Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu huu msemo wa mtoto kautaka una maana gani? Jana ninerudi zangu home na wenge la kufungwa na yanga kijana wangu mdogo miaka mitano tu. Yuko bize anaimba mtoto kautaka mtoto kautaka, sasa...
0 Reactions
3 Replies
296 Views
Inasikitisha sana kuona kijana analia kisa timu yake imefungwa. Lakini huyo huyo kijana hutamuona kamwe katika harakati za kupambana na kupinga viongozi wanao kula pesa za uma!! Unadhani kama...
1 Reactions
1 Replies
192 Views
Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe. Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono. Kizazi hiki ndo kizazi...
22 Reactions
109 Replies
3K Views
Zamani nilikuwa katibu kata sasa nimepindishwa cheo Sifa zangu (nyingine za kijinga) . Kupenda mipasho ya mitandaoni . Hulka ya kujiona najua kila kitu . Hasira na ghadhabu bila sababu za msingi ...
7 Reactions
20 Replies
691 Views
Letters ‘Witchdoctor’ tag is hurting Tanzania’s image in the region Posted Sunday, June 19 2011 at 11:33 The number of Tanzanian witchdoctors (or those purporting to have come from...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Kwa jinsi hali inavyoendelea hapa Tz, nashindwa kutoifananisha nchi yangu na gesti bubu ambapo kila mwenye uwezo wa kulipia chumba anaweza kufanya anavyotaka chumbani hata kama kalipia 'show...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anonymous (8fad)
Awali ya yote napenda kuushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuendelea kuruhusu kufichua maovu yanayoendelea kutendeka katika jamii zetu. Kuna ukatili wa watoto (wanafunzi unaoendelea katika...
9 Reactions
87 Replies
5K Views
MY STORY: Nilisema nitamchukua Bada ya miaka 7 nimeenda nimekutana na Makaburi mawili! Nakumbuka meseji yangu ya mwisho niliyomtumia ilikuwa ni kumwambia, "Wewe lea mtoto, akiwa mkubwa atakuja...
29 Reactions
62 Replies
3K Views
TABIA YA WANAWAKE WANAONG'ANG'ANIA WATOTO HUKU HAWAWEZI KUWATUNZA IKOMESHWE. NI UKATILI KWA WATOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nasema haya baàda ya Yale yanayotokea kwèñye jamii zetu...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba kuuliza je AVN number inatumika kwenye kuomba lesseni kwa Clinical Officers (CO)
2 Reactions
2 Replies
182 Views
Huu utaratibu wa waumini wa kanisa katoliki kukutana kila Jumamosi kwa ajili ya taratibu zao za Jumuiya nadhani linapaswa kuigwa na liwe jambo la kila Mtanzania.Jumuiya hizi hujengwa na familia...
11 Reactions
65 Replies
1K Views
Kwakwwli huyu kocha aliongea jambo la kweli kabisa. Baada ya Vyura leo kutufunga goli 1-0 kiongozi mkubwa wa simba anakuja hadharani akimtuhumu kipa kuuza mechi kutokana na matamshi yake. Jambo la...
1 Reactions
5 Replies
276 Views
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema kuwa zoezi lililo kuwa linaendelea la kuzitafasiri sheria mbalimbali kutoka lugha ya Kiingereza kwenda kwenye lugha ya Kiswahili zoezi hilo litakamilika Mwezi...
2 Reactions
8 Replies
288 Views
Hizi line za lipa kwa sasa zimejaa mtaani kiasi kwamba limetikisa soko kubwa kwa mtandao mzima wa uwakala ambao hapo zamani ulikuwa na faida kibao. Ukiangalia karibia mawakala wote wana line za...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukiona kijana wa kiume au mwanaume mtu mzima kila mara anaongea "wanaume ni muhumu kuoa wanawake mabikiara" , mara siku hizi bikira ni adimu sana na upuuzi mwingine kama huo mara nyingi huyo...
9 Reactions
36 Replies
821 Views
Kesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya...
6 Reactions
92 Replies
4K Views
Eti wakuu, Kuna mtu humu amefanikiwa kupata namba ya NIDA kwa kujiandikisha online tofauti na kwenda kabisa kwenye ofisi zao? NIDA Tanzania
1 Reactions
8 Replies
561 Views
Nimekubali maombi ya wengi wenu kwamba niongee chochote kuhusu huu mgogoro wa wapalestina na waisrael ili kuweka sawa hali ya hewa iliyochafuka kwa maoni yasiyoeleweka. Nikiwa kama mzalendo kwa...
10 Reactions
33 Replies
3K Views
Kabla ya kijazi interchange eneo hili lilikuwa linaruhusu wananchi (wanafunzi/wakazi/watembezi na sisi wazururaji) kuvuka kutoka upande mmoja hadi mwingine bila shida. Ila baada ya kuwekwa flyover...
1 Reactions
22 Replies
587 Views
Mhadhara - 45: Asilimia kubwa ya MEME zinazosambaa kwenye MITANDAO YA KIJAMII na kupostiwa na watu kwenye STATUS UPDATES zinaandikwa na watu (vijana) wenye fikra finyu na wasiojitambua. Unapaswa...
4 Reactions
23 Replies
842 Views
Back
Top Bottom