Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wale truck drivers wenye kauzoefu kiasi karibuni ofisini kwetu tuwaunganishe mkaendeshe trucks along europe, kampuni iko Lithuania mshahara ni kuanzia euro2300 plus bonus kutakuwa na training ya...
6 Reactions
89 Replies
3K Views
Achana na wale unaokutana nao pembeni ya barabara wakihitaji msaada wa chochote, sikuhizi kuna ombaomba hawa ambao ukiingia kwenye mahusiano tu basi utaletewa matatizo chungu nzima. Nashauri...
3 Reactions
12 Replies
360 Views
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani Dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama...
4 Reactions
52 Replies
2K Views
Hello! Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu...
12 Reactions
27 Replies
852 Views
https://youtu.be/aKU5VNs6QYw?si=FJWd_arcRqBGZPVo
1 Reactions
1 Replies
168 Views
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika. Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza...
4 Reactions
12 Replies
306 Views
Kwahiyo kumbe hata Mimi GENTAMYCINE nikienda Kuwatembelea Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina Mtani wangu Arovera, mrangi, Bila bila, SAGAI GALGANO. rodrick alexander na Mjeda wangu wa...
6 Reactions
3 Replies
335 Views
Lakini sasa itakuwaje? Maana mentor tayari yameshamfika shingoni huko Marekani!
6 Reactions
17 Replies
856 Views
Wadau mada yajieleza. Jumatatu ijayo nitakuwa igunga hadi alhamisi. Sasa kwa waijuao Igunga, nile na kunywa wapi na nilale wapi? Maeneo yawe mazuri sana. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa...
26 Reactions
122 Replies
4K Views
Nimechaguliwa kusoma Bsc of science in human nutrition ,naomba nishaurini chochote kuhusu hii course kama ni nzuri # Natanguliza shukrani zangu za dhati wakuu#
2 Reactions
1 Replies
110 Views
Kuna wazazi hawataki watoto wao waongoze darasani kwa kuogopa kulogwa! Kuna watu wakichomoza katika biashara watagundua adui wake wa kwanza ni shetani baada ya kuanza kutupiwa majini na ndoto za...
4 Reactions
6 Replies
551 Views
Kuna hii app ya mikopo ya online, inayoitwa Swift Fund, hawa ni wezi kabisa.. Unakopa, wakati wa kulipa wanakutumia link, unalipa, na Deni lako linaendelea kuwepo, hakuna kinachobadilika...
1 Reactions
4 Replies
382 Views
Anonymous (20ba)
Wahudumu wa zahanati ya Msoga hasa baadhi ya madaktari hawako serious na wagonjwa, Leo nimefika kutibiwa hospitalini hapo kilichotokea ni kwamba wagonjwa wote tulipoingia chumba cha Daktari...
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Katika jitihada za kukuza mashirikiano yenye tija, Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete(JKCI) imeanza kushirikiana na Hospitali ya Medanta iliyopo nchini India katika kubadilishana ujuzi wa fani...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Aliwahi kuandika mwana fasihi MBUNDA MSOKILE kwenye kitabu chake cha USIKU UTAKAPOKWISHA, kwamba; Ukikosa Kware mawindoni rudi na bundi. • Msemo huu uwakumbushe wale ambao wanasubiri kazi za...
2 Reactions
2 Replies
225 Views
Ni mtoto labda ndio hajui kuwa hamas na hezbollah ni midori ya Iran. Iran atafanikisha lolote lile liendalo na utapeli wake hata kwa gharama ya damu ya watu wake wenyewe. Nini haswa madhumuni ya...
1 Reactions
1 Replies
233 Views
Wale watoto nadhani wa Peramiho Songea wametupa Somo watanzania tusiwe jamii ya kupenda kila kitu tusaidiwe. Ni vema tukiwa jamii ya kupenda kutoa au kuchangia. Tuache dhana ya kuona kila jambo...
1 Reactions
1 Replies
257 Views
Kama mambo aliyofanyiwa na Diddy hayaelezeki, kwa nini tusiamini kama kati ya hizo chupa 1000 ya futa, kuna chupa 1 inamuhusu?
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Jinsi ya Kujua Namba ya IMEI ya Simu Yako 1. Njia ya Kupiga Namba: Fungua programu ya simu kisha piga *#06#. Namba ya IMEI itaonekana moja kwa moja kwenye skrini. 2. Njia ya Mipangilio...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom