Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR. Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee. Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno. Kama hizi zinazoitwa...
10 Reactions
34 Replies
713 Views
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 23 na nimekua na matamanio ya kufika ng'ambo (ughaibuni) kwa muda mrefu Sana kwa sababu ya kupambana na hali ya kiuchumi (umasikini) Sasa katika...
2 Reactions
13 Replies
657 Views
Kwenu wana JamiiForums, naomba kujua ni route hipi ya haraka na rahisi kupata daladala za kwenda Bagamoyo, kati ya Chalinze to Bagamoyo au Mlandizi to Bagamoyo. Na nauli ikoje kutoka hayo maeneo...
3 Reactions
51 Replies
5K Views
Anonymous (100c)
Kijiji cha Busolwa eneo la Nyalugusu Mkoani Geita kuna Wachimbaji Wadogo na Wanachama cha Chama cha Ushirika cha Wachimbaji Wadogo cha Ifugandi wametishia kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za...
1 Reactions
0 Replies
261 Views
Mimi nakumbuka tukiwa Mtihani wa Geography tulitolewa chumba cha Mtihani kwa madau Pepa imevuja hadi Bungeni Wabunge wanayo. Tukasimamiswa wote Mtihani ubabadilishwa siku, wazimamizi na rangi...
0 Reactions
18 Replies
786 Views
Habari wadau, Sielewi kwamba ni mimi mwenye ninayepitia hii hali au kuna wengine pia wanakumbana na hili. Ni karibia wiki mbili sasa ninashindwa kuingia kwenye App yao. Hii inanikwamisha kwa...
2 Reactions
27 Replies
706 Views
Hivi hili ni mimi au nanyie mnaexprience hii hali? Mnaweza kudhani labda ni simu La hasha simu ram ni 12 na uwezo wake ni mkubwa haijajaa hata Mitandao sijui imekuaje Mfano Halotel 3g yao...
1 Reactions
3 Replies
238 Views
Ni siku nyingine tena tupitie mambo ambayo hutufanya tujifunze namna ya kuishi na kuwa bora zaidi Fahamu kwamba kama watu hawa kupendi basi jua unafanya mambo yako kwa usahihi,si unajua kuna ile...
14 Reactions
29 Replies
717 Views
Uswahilini huku na uzaramoni watu wana nongwa balaa! Hii aina ya watu nimekuja kujionea mwenyew mana nilikuwa nasikia sikia tu kwa watu. Wengine wanasema ni bipolar. Ila sifa kama hizi niliwah...
22 Reactions
57 Replies
2K Views
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka. Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri. Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo...
19 Reactions
181 Replies
9K Views
Wakuu Habari ya uzima, Twende moja kwa moja kwenye mada, Kati ya hayo majiji mawili ni jiji lipi linaweza kunifaa kijana Mimi ninae taka kuanza maisha? Nataka kujikita kwenye shughuli za ufundi...
10 Reactions
77 Replies
2K Views
Kampuni ya Roblox inayohusika na na Michezo ya Mtandaoni (Gaming) imetangaza kubadili Sera zake zinazuhusu Usalama wa Watumiaji wake ambapo kuanzia Novemba 18, 2024 Watoto wenye chini ya miaka 13...
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii – NSSF kwa uwekezaji wenye tija katika mradi wa Daraja la Mwalimu Nyerere lililopo...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha kanuni mpya kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni, ikijumuisha uwepo wa masharti makali zaidi kwa ajili ya miamala inayozidi dola za Marekani...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Afisa Upelelezi Wilaya ya Arusha Mjini, Omary Mahita anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mtuhumiwa wakati wa mahojiano akiwa kituo cha polisi. Askari huyo anatuhumiwa...
7 Reactions
80 Replies
5K Views
Aliyekuwa mtumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania, Salum Shamte (56), amesimulia namna kanuni za kukokotoa mafao (kikokotoo) ilivyosababisha apigwe butwaa baada ya kupokea ujumbe (sms) wa kiasi cha...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Habar ya usiku huu, Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa. Msiba upo Morogoro Mjini Forest Kileka ===== Update Habari ya asubui Jana tumefanikiwa...
30 Reactions
199 Replies
6K Views
What makes it different? Je ni ishu ya asili ya mwanamke na ufanyaji wake wa makosa? au ni ishu ya mapokeaji wa hayo makosa ya mwanamke? Kwamba mwanaume kuna namna anavyo fabricate hisia zake in...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Za asubuhi wapambanaji mapambano mema. Mufanikiwe katika Harakati zenu za Kila siku. 'Msisahau kuweka akiba. " maneno haya si mageni... Kuna maneno ambayo si mageni masikioni?? Ebu tuyataje
1 Reactions
1 Replies
167 Views
Tanzania imeweka lengo la kupunguza utoaji wa gesi chafu kwa asilimia 10 hadi 20 ifikapo Mwaka 2030. Hii ni sehemu ya jitihada za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Taarifa...
1 Reactions
0 Replies
391 Views
Back
Top Bottom