Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jana Tarehe 2.10.2024, Nilikua naongea Sehemu. Kuna kitu nilikua sijui ikabidi niulize nasikia mara nyingi Rais anaitwa Mama Samia. Anamtoto anaitwa Samia? Wakaja wajuzi wakaniambia Samia ni...
1 Reactions
5 Replies
303 Views
Ndugu zangu, kwasasa nipo nje ya ajira. Nahitaji kuchukua mafao yangu ya NSSF. Sasa, jina langu la kwenye account ya NSSF limetofautiana kidoogo na jina langu la kwenye kitambulisho Cha kupigia...
3 Reactions
15 Replies
967 Views
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti ametoa maelekezo ya kusimamishwa kwa mchakato wa utafutaji madini kwa kulipua mawe kwa baruti eneo la King’azi A kusimamishwa kwa kuwa hana vibali na hivyo...
1 Reactions
3 Replies
455 Views
Hili dude limejaa uongo mtupu halina maana , baada ya kusema anayemiliki Tanzania ni Mohamed Dewj leo linatulisha Matango pori USSR
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu, Jaman naombeni msaada wa kufanya ili nikate harufu ya pombe mdomoni. Hapa nimekunywa na mke wangu hapendi ninywe kwani huwa tunafarakana sana nikinywa na alinambia siku...
3 Reactions
193 Replies
31K Views
Habari wadau! Hivi hizi habari za vitu vya kale sijui na hela za zamani kuna ushahidi wowote hapa Tanzania mtu kapata hela kwa haya mambo? Msaada wenu na ndugu yangu kazama kwenye haya mambo...
0 Reactions
10 Replies
946 Views
Israel imepiga marufuku secritary general wa UN kukanyaga aridhi ya Israel kwasababu Guterrezi amekataa kulaani kitendo cha Iran kupiga makombora isreal siku ya jumanne. UN umeanza kua toothless...
1 Reactions
19 Replies
463 Views
Pamoja nauwepo maji ya kutosha lakini watuwanakosa maji safi na salama ya kutumia Hivi karibuni, katika Jiji la Nairobi nchini Kenya, ilizinduliwa Taarifa kuhusu Hali ya Mazingira ya Afrika kwa...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Nimetafakari sana juu ya mfano wa mtu anayeogelea ufukweni akiwa uchi huku mwingine akimuangalia na kumcheka alivyo. Katika tafakari hii nimejikuta nakosa maana ya kumcheka Kwa sababu tofauti ya...
0 Reactions
4 Replies
197 Views
Kwetu hapa Tanzania Sasa ni kama vile tumerogwa.Nje ya Dar hakuna Barabara zozote za maana,hata Uganda na Kenya wametuacha mbali sana. TanRoads acheni kuwa rigid ,kwani nyie hampendi miundombinu...
14 Reactions
113 Replies
4K Views
Kupata taarifa sahihi ni njia mojawapo ya kujikinga na upotoshaji, ukiwa na taarifa sahihi itakusaidia kufanya maamuzi sahihi na kuepuka kuwapotosha wengine Unashauriwa kuwa na vyanzo vya...
2 Reactions
0 Replies
176 Views
Mataa ya urafiki apa Bodaboda amepasuliwa na daladala muda huu daresalam ✍️ Awakomi
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Bila Kupoteza Muda , Siku Zote Nimekuwa Nikijiuliza Hivi Kuna Mganga Wa Kienyeji Ambaye Anaweza kutatua shida Au akawa mkweli Akakusaidia Na Ukafanikiwa? ... Wenye Experience ambao Mmetembea...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Iran ndipo anapompatia silaha hezbollah Iran na Russia ndipo waapopeana silaha na usaidizi mwingine USA ndipo anapopatumia ku-attack adui zake wa middle east ISIS ndipo wanapouzia artifacts za...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Wakati Rais Samia anasherekea miaka 3 Madarakani,Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imeendelea kuandika rekodi Juu ya rekodi Kila msimu Kwa kufanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 6.63 Kwa robo ya Tatu...
4 Reactions
67 Replies
2K Views
Nawaza tu kama wale jamaa wamefungwa maisha kwa kubaka Vipi aliewatyma?? Na kama bado yupo mtaanj mmejipangaje kumlinda yule dada aliefwanyiwa usheenzi Nawaza tu kama aliewatuma watuwake...
1 Reactions
18 Replies
274 Views
#HABARI Watu wanne wamepoteza maisha na wengine 15 Kujeruhiwa baada ya basi Kampuni ya Kapricon (T 605 DJR) iliyokuwa ikitokea Jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha kupata ajali ya kuacha njia na...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninatatizo ambalo nashindwa kuelewa kama nimerogwa au vipi Kila nikipata kazi najikuta nimekuwa mtu wa kuchelewa Chelewa kazini Mara ninaacha kabisa kazi Au nafukuzwa kazini Tabia hiyo...
2 Reactions
22 Replies
829 Views
Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti...
21 Reactions
82 Replies
2K Views
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita.. NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid...
3 Reactions
14 Replies
359 Views
Back
Top Bottom