Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mwili wa Dr. Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu, Tabora umeokotwa maeneo ya Malolo, Tabora asubuhi ya leo. Dr.Chami aliondoka nyumbani (Kaliua) Jumatano ya...
12 Reactions
122 Replies
10K Views
Kukitokea misiba hasa ya viongozi au watu maarufu huwa naona kuna kitabu cja wageni . Lakini kwenye misiba ya kawaiada huwezi kukuta kitu kama hicho zaidi ya kitabu cha michango ambayo ndio...
7 Reactions
75 Replies
12K Views
Anonymous (e4fd)
Kuna shida ya kuangalia online namba ya NIDA hawaleti namba inasababisha changamoto. Tafadhali IT wa NIDA rekebisheni hili
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Unapokua katika msoto wa kutafuta kazi kiutaratibu wa matoleo unapaswa kuupeleka mshahara wote baada ya malipo yako ya kwanza kama malimbuko kanisani. Hii inakusaidia kukulinda kazini dhidi ya...
0 Reactions
3 Replies
314 Views
Zaidi ya asilimia 90 ya huduma zinazotolewa kwenye migodi ya madini nchini zinatolewa na watanzania huku vijana wakiaswa kutunza afya zao na kuepuka makundi hatarishi ili kuzifikia fursa zilizopo...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Kwa ambaye amefanikiwa kuomba hizi leseni TCRA na kufanikiwa kupata ama anayefahamu taratibu za kuzipata naomba muongozo hapa ama mawasiliano yake anielekeze kitu, nitamfidia muda wake. Asante
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Huenda wakati mwingine kama wazazi huwa tunapenda wenetu wasome katika shule zenye majina makubwa au zile ambazo ni maarufu hapa jijini dar es salaam, lakini kiukweli maumivu ya usafiri wa...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Kwangu nijambo la kushangaza Sana. Inakuwaje viongozi wapo na wanaendelea kuwepo pale ambapo Taasisi inapata hasara ya zaidi ya bilioni na inaviongozi watu wazima? Impact Yao niipi Kama Taasisi...
1 Reactions
7 Replies
313 Views
Vatican City: Nchi? Mji? Serikali au Kampuni? Nadhani moja kati ya maeneo ambayo yamekuwa tata zaidi kuyaelewa basi ni mji wa Vatican… tukiachilia mbali kuhusu utata/ugumu wa kuelewa mfumo wake...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
1. Hakikisha Kompyuta au simu yako inajifunga Kioo (Lock Screen) muda mchache ikikaa bila matumizi ili kuzuia mtu kutumia bila ruhusa 2. Ikiwa unahifadhi Taarifa Nyeti kwenye ‘flash drive’ au...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Siwatishi, hili naliongelea kama mzazi. Hizi birthday na party za ajabu ajabu zinaharibu sana watoto wa watu. Hata kwa wanawake wenye watoto wengi, wanapotaka kwenda kwa wanaume zao, wanatumia...
4 Reactions
7 Replies
572 Views
Anonymous (f3cb)
Nimemaliza chuo kikuu cha st John's Dodoma (st.John’s university of Tanzania ) intake ya 2014/2017 fani ya maabara kwa ngazi ya stashahada(diploma in Medical laboratory ). Licha ya kuwa nimepata...
1 Reactions
0 Replies
394 Views
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo...
25 Reactions
86 Replies
4K Views
Kwa hio mnataka kujifanya mmelemewa na wateja, aaah wapi, hii benki kimei aliondoka nayo na waliobaki ni wazinguaji tu. Kama ukuu wenu ndio unawapa viburi tambueni akaunti zetu sio mikataba na...
2 Reactions
9 Replies
239 Views
Mkuu wa Kitengo cha Hazina na Masoko ya Dunia wa benki ya Exim Tanzania, Nelson Kishanda akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 katika tawi...
1 Reactions
2 Replies
171 Views
Ndoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana. Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume...
17 Reactions
66 Replies
2K Views
Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena...
8 Reactions
460 Replies
44K Views
Haya maisha bana, ukiamua kufuata vitu kwa njia ya haki unakuta unapoteza muda na hao ambao wko responsible kuhakikisha mambo yanaenda vizur hajisogez hata kidogo. Just imagine nina msala...
9 Reactions
30 Replies
821 Views
Kuelekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya leo nimejikuta nimekumbuka nyuma kidogo mwanzoni mwaka miaka ya 2000 kurudi nyuma. Namna ambavyo sherehe hizi zilivyokuwa zinafana na kupendeza kwa namna...
20 Reactions
130 Replies
18K Views
Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli. 1...
3 Reactions
25 Replies
845 Views
Back
Top Bottom