Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wanabodi This is a developing story Yaani story muendelezo Jana jioni katika eneo la Magomeni Usalama, Gari Toyota Landcruiser Hard Top No. DFP 8106 Yagonga mtu na kumua kwa ajali, mwanamke...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Siku ya tatu ya Mkutano wa Nchi za Afrika zinazotekeleza Mradi wa Kudhibiti Matumizi ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu (EHPMP) ambapo leo Tarehe 6 Novemba 2024 umelenga kujadili namna...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Na Peres Parpaih (pia anajulikana kama Yehudah Amir Kahalani, jina lake la Yemeni), Moreh (mwalimu) wa Jumuiya ya B’nei Lawi nchini Tanzania Israeli iko karibu na Afrika Mashariki na ulimwengu wa...
5 Reactions
12 Replies
759 Views
May 17, saa 2:50 (Saa za Afrika Mashariki) MTOTO Wilson, anayeonekana hapo chini kwenye picha kushoto, leo ameanzishiwa mazoezi ya viungo (Therapy), baada ya zoezi la UPASUAJI kukamilika, na...
9 Reactions
105 Replies
14K Views
Wazee kwema, Ni kwa namna gani hasa hawa polisi wanaajiriwa na hizo interview zao zinakuaje?. Juzi nimeenda kumtembelea mzee wangu flani hiv akiwah kuwA kiongozi nchini. Pale getini nimekutana na...
14 Reactions
82 Replies
2K Views
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo (Makurunge) - Saadani - Pangani - Tanga (km 256) Sehemu ya kwanza Pangani-Tanga (km 50) kwa kiwango cha lami umefikia 75% Sehemu hii ya...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni MboniYangu inatarajiwa kuanza Novemba 23, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa...
0 Reactions
2 Replies
334 Views
NA. MWANDISHI WETU – ARUSHA SERIKALI imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika kutekeleza dhana ya Afya Moja nchini hasa maeneo ya kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na milipuko ya...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
6 Reactions
87 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi, watu wa Mungu. Kijana wenu hapa Brojust baada ya kupata shida kidogo za kifamilia nimeamua sasa kurudi tena Buguruni na sasa napatikana Buguruni sheli. kwa kutumia kampuni yangu...
2 Reactions
0 Replies
245 Views
Salam wanaukumbi Nimejaribu kuperuzi playstore kupata biblia ya kiswahili yenye vile vitabu vya ziada (Tobiti, Wimbo ulio bora, Baruku, Hekima ya Suleiman, Judith, etc) Mwenye kujua jina tafadhali
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu. Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa...
40 Reactions
72 Replies
2K Views
Muda huu niko makaburini kama mwanajamii na wananchi wenzagu kumsindikiza ndugu yetu hapa mtaani. Kama mjuavyo, linapokuja suala la kifo, hutumiwi taarifa ya kabla ili ujiandae maana wote ni...
65 Reactions
208 Replies
6K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu Watanzania 64 kulipa faini ya Sh40,000 kila mmoja au kwenda jela miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini bila...
1 Reactions
2 Replies
345 Views
📖Mhadhara (57)✍️ Hebu fikiria, tunaagiza magari kutoka Japan na nchi nyingine, jinsi tunavyoyaona magari kwenye mitandao ndivyo ambavyo tunaletewa na kuyapokea bandarini kama tulivyoyaona. Huo ni...
7 Reactions
13 Replies
432 Views
YAH: UTOAJI WA HUDUMA YA VISA ON ARRIVAL KUINGIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuwajulisha wageni na wadau wote kuwa haijasitisha utoaji wa...
1 Reactions
1 Replies
387 Views
Kampuni ya Mastermind Tobacco Tanzania Limited inayopatikana Jijini Dar es Salaam maeneo ya Tazara imelalamikiwa na baadhi ya Wafanyakazi wake kwa kuwafanyisha kazi muda mrefu bila kuwapatia...
0 Reactions
0 Replies
441 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu, nauliza ni kweli Serikali haitambui SHAHADA YA PILI? Kama inaitambua basi tunashkru maana Moto wa kupata shahada hii si kitoto. Otherwise kazi Iendelee 🇹🇿...
5 Reactions
101 Replies
9K Views
MDAU AMENIELEZA: Katika siku za karibuni, kila asubuhi nyumbani kuna vindege vidogo vinakuja dirishani kama vinadonoa kula wadudu kwa nje, hii inatokea hata ofisini nikifika nje kwna vindege kama...
10 Reactions
43 Replies
1K Views
Mimi ni mkazi wa Kahama Mjini, na ningependa kuwasilisha malalamiko kuhusu sekta mbili: Kahama Urban Water Supply (KUWASA) na Tanesco Kahama. Huduma ya umeme imekuwa kero, kwani umekuwa ukikatika...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Back
Top Bottom