Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Prof. Ali Mazrui alisema; “Africa produces what it does not consume and consumes what it does not produce.” Nimeangalia na kweli nimeona kuna ukweli mzito sana hapa. Sasa labda tujiulize WHY...
2 Reactions
52 Replies
939 Views
Ameandika @jamadihatibu Katika kutafuta ajira kuna mengi sana, Makampuni mengi huwa na taratibu mbovu za interview, ila hii ilikua tofauti, leo naomba nishare na nyinyi.. Nakumbuka mwaka 2020...
14 Reactions
11 Replies
3K Views
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha...
20 Reactions
56 Replies
4K Views
Update: 16/05/2023 Hayawi hayawi sasa yamekua. Megawati 180 kwa miaka 25 Zanzibar Update: 04/12/2022 https://www.jamiiforums.com/threads/je-ni-kweli-iptl-imewasha-mitambo-yake.2045101/...
16 Reactions
93 Replies
9K Views
KWANINI MRADI WA UZALISHAJI UMEME WA MAJI BWAWA LA NYERERE MTO RUFIJI NI MUHIMU? Mradi huu unatarajia kuzalisha megawati 2,115 za umeme hatua ambayo inaelezwa kwamba itasaidia kupunguza tatizo la...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko. Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya kitapeli na ushuhuda wa uongo, hayo Sina...
9 Reactions
93 Replies
2K Views
Nakumbuka tukio hili kama vile ni jana. Ilikuwa miaka ya 80s nimeenda Mkoani likizo kumtembelea bibi. Kulikuwa na tabia za kibabe sana hiyo sehemu. Bahati mbaya mimi nlikuwa mweupe, mnene...
32 Reactions
110 Replies
18K Views
Aliyekuwa msajili wa Vyama vya michezo nchini Riziki Majala afariki . Chanzo cha kifo inasemekana ni ugomvi kati yake na mwanae ambae inadaiwa ana shida ya akili baada ya kukataa kumpa hela...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Vipi waliiacha makusudi?? Helikopta ilishindwa kuitungua?? Nyumbani kwa Netanyahu Nb:Muda utasema!
1 Reactions
3 Replies
420 Views
Salamu wakuu Maisha haya ukiwa mzima na watoto wako shukuru Mungu Kuna ndugu nilikutana nae ana changamoto mwanae alizaliwa na kichwa kikubwa.alifanyiwa operation muhimbili dogo anaendelea vizuri...
6 Reactions
32 Replies
567 Views
Habari zeni wa-TAMISEMI, Katika harakati zangu huku kwa Biden nikakutana na vijana wanacheza mchezo wa hiki kidude. Nikaona mtu mweusi hashindwi kitu. Nikaomba na mimi niwaoneshe jinsi wabantu...
2 Reactions
1 Replies
283 Views
Habari zenu! Mada inajieleza. Wazazi wengi bongo hawana cha kuwarithisha watoto wao zaidi ya Simba au Yanga. Jitahidi ufanye chini juu uache urithi wa kueleweka.
3 Reactions
11 Replies
282 Views
TANZANIA YANYAKUA TUZO NNE ZA UTALII KENYA Kwa mara nyingine tena, Tanzania imeibuka Mshindi kwa kujinyakulia tuzo nne katika Tuzo za Utalii zinazotolewa na World Travel Awards ya Nchini...
1 Reactions
2 Replies
253 Views
Swamidwa Habidadi ni kutoka Burkina Faso ambaye ni mkulima mwenye mafanikio makubwa. Alianza kilimo akiwa na umri mdogo wa miaka 16 baada ya wazazi wake kufariki dunia, na kwa sasa amejitolea...
8 Reactions
72 Replies
4K Views
Habari za jumamosi jamii forum, Ni weekend nzuri kabisa ya mwisho wa mwezi,ambayo bila shaka bidhaa na shopping kibao zitafanyika huku kesho jumapili tukipunguza michango na zaka kwa kiasi...
5 Reactions
9 Replies
429 Views
1. Vitu unavyopost vinaonesha wewe ni mtu wa aina gani, kumbuka kuweka safi ukurasa wako kila wakati 2. Page na magroup unayo follow yanaonesha wewe ni mtu wa aina gani, rafiki zako wanaona vitu...
10 Reactions
1 Replies
539 Views
Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Taifa, yaani NFRA ni Taasisi iliyoanzishwa mahsusi kuhakikisha kuna kuwepo na Hifadhi ya Mazao ya Chakula muda wote Nchini. Hununua mazao ya Chakula, kuyahifadhi...
2 Reactions
3 Replies
360 Views
Namna ya Kulinda Usalama wa Watoto Mtandaoni 1. Zungumza na mtoto juu ya matumizi sahihi na salama ya mtandao 2. Mfundishe mtoto kuhusu taarifa binafsi na namna ya kuzilinda 3. Weka mipaka ya...
4 Reactions
3 Replies
367 Views
Chanzo cha picha,AP Ndege isiyo na rubani ilirushwa kuelekea nyumbani kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu katika mji wa Caesarea kaskazini mwa Israel siku ya Jumamosi, msemaji wake...
2 Reactions
10 Replies
610 Views
Back
Top Bottom