Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Bibi yangu ilikuwa ukizira kula atatuma wajukuu wengine wakukamate,utakula mboko mpaka utakula huku kamasi na machozi vikikutoka. Mama yangu ulikuwa ukizira yeye hana time na wewe ila...
13 Reactions
61 Replies
1K Views
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayoweza kunyesha maeneo ya Kaskazini Mashariki katika Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara, ambayo inaweza kuleta athari kama...
4 Reactions
9 Replies
544 Views
🚨 Mchezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid raia wa Brazil 🇧🇷 Vinicius Tobias imebainika kuwa sio baba mzazi wa mtoto ambae awali alidhani ni wake aliyekuwa amezaa na mpenzi wake Ingrid Lima mara...
19 Reactions
65 Replies
2K Views
Levis Gervas Mahenge mkazi wa Ngiu Halmashauri ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe ameiomba serikali kuingilia kati ili kupata matibabu kutokana na majeraha pamoja na kuvunjika kwa mkono baada ya...
3 Reactions
12 Replies
907 Views
Chanzo cha picha,AFP Raia Milioni 10 wa Cuba wako gizani baada ya kiwanda chake kikuu cha nishati kukumbwa na hitilafu. Gridi yake ya umeme iliacha kufanya kazi mwendo wa saa tano usiku (15:00...
4 Reactions
21 Replies
400 Views
Wana JF hebu tujadili hili jambo la kujiandikisha maana naona kama limedoda kupita kiasi maana watu ni kama wamesusa hivi kujiandikisha Zimebaki siku mbili tuuu kabla ya kufungwa kwa zoezi la...
3 Reactions
21 Replies
688 Views
Miaka flani niko Bongo sielewi mambo hayaeleweki, nina sista angu yuko U.S nikaongea nae kuhusu kwenda Marekani kujaribu maisha anakubali, mipango inakamilika kijana nikatua Jackson Heartsfield...
125 Reactions
690 Replies
98K Views
Kutoa roho ya mtu ni tofauti kabisa na kutoa roho ya mnyama ama mdudu. Kwa mnyama sana sana unaweza kulipishwa fidia hasa kama mnyama mwenyewe ni kwa ajili ya utalii. Kutoa roho ya mtu ukiachana...
29 Reactions
142 Replies
14K Views
Wakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Wale wanaotafuta msaada kutoka kwa shetani mwanzoni wanapewa masharti marahisi sana. Kwanza kabisa fahamu ushirikina wowote lazima kufanya Update ili uendelee kubaki katika Peak. Unapoenda kuomba...
0 Reactions
2 Replies
534 Views
Moja kati ya vitu ambavyo nilikuwa najiuliza ni kama Watanzania tunaweza kutunza Miundombinu yetu ya Reli ya SGR, bila unafiki ukiitazama imekaa poa kwa asilimia kubwa. Lakini jioni ya leo...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
WAISLAM WANASEMA UKRISTO NI DINI YA UONGO. WAKRISTO NA WAO WANASEMA UISLAM NI DINI YA UONGO. WAKRISTO NA WAISLAM WOTE WANASEMA DINI YA KIYAHUDI NI YA UONGO. NA WAYAHUDI WANASEMA DINI ZOTE 2...
5 Reactions
18 Replies
447 Views
Salamu.Watanzania wengi wanaishi vijijini. Nahuko matunda ni mengi lakini husafirishwa kwenda mijini. Matunda kama embe zinaonekana ni kwa watoto. Ndizi mbivu wengi huzidharau kwamba chakula cha...
13 Reactions
41 Replies
869 Views
Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza...
42 Reactions
198 Replies
41K Views
Wakuu nimepoteza NIDA,na nina police loss report,nauliza namna ya kutuma maombi kwa njia ya mtandao ili kuomba kadi. nyingine inakuwaje,maana kwenye website ya NIDA,sijaona fomu ya maombi kwa...
2 Reactions
4 Replies
444 Views
Habari wa kuu, mm hapa naingia kwenye akaunti yangu ya muhas haionyeshi ka nimechaguliwa third round au laa ,na watafta hawapatikani,naombeni msaada
2 Reactions
0 Replies
122 Views
Wananchi wa Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma wanakwenda kutatuliwa Kero yao ya Muda mrefu ya kukosekana kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ambalo hutumika kutatua Migogoro mbalimbali ya Ardhi...
2 Reactions
9 Replies
372 Views
Dar inashangaza Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara. Kumbe wenye maduka...
90 Reactions
149 Replies
10K Views
Maeneo ni mengi ambayo binafsi naona uwepo wa Mh Makonda umefanya uboreshwe. Mojawapo ni kituo cha polisi central pamoja na makao makuu ya mkoa (ofisi ya RPC) Hakika yanaendana na hadhi ya...
1 Reactions
11 Replies
682 Views
Kabla ya "MUNGU" kutuhukumu sisi wanadamu inabidi iundwe kamati ya kumuhukumu yeye kwanza,kwasababu ametenda dhambi nyingi sana kuliko sisi wanadamu. Enzi za sodoma na gomora mungu aliua maelfu...
4 Reactions
10 Replies
347 Views
Back
Top Bottom