UISLAM NA UKRISTO SIÔ MAADILI YA MTANZANIA NA MUAFRIKA NI MOJA YA NYENZO YA MMOMONYOKO WA MAADILI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Kîla jamii inamaadili yake. Maadili yanatokana na ûtamaduni...
Leo viwanda vimetangaza upandaji wa bei ya cement, sasa itauzwa kwa kati ya 18,000 hadi 18,500 kwa dar. Najiuliza viwanda tunavyo hapahapa tatizo lipo wapi? Wataalam mtusaidie..
Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) ya Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania, iliyokutana tarehe 2 Oktoba 2024 imeamua Riba ya Benki Kuu (CBR) kuendelea kuwa asilimia 6 kwa robo mwaka...
Update (Agosti 21, 2024)
Mtaalamu wa Mawasiliano, Daktari Watoa Ushahidi Kesi ya Ubakaji wa Binti wa Yombo
Kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaotuhumiwa kwa makosa ya ulawiti na ubakaji kwa...
Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful
Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo...
Waandishi waliotoa story kuhusu Mwananchi mmoja mkazi wa Ikungi aliyedaiwa kuuawa na Askari wa Jeshi la Akiba katika Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji wamepigiwa simu na OCD leo kuwa waripoti kituoni...
1. Listen more, talk less
Most people love to hear themselves speak. Stay quiet, absorb everything - they’ll reveal more than they think.
2. Ask smart questions
The right question can reveal more...
Mantiki ya swali langu inalengo la kufahamu, je, Ekaristi ni kitu ‘Spiritual’ au ni kitu ‘physical’? Meaning, mtu anaweza kupokea Ekaristi bila kula kile kioande cha mkate? Spiritually tu kwa kuamini?
Bill Gates anasema iwapo Dunia itakwepa kuingia kwenye vita ya Dunia basi itaangukia kwenye janga kama la Covid ndani ya miaka 25 ijayo.
Gates anasema hivyo ni vitu visivyokwepeka, unkwepekable...
Habari wapendwa!
Kuna mabasi yanayotoka Dar Es Salaam kwenda Mombasa - Kenya? Je kama Yapo nauli ni sh. Ngapi? na Kwa Dar nayapata wapi? Nielekezeni utaratibu.
Ni aina ipi ya stress unapitia kiasi kwamba imekua ni changamoto inayo tatiza baadhi ya mafanikio katika kazi, biashara, masomo, familia na majukumu yako mbalimbali mengine.
Ladies and gentlemen...
Hii nimeisikia asubuhi ya leo redioni lakini mniwie radhi kutokana na majukumu nilichelewa kuirusha. Kwa ufupi maofisa wawili waandamizi wa safari za anga wamesema msafiri halazimishwi kujua lugha...
10 safest countries to live in if World War III happens
The global landscape is teetering on the brink of World War III, marked by the widespread spectre of terrorism enveloping more than half of...
ZOEZI LA SENSA YA WANYAMAPORI LAZINDULIWA RASMI LEO MKOANI MOROGORO
Na Happiness Shayo-Morogoro
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana amezindua rasmi zoezi la Sensa ya...
Natamani nijue hivi shirika la mwendokasi "dart" ndiyo linakaribia kufa..? Nauliza hivi kwakuwa magari yanazidi kuchoka na hayaletwi magari mbadala shirika linatoa huduma mbovu bora hata ya...
Iko hivi
Dar familia zinakula chakula kibahiri sana ili watoshe. Kutokana na hiyo hali ya kujinyima msosi wenyeji wamejikuta wamezoea.
Lakini hali ni tofauti kabisa kwa sisi wa kutoka mikoani...
“Jambo kubwa ambalo tumekuja kuligundua ni pamoja na wazazi wa wilaya ya temeke kutowajibika ipasavyo katika malezi ya watoto.
Mara nyingi tunafahamu kuzaa lakini hatufahamu kabisa maswala ya...
Katika jamii yoyote huwa kuna utofauti wa vipato kiuchumi kwa makundi mbalimbali ya watu.
Sio jambo jipya kwamba kote duniani na hata hata bongo Wapo watu masikini kabisa, wa kipato cha kawaida...
Anaanfika Prof M. Martin Mhando
Profesa Ikaweba Bunting ni mtu wa kukumbukwa kweli.
1. Kama mtengeneza filamu alikuwa katika crew iliyotengeneza filamu ya kwanza kubwa Tanzania, Fimbo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.