajasiriamali mikopo isiyokuwa na riba ili kukuza mitaji yao na kuondokana na...
1 Reactions
3 Replies
50 Views
Hii ni moja ya mada inayozungumzwa sana baina ya watu, na ina maoni tofauti kutokana na mtazamo wa mtu na mtu. Tunafahamu kuwa ni wazi suala la malezi ya watoto katika kipindi hiki yamebakia kwa...
1 Reactions
8 Replies
173 Views
Kulingana na Biblia kuna vitu viwili huondoa akili ya mtu navyo ni 1. Pombe na 2. Uzinzi. Wakati huu ni wakati wa mwisho au dakika za nyongeza, watu kama wangetumia vizuri akili walizopewa na...
2 Reactions
7 Replies
172 Views
Ngono salama sio kuvaa condom tu. Kumbuka condom itaulinda mwili wako lakini kamwe haiwezi kuilinda roho yako dhidi ya roho na nyota mnazobadilishana mnapofanya ngono. Kabla hujafanya ngono ni...
12 Reactions
20 Replies
476 Views
1. Kwenye elimu anapewa kipaombele mwanamke, hili liko wazi kabisa hata kwenye mifumo ya chuo ya admission. 2. Kwenye ajira ni sera yao kabisa kua mwanamke anapewa kipaombele, hili sio la kuficha...
6 Reactions
16 Replies
306 Views
Habari wadau Kuna familia imepata msiba wa mama yao. Mama huyo amefariki kwa mateso makali ya kuugua kwa zaidi ya miaka 10. Mama huyo alikuwa na cancer na Stroke pia. Familia imeuza mali zao...
7 Reactions
25 Replies
615 Views
Habari wakuu, Natumai wote mko salama. Leo nimekuja na mada nzito, yenye kuibua maswali mazito kichwani. Wengi wetu tunaamini kuwa kifo ni mwisho wa kila kitu, lakini je, ubongo wako unazimika...
13 Reactions
111 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…