Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna baadhi ya watu wanatumia changamoto zinazowakumba watoto wa kike kujinufaisha, pasipo kujua kuwa wanatekeleza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Vishawishi kama vile vyakula (mfano chipsi)...
1 Reactions
9 Replies
365 Views
Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti hivi.....
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Ilianza kama mzaha kwa RC Makonda kutangaza majina ya wasanii aliowashuku watumia dawa ya kulevya.Akapata coverage/kiki kubwa katika media za ndani. Then akafuata Naibu waziri wa afya kutoa amri...
4 Reactions
109 Replies
12K Views
Habari ya asubuhi ndugu wana JF wenzangu? Samahani naomba msaada wa kujuzwa hili eneo (Dondwe) ndiyo wapi hapa Tanzania? Ni mkoa wa Pwani ama Dar es Salaam? Umbali kutoka mjini Posta ni km...
2 Reactions
50 Replies
16K Views
Juzi kati nilikutana na hiki kitabu kinaitwa Wasomi Wajinga. Katika kukipitia nilikuta kina mambo ya kushangaza sana. Ni kama zile play za Kezilahabi. Kina maneno makali na yenye ukakasi...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuna wale waliobahatika kushuhudia siku za mwisho za wapendwa wao wakiwa hospitali kuna Ile aibu wanaipata dakika za mwisho wakitaka kukata roho🥺nilipata kuishuhudia Sema nini wakuu Tuombe mwisho...
20 Reactions
37 Replies
1K Views
Kumeibuka tabia ya aibu, tabia ya kishenzi kwenye jamii ya vijana wa Kitanzania. Vijana wamekuwa kama walemavu, wameamua kutumia mitandao ya kijamii kusifia wanadamu wenzao ambao huwapa unga na...
4 Reactions
9 Replies
493 Views
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula. Ushauri wenu una...
24 Reactions
125 Replies
4K Views
Dodoma dodoma dodoma nakuita mara tatu Moja ya mikoa mibaya kimazingira dodoma ni miongoni mwao kwa uchache hizi ni sifa za dodoma Mkoa ambao kwa asilimia kubwa ni nusu jangwa (semi arid) Mkoa...
50 Reactions
231 Replies
7K Views
Asilimia 70 na zaidi ya watu wote wanaofutila siasa za Marekani wamefurahishwa na ushindi wa Trump, hata mataifa hasimu ya Marekani yamefurahishwa sana na ushindi huo. Pongezi ni kwa Trump...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
📖Mhadhara (61)✍️ MAONI KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO 🔘 Katika kupambana na UKATILI WA KIJINSIA KWA MTOTO, wazazi wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika mapambano hayo, hivyo ni muhimu...
0 Reactions
1 Replies
206 Views
Uchunguzi wangu umebaini kuwa asilimia kubwa sana ya wanafunzi waliosoma shule za Masista hawawapendi Watawa hao na wala hawapendi kurudi kusoma shule hizo. Aidha, wengi wa wanafunzi hao...
11 Reactions
167 Replies
11K Views
The Shifting Landscape of US AI Policy: Navigating Innovation, Security, and Ethics By 2025, artificial intelligence is projected to generate $15.7 trillion in global economic value. As the U.S...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
Mungu Baba asante kwa jumamosi mpya katika maisha yetu. Tukumbuke katika mengi tuyatamaniyo katika maisha yetu twaomba Eee Mungu wetu, tutendee wema wako katika hatua zetu za maisha. Usitunyime...
2 Reactions
1 Replies
219 Views
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya abiria dogo aina ya Toyota Hiace kuligonga lori kwa nyuma wilayani Nzega mkoani Tabora leo Alhamisi Novemba 7, 2024. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa...
9 Reactions
67 Replies
3K Views
Tafadhali naomba huu Uzi uwe na Mjadala wenye Mantiki kwa Faida ya Wengi kwani kwa Utafiti wangu GENTAMYCINE nikienda Kuona Wagonjwa Lugalo Military General Hospital na hata Majumbani / Mitaani...
20 Reactions
62 Replies
10K Views
Habarini za wakati huu wakuu.. Moja kwa moja kwenye mada. Inawezekana nia ya Serikali ni njema, lakini tatizo liko kwa watendaji waliokabidhiwa ofisi za Serikali kuwahudumia wananchi. Kuna mti...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Ni hivyo tu, ya huku yaache huku, madaraka yasikutoe ubinadamu na utu, huyo uliyemtuma ajifanye anajua kurekodi tunamjua. Cheo kisikutoe utu, na ulipewa ukakikataa
0 Reactions
11 Replies
771 Views
Anonymous (e599)
Mimi ni mmoja wa wadau wa JamiiForums, kuna kitu nataka nishauri au kukemea kabisa. Kuna vitu hawa Mama Lishe au Mama Ntilie wanafanya siyo kabisa kwa afya ya Wateja wao kupitia vitafunwa...
1 Reactions
10 Replies
500 Views
Back
Top Bottom