Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habarini, Yaani unampigia mtu simu kuongea labda maswala ya kazi amapokea simu huku akiwa anakula na kuendelea kuongea huku likitafuna chakula ni tabia ambayo inakera na siyo ustarabu. Kwani...
7 Reactions
23 Replies
503 Views
Wadau wa JamiiForums, Habari za wakati huu. Natumaini mnaendelea vyema katika shughuli zenu za kila siku. Leo ningependa tujadili mada yenye umuhimu mkubwa katika maisha yetu: "Ndoto 20...
6 Reactions
102 Replies
2K Views
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema mwaka huu wanawake wameitika kwa kushiriki katika makongamano ya wanawake yaliyofanyika sehemu...
0 Reactions
3 Replies
68 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mpango wa kuwa na bima ya afya kwa wote ni mzito na si mwepesi kutokana na umuhimu wake. Pia, kuhusu suala hilo amelishukuru Bunge kwa kulipitisha huku akisema...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Leo ikiwa siku ya wanawake duniani Rais atakuwepo Arusha hivyo taifa linapaswa kumsikia. Hivyo nahisi kwa sense yangu ya Sita ambayo ni "intuition" Hivyo tukio lilipangwa kimkakati kabisa.
1 Reactions
2 Replies
240 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ametania kuwa nyama choma ya Arusha haina uhusiano wowote na mafundisho ya Dkt. Janabi kuhusu masuala ya afya. "Mhe. Rais, sherehe zetu zilihitimishwa jana...
0 Reactions
7 Replies
232 Views
Wadau wa Jamiiforums, tujadiliane kwa uchungu! Ndugu zangu, Afrika inalia, Tanzania inahenyesha! Tumepata uhuru wa bendera, lakini je, tunamiliki ardhi yetu? Je, tunafaidika na rasilimali zetu...
1 Reactions
5 Replies
102 Views
Ni muda muafaka sasa wa kuachana na soka la bongo na kurejea kwenye soka la Ulaya ( EPL, La Liga etc) Miaka ya tisini soka la bongo lilikuwa on fire. Mechi ya Simba na Yanga ilikuwa Simba na...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
USARE; MBINU YA KUTAWALA NCHI NA DUNIA. Na, Robert Heriel Kwa maana nguvu ya utawala, mafanikio, mamlaka na ushindi waijuayo ni wachache. Hao ndio wenye kuheshimika, kutukuzwa na hata kuabudiwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna sumu kali sana baina ya mwanamke na mwanamme kwenye jamii ambayo inahitajika kuondolewa kwa faida ya vizazi vijavyo. Angalia matukio ya kikatili yanayofanyika. Kule Mwanza jamaa kampiga...
2 Reactions
2 Replies
402 Views
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni...
3 Reactions
58 Replies
12K Views
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu katika taasisi...
2 Reactions
69 Replies
12K Views
Kuna taarifa zinazozunguka kwenye mitandao kuwa mechi kati ya Yanga na Simba haitakuwepo kwa sababu Simba wamesusia mechi hii kwa sababu wananazozijua wao wenyewe. Swali langu. Kama mechi...
0 Reactions
2 Replies
108 Views
Ukiwa mpiganaji na upo Frontline utagundua kwenye majibizano ya risasi Huwa ni kama mchezo Fulani wa kutoana wazimu yaani watu wanafyatua risasi ovyo kuelekea kwa adui sio kila risasi eti lazima...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Iko hivi kwa mujibu wa kanuni za mpira TFF Mwenye mamlaka ya kufuta mchezo ni Meneja wa uwanja pamoja meneja wa mchezo kanuni zinaeleza. Mnamo tarehe 7 jioni hawa wote hawakuwa na taarifa...
1 Reactions
26 Replies
849 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Ikiwa Leo ni Kilele Cha siku pendwa kabisa duniani,siku ya mwanamke,Napenda kuchukua fursa hii kumtakia heri Mjomba wangu GENTAMYCINE popote pale alipo...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Katika uzi huu tupia dondoo mbalimbali za kiusalama za kuzingatia katika mazingira ya nyumbani. - Usilale na mitungi ya gesi ndani, tafuta sehemu nje ya nyumba uweke huko. -Usiache nyaya za...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Mwili wa mwanamuziki mkongwe, Bi. Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki dunia Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani, anakoishi na familia yake, unatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatatu...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…