Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Yule mtu maarufu aliyezima habari zote duniani ikiwemo uchaguzi wa Marekani wadau wamemtumia kuanza kupiga pesa
3 Reactions
7 Replies
501 Views
Ile form ya District Land and Housing Tribunal ya kufanya application to institute a suit, unawea kuijaza kwa kiswahili au lazima iwe kiingereza maana imetengeneza kwa kugha ya kiingereza.
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa: Madereva, Abiria, Waenda kwa miguu, Magari, Na uharibifu wa mali. Kuna Watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha...
59 Reactions
52 Replies
2K Views
Wakuu nina karibu wiki ya pili sasa au tatu kila nikilog in inakataa nimetumia kompyuta nimetumia simu lakini bado tu hebu nipeni msaada wazoefu. Nimeweka picha tatu hapa ambazo ndizo hatua...
1 Reactions
6 Replies
388 Views
Serikali imeshauriwa kuboresha mazingira na maslahi ya askari polisi ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa polisi katika mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa mwaka 2025/2026. Hayo yamesemwa leo...
0 Reactions
5 Replies
273 Views
Dar es Salaam. Kisu kinachodaiwa kutumika katika mauaji ya Aneth Msuya, mdogo wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha, Erasto Msuya maarufu kama Bilionea Msuya, kimewasilishwa...
10 Reactions
171 Replies
13K Views
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba. Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha. Sasa narudi...
36 Reactions
229 Replies
4K Views
Habari za Jumapili wakubwa. Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji. Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu. Imeletwa nguna ya watu...
53 Reactions
198 Replies
6K Views
Habari wanajukwaa! Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu. Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara...
8 Reactions
198 Replies
5K Views
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaachana kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate...
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Hivi barabara ya kuelekea yatch club inatia fora,unakutana na mashimo,maandaki sehemu za huko ndiko wanakaa viongozi, Mabalozi, Wageni kutoka nje. Wengine mpaka wageni wetu wanatuliza hivi huku...
5 Reactions
10 Replies
785 Views
Na -Nishan Khamis Zanzibar: Mitandao ya kijamii imeleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya kisasa, ikitoa fursa za kipekee kwa viongozi, wakiwemo wanawake, kujitangaza, kujenga majukwaa ya...
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city...
24 Reactions
168 Replies
12K Views
https://www.youtube.com/watch?v=ERbw8N0eT_8&ab_channel=M.MMwanakijiji Contact: Ben Mwanakijiji - klhnews@gmail.com Date: September 27th, 2024 NEW BOOK EXPLORES "AN AMERICAN PARADOX" IN 2024...
8 Reactions
19 Replies
940 Views
Moja kwa moja... Mmerusha kwa ustadi sana taarifa za uchaguzi wa nchi ya nje kama Marekani. Mmeweka wachambuzi wenye weledi wa hali ya juu sana. Mmeonyesha jinsi mnavyoweza kucover katika eneo...
4 Reactions
4 Replies
426 Views
Nimesikitishwa na taarifa niliyopewa na jamaa mmoja aliyekopa kwenye hizi application zinazotoa mikopo kama hawa SWIFT FUND LOAN huenda hawana nidhamu, pia wanao waajiri ni vijana wasiojua namna...
4 Reactions
17 Replies
758 Views
Hii ni kwa Dar, sijajua mikoa mingine hali ikoje. Dalili kuu ni: 1. Homa kali 2. Mafua 3. Kukohoa 4. Kuharisha 5. Kutapika Ukienda kliniki za watoto nyingi kwa sasa zimefurika haswa. Yani kama...
0 Reactions
14 Replies
650 Views
Nilikuwa kwenye uzinduzi fulani wa kituo Cha watoto yatima mtoa hotuba alikuwa akilalamika watanzania hawajitoi kusaidia watoto wao misaada mingi inatolewa na wazungu na matajiri huku watanzania...
8 Reactions
37 Replies
770 Views
Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Amina Ali Mzee; Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Daniel Sillo amesema Serikali iko hatua za mwishoni kuleta Muswada wa Sheria...
1 Reactions
2 Replies
242 Views
KADA Maarufu wa CCM Mzee Steve Mengele amesema yeye hajajipa hilo jina bali amepewa na Wananchi Wazalendo wa nchi hii Mengele amesema Hata Viongozi Wote Wakuu wa Nchi wanamtambua kama Steve...
14 Reactions
145 Replies
3K Views
Back
Top Bottom