Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu, najua kuna wengine mtakua mnajua. Ukiwa unacheki utabiri wa hali ya hewa kwenye App au Google eneo flani, utaona wameandika Precipitation hafu wanaweka asilimia flani, mfano 50%. Sasa...
1 Reactions
1 Replies
183 Views
Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata. Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za...
26 Reactions
136 Replies
4K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu leo amezindua na kukabidhi jumla ya magari 11 huku gari moja likiwa ni Gari la Kubebea Wagonjwa ambapo pia gari hilo litataoa...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Halmashauri ya Mji Kibaha inatarajia kutoa mikopo kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu yenye thamani ya Shilingi 1,169,428,549 ili kuwawezesha kupambana na adui umasikini...
0 Reactions
0 Replies
495 Views
Baada ya kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote 785 Mkoani Mtwara, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 16.7 wa kusambaza umeme...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Anonymous (d153)
YAH: MALALAMIKO JUU YA TAASISI ZA MIKOPO MTANDAONI Kama mnavyojua changamoto zipo kwa Kila mtu hasa upatikanaji wa fedha pale unapokuwa umepata shida ya ghafla yenye uhitaji wa pesa au changamoto...
8 Reactions
91 Replies
19K Views
Ana andika, Robert Heriel Mtibeli Mimi ni miongoni mwa wale Watu àmbao wakati nilipokuwa mwanafunzi sikuwahi kuibia mtihani tangu naanza Shule mpaka namaliza Chuo Kikuu kwasababu nilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
380 Views
Habarini ndugu, kuna mwamba namdai pesa about 100m.. jamaa nilimkopesha na tuliandikishana mkataba. Ni muda mrefu miaka 5 sasa. Nilimpeleka police, lakini haikuzaa matunda kwa kuwa jamaa alikuwa...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Tanzania Religious figures Tanganyika 85% Pagan/ Non Religious/ Atheist 7.4% Christian 5.2% Islam 1.5% Hinduism 0.9% Others; Judaism, Buddhism, other traditional religions Zanzibar 84% Islam 9%...
8 Reactions
66 Replies
1K Views
Wakazi wa Kijiji cha Kigina Kata ya Ntobeye wilayani Ngara mkoani Kagera waliokuwa wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya Maji safi na salama Wanatarajia kuondokana na Changamoto...
0 Reactions
3 Replies
146 Views
DKT. FLORENCE SAMIZI: MATOKEO YA ROYAL TOUR YAONEKANA MOYOWOSI, IDADI KUBWA YA WATALII NA MAPATO VYAONGEZEKA Mbunge wa Jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema filamu...
0 Reactions
1 Replies
169 Views
Naam Naam Wana Board Husika na Kichwa Cha Habari Hapo Juu Matumizi ya makaa ya mawe yamefanyiwa utafiti na kuonesha yanafaa kwa matumizi ya nyumbani na hayana moshi na huwaka kwa muda mrefu...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi. Inadaiwa...
3 Reactions
4 Replies
365 Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani katika Tamasha la Wasafi Festival...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni...
7 Reactions
196 Replies
6K Views
P Diddy amebeba Ajenda kubwa kwa ajili ya kupromote LGBTQ Community. Hivyo kwa mnaotegemea anaenda kuozea Jela mtasubiri sana. Jamaa ataachiwa huru na kila mmoja atashangaa. Huu uzi ubaki kama...
4 Reactions
12 Replies
936 Views
Karibuni katika darasa huru Tuelimishane! Serikali ikiwa ndiyo yenye dhamana ya kuingiza mafuta nchini; na kuyauza kupitia bandari yetu; Hoja iko hivi; Kama mwagizaji wa mafuta haya ni mmoja na...
3 Reactions
69 Replies
10K Views
Anonymous (e485)
Wafanyakazi wa Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho iliyopo Songea mkoani Ruvuma wakiwemo wauguzi na wafamasia wametishia kuishtaki hospitali hiyo kwa madai ya kutokulipwa mishahara yao ya mwezi...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Jana jioni natoka Dar kuja Msata Vituo vingi sana vilikuwa havina Diesel wala Petrol Leo asubuhi Vituo Vyote vinasoma Mafuta yapo na bei ya Mkoa wa Tanga Ndio nashangaa haya Mafuta yameshusbwa...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Hapa nitasimulia kilichotokea katika uhalisia wake! Kuna mafuta mazito ya kuendeshea mitambo yanaitwa IDO (INDUSTRIAL DIESEL OIL) Haya yanapatikana kwa njia mbali mbali lakini zilizo maarufu ni...
25 Reactions
49 Replies
6K Views
Back
Top Bottom