Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya anapaswa kuondoka ofisini na kutembelea eneo la barabara katika milima ya Ruangiro, ambayo inatokea Mbeya hadi Chunya. Barabara hii imeharibika sana na serikali haijafanya...
1 Reactions
4 Replies
288 Views
Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)
6 Reactions
154 Replies
6K Views
Inawezekana ulikuwa unajiuliza maswali kuhusu ni kiasi gani cha faini utachajiwa, endapo ikatokea bahati mbaya ukagonga mnyama kwenye barabara zinazokatiza kwenye hifadhi. Basi hapa ni baadhi ya...
0 Reactions
4 Replies
411 Views
Kama mdau ambaye nilikuwa na hamu ya kumjua huyu drug lord maarufu ambaye Waziri wa sheria kaomba apelekwe mahakamani kujibu Mashatka yake... Nilikuwa na hamu ya kumjua au kumuona Kama watu wengi...
3 Reactions
44 Replies
10K Views
Mafanikio ni siri. Watu wakijua siri za mipango yako watakutoboa macho usione mafanikio yako kama Samson. Samson alitobolewa macho baada ya kushare siri zake na Delila. Imeandikwa katika Biblia...
167 Reactions
173 Replies
19K Views
Wakuu, Taarifa kwa umma, Shirika la reli tanzania (trc) linaomba radhi kwa abiria wa treni ya mchongoko (emu) walioanza safari yao dar es salaam kwenda dodoma saa 2:00 asubuhi na kusimama...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa Kijiji Cha Kilambo ambaye ni Mwanafunzi wa kidato Cha nne katika shule ya Sekondari Ikimba Wilayani Kyela amehukumiwa kifungo Cha nje Cha miezi 12...
14 Reactions
52 Replies
2K Views
MUNGU WA WAYAHUDI "YEHOVA" hawezi HATAMBUI MWANAMKE KAMA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME. WANAWAKE WANAOJIITA WACHUNGAJI au MANABII WANA mungu MWINGINE Anaandika, Robert Heriel Mtibeli YEHOVA kama...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Gwala kwa wana Jf. Niteremke hapa kwenye ngazi taratibu na kuingia kwenye mada. Makuzi ya miaka ya sasa imepelekea kupatikana kizazi cha hovyo kweli! Watoto kutojua wanapaswa kuongea vipi na...
3 Reactions
5 Replies
235 Views
Acha kuwa na wasi wasi sana na mambo yaliyotokea huko nyuma katika maisha yako au ambayo yanayo kuja huko mbeleni Usiyape kipaumbele na vuta pumzi ndefu,ishi wakati uliopo sasa na kuwa mwenye...
12 Reactions
19 Replies
481 Views
Kwema wanajamvi? Hivi mzazi kakusomesha kuanzia nusery mpaka chuo, then you build the idea of volunteering? je unayaogopa maisha au nini unahofia labda mbona kazi zipo nyingi mazee piga ata zege...
4 Reactions
9 Replies
499 Views
Elimu ndogo ya boxer (Me) na chupi (Ke) Chupi / Boxer inafyata nabidi ifyatuliwe Matone ya mkojo hudondokea Kwa wanaume zinachafuliwa na manii (Bao) Kwa wanawake zina zinagusa Period Chupi ni...
2 Reactions
9 Replies
340 Views
Kwa miaka 5 sasa, kumekuwa na wimbi kubwa sana la wamarekani weusi wanaokuja Tanzania, wengine kuhamia, wanaopenda kufanya biashara na wengine ni wazee wamechagua TZ kama sehemu ya kustaafia. Na...
4 Reactions
31 Replies
657 Views
Huyu ni mtu ambaye anakusaidia wakati yeye mwenyewe anataka msaada,yani kuna watu ambao wao wenyewe hali zao ni za mashaka lakini bado wana moyo wa kutoa,kama wewe ni mmoja wapo ubarikiwe sana...
10 Reactions
50 Replies
2K Views
Anonymous (dc4c)
Habari, Kuna mdau namfahamu alikuwa amepata nafasi ya kazi kwa kampuni tajwa apo juu, alitumiwa meseji ya maelekezo kuwa wataanza kufanya training ambayo ina shift, kuna asubuhi na usiku, uyo...
0 Reactions
5 Replies
746 Views
Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi ameagiza kuwekwa utaratibu ulio wazi wa kupatiwa Hati Milki za Ardhi katika ofisi zote za ardhi ili wananchi...
0 Reactions
1 Replies
164 Views
The World is not fair at all. Kijana una miaka 35 lakini bado unakaa kwa wazazi au shemeji yako na huna nyumba, gari, familia , mashamba wala kamradi kokote… unategemea nini ? Na kutoboa siku...
88 Reactions
374 Replies
54K Views
Dubai ni moja wapo ya majiji ya kibiashara ulimwenguni yenye ushawishi mkubwa sana wa watu kuja toka Mataifa tofauti tofauti ulimwenguni wanaenda kutembea na kufanya biashara. Hivi majuzi mamlaka...
0 Reactions
6 Replies
466 Views
Hakuna watu wanaokula ya mwanamke pesa kiulaini kama waganga na wachungaji🤣 Dah Leo nimeenda kwenye Misa moja hivi jioni ya jumuiya Sasa kwa yale magoti ambayo mchungaji alikuwa akipigiwa noma...
5 Reactions
26 Replies
721 Views
Back
Top Bottom