Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Just imagine kwenye harusi moja ya mtoto wa kiongozi mmoja wa serikali ya mapinduzi zanzibar amezawadiwa bilioni 1.5 ndiyo 1.5 bilion hizo pesa zinatoka wapi? Sio kama wizi nini? Mtumishi wa umma...
4 Reactions
8 Replies
786 Views
Huenda mwenzangu hapo ulipo unapitia misoto, yani dili zako hazitiki kwa wakati na hata zikatiki zinakutana na changamoto lukuki kias kwamba hata pesa uliyoipata inafikia madeni, magonjwa, ajali...
1 Reactions
1 Replies
157 Views
Ninataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie Ahsanteni sana
0 Reactions
39 Replies
1K Views
Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni. Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali. Ipi tiba yake?
6 Reactions
86 Replies
3K Views
Je una utamaduni wa kuandika ndoto unazoziota? Ndoto ni lango la taarifa, maarifa NK. Taarifa na maarifa hayo huweza kuwa mazuri/ mema au mabaya/ maovu. Fikiria unaota kila mara uko makaburini...
2 Reactions
2 Replies
306 Views
Ni swali la upimaji IQ Mtu akikwambia njoo tugawane umaskini halafu ni swala la mchongo yaan wewe unatumbua nini?kwenye ubongo wako
2 Reactions
4 Replies
492 Views
KARATU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Degratius Ndejembi ameelekeza mkazi wa Karatu mkoani Arusha mwenye viwanja Block 'J' mzee Desderi Damiano kuendeleza eneo hilo kwa...
0 Reactions
1 Replies
216 Views
Yaani niko mahali na mtu mdomo unatoa harufu kali mpaka hewa inakuwa nzito, sasa ukimuangalia ni kijana mdogo miaka 21. Naombeni namna ya kumwambia kama mdomo wake unatoa harufu bila kumuudhi...
11 Reactions
84 Replies
2K Views
Ujumbe wa wataalamu 14 kutoka nchini Zimbabwe umekuja nchini Tanzania na kutembelea Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa lengo la Kujifunza utaratibu wa umiliki ardhi sambamba na...
5 Reactions
15 Replies
492 Views
Vyoo vinavyotumiwa na Wanaume katika Kituo cha Mabasi cha Mpemba kilichopo Tunduma vimerekebishwa na sasa vinatumika. Awali, Mdau wa JamiiForums.com alisema kati ya sehemu 10 zinazotumika kwa...
1 Reactions
14 Replies
484 Views
Watoto wote wana haki sawa, maamuzi ya wazazi hayana uzito wa kuwabagua, Mali zipigwe pasu kwa pasu kwa watoto wote bila kujali ni wa ndani ya ndoa au nje. Nimeshangazwa kusikia kinachoendelea...
2 Reactions
10 Replies
552 Views
Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mimi sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa...
7 Reactions
45 Replies
934 Views
Anonymous (83db)
Mimi ni mtumiaji wa huduma za internet za kulipia kwa mwezi,watoa huduma wengi wamekuwa si wakweli na mara nyingi hawatoi kile wanachokiahidi kwa wateja. Mimi ni mhanga wa halotel wiki nzima...
0 Reactions
0 Replies
99 Views
Radio maria acheni udini aisee mnazingua aisee Tanzania kuna dini kubwa mbili aisee sasa kwanini kila siku nyie mnaizungumzia dini moja tu ya ukristo? Ili hali nyie ni radio tu kila mtu anapaswa...
11 Reactions
35 Replies
953 Views
Yeye ni muislam, Azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na Hamas, pamoja na wahurthi. 1. Anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia...
23 Reactions
103 Replies
6K Views
Aisee mnazingua Sana yaani daily laza mkate,. umeme .acheni Mambo hizo.mmekata asubuhi mmerudisha saa kumi na mbili.umekaa dakika tano mmekata Tena. Kaeni nap basi msirudishw Tena,milele na...
0 Reactions
5 Replies
206 Views
Salaam, Watu wengi ukiwauliza juu ya michongo yao/mafanikio yao, watakuambia walipewa connection/support na marafiki zaidi kuliko ndugu. Hata post za kazi zikitoka, ni rahisi sana kuona sim za...
23 Reactions
121 Replies
2K Views
Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024. Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa...
53 Reactions
795 Replies
78K Views
Wanasema "hata akienda juu Kapungu hafikii kwa Mungu" ndiyo. Sisi wazee wa zamani tumekutana na mengi hadi kufika umri huu...kutekwa kisiasa,kiuchumi na kimapenzi pia. Lakini tumeweza ku survive...
14 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom