Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wenye akili ambao hawazitumii akili zao km watu wengine walivyotarajiwa. Wanaitwa Washamba. Wanadharauliwa. Wanaonekana hawafai kwenye jamii wanayoishi. Hawasikilizwi hata kwenye kikao cha...
3 Reactions
23 Replies
324 Views
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba akiwa njiani kuelekea Hifadhi ya Taifa Serengeti amefanya ziara ya kushtukiza...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika...
2 Reactions
46 Replies
1K Views
2023, alijenga visima vya maji Kenya, Zimbabwe, Uganda, Somalia na Cameroon, na kusaidia watu 500,000 kupata maji safi. How come mwamba hakuwa celebrated na viongozi hawa? Hakuwa granted kama...
3 Reactions
5 Replies
223 Views
Licha ya sisi Wananchi kulalamika kila mara lakini ni kama Mamlaka zinazohusika zimeziba masikio, kwa kuwa haitusikii, wanatatuaje kilio chetu. Kwenye kata yetu ya Kijombe, Wilaya ya Wanging'ombe...
4 Reactions
11 Replies
385 Views
Napata ujumbe huu "error initializing transfer request " Niliomba maombi ya uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi , mwenzangu aka accept ombi then maombi yakatumwa kwa mkurugenzi na kuwa...
0 Reactions
6 Replies
231 Views
Wiki ya pili sasa kuna foleni kubwa sana, MWAUWASA mabomba yamepasuka na baadhi ya mitaa maji hakuna. Daraja halina njia ya watembea kwa miguu. Njia za michepuko za Mabatini ni mbovu na zina...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Kila mmoja anashuhudia jua lilivyo kali, mvua zimechelewa kwa mikoa ya pwani, maeneo mengine ya nchi mvua ni chache, jua kali mazao yanakauka. Kuna kila dalili ya upungufu wa chakula/njaa...
1 Reactions
20 Replies
223 Views
Tupe uzoefu wa mwaka 2025 kwa siku hizi siku 64 za mwanzo. Toka january mpaka leo, vitu gani vya manufaa au tabia gani mpya zimekusaidia / zimebadili maisha yako. Binafsi ni ku prioritize afya...
7 Reactions
55 Replies
654 Views
Tanzania imeshika namba 5 Kwa Utalii Afrika mwaka 2024 kutoka namba 7 mwaka 2023. Mafanikio haya yametokana na juhudi za Serikali ya Samia kutangaza Utalii Kwa njia mbalimbali lakini njia...
2 Reactions
34 Replies
286 Views
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo . Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya Shughuli zangu...
44 Reactions
68 Replies
2K Views
Huku mtaani kuna kundi la watu wengi hawana ajira na wamekuwa wakipambana juu chini kutafuta ajira wakiwemo Vijana. Wakati huohuo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma...
0 Reactions
2 Replies
464 Views
Mikoa yote miwili, Geita na Njombe, inalingana kiumri. Ilianzishwa mwaka 2012. Kila mkoa una rasilimali ya kipekee tofauti na mkoa "mwenzake". Njombe kumeshamiri kwa kilimo, hasa miti ya mbao na...
9 Reactions
68 Replies
4K Views
Huyu mshana ni kichwa sana mwisho wa mwaka akija kupewa tuzo ya content bora za ubunifu msije kuona kapendelewa tusimnyanyase tumpe maua yake aiseee. Kitambo sana sijapost kwa mwezi wote wa pili...
2 Reactions
16 Replies
258 Views
Elon Musk ameachia Moja kati ya Project yake mpya inaitwa Tesla solar roofs. Ni aina ya MABATI ambayo yametengenezwa Kwa Solar, badala ya kuhangaika na Umeme wa Solar, unanunua tu MABATI haya...
21 Reactions
46 Replies
2K Views
Wiki hii, serikali ya Trump ilitangaza tena kuongeza ushuru wa 10% kwa bidhaa za China zinazouzwa Marekani kwa kisingizio cha suala la Fentanyl na mengineyo, huku pia ikiongeza ushuru wa 25% kwa...
0 Reactions
5 Replies
193 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…