Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Sheikh Mazinge sahivi huna tena nguvu ya kumpinga Mwamposa, maana nawe unauza mafuta ya upako Kwani Ustadhi Mazinge wewe ni mtani wa Wanyakyusa? Maana unawaandama Wanyakyusa pamoja na Mwamposa...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amepamba kwa kuchanaaa mistari, Ni usiku wa mkesha kuelekea sikubya wanawake Duniani Kitaifa inafanyikia Arusha ambapo mkuu wa mkoa wa Arusha Makonda...
0 Reactions
2 Replies
93 Views
Acheni masihara jamani, polisi wanaishi kwa raha sana inchi hii, Nimeipenda sana hii kazi, mwanangu nakuusia tena, ukifuzu tu fanya kazi ya upolisi
8 Reactions
49 Replies
826 Views
Kuna dada wa kazi alienda huko daslam baada ya mwezi akarudi baada ya kupata msiba,siku anarudi ngozi kama mzungu.alikaa kuomboleza kwa wiki mblIi akafubaa tena. Wenzetuhuko daslam maji yenu ya...
5 Reactions
12 Replies
359 Views
Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
8 Reactions
31 Replies
820 Views
"Siku moja mtanikumbuka, na mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya" "Nimetoa maisha yangu kwaajili ya Watanzania, msifikiri mafisadi wanapenda" https://youtu.be/NaJCiQydU6U?si=i3Ux3On5vuQwMpuw
4 Reactions
17 Replies
331 Views
mimi ni dume rijali, la mbegu, la j.f miaka 35 sijaoa,miezi kama miwili iliyopita nikampata binti baada ya kuongea nae akakubali tuwe wachumba ila muda mwingi sipo nae karibu anaishi kwa wazazi...
9 Reactions
76 Replies
1K Views
Habari zenu Naomba kuwapa nasaa kidogo vijana wa kiume na kike wanao jitafuta kimaisha. Hapa nitapenda kufikisha ujumbe huu kwa vijana wote wanao jitambua na kuelewa nini wanatakiwa kufanya...
28 Reactions
123 Replies
4K Views
Serikali imekamilisha ujenzi wa mradi wa kituo kikubwa Cha kibiashara na usafirishaji cha Afrika Mashariki kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam. Akizungumza Leo...
2 Reactions
14 Replies
380 Views
Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji...
3 Reactions
13 Replies
187 Views
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi. Prof...
20 Reactions
112 Replies
7K Views
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa. Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi...
13 Reactions
138 Replies
5K Views
Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba? Mje mtupe darasa kwa kweli.
21 Reactions
217 Replies
4K Views
Je wajua ya kwamba ndoto zaweza kuwa kweli? Wazungu wanasema dreams can come true... Fanya yote maishani.. Pambana sana lakini usiache kumwomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema zote akujaalie...
12 Reactions
72 Replies
869 Views
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima. Niende kwenye shida yangu, mm ni kijana nina Miaka 20, shida yangu...
14 Reactions
124 Replies
7K Views
Sitosahau siku nilipotaka kufa pale kiwandani Ilikua mapema tar. 1/June 2022 nilipitia kipindi kigumu sana baada ya kuyumba kiuchumi na degree yangu mkononi ikanilazimu kujizima data na kutafuta...
26 Reactions
66 Replies
5K Views
Bwana Yesu asifiwe! Nimeanzisha huu uzi maalumu na mahususi kwa wapenzi wa nyimbo za injili. Hapa tutakuwa tunabadilishana nyimbo mbalimbali za injili za sasa na zamani. Huenda kuna mtu anautafuta...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye Sheria inayoruhusu Adhabu ya Viboko kwa Wanafunzi Shuleni licha ya adhabu hiyo kutajwa na kupigwa marufuku kwenye takriban Mataifa 51 ikielezwa kuwa ni ya...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo. Mutegeki Bagasheki...
17 Reactions
241 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…