Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Iko hivi baada ya kutoka mjini nikiwa na mke wangu nilienda nyumbani kwa wazazi wangu baba na mama, sasa pale kuna dada yangu ambeye namfuata yeye ameachika hivo yupo tu nyumbani anadanga...
10 Reactions
30 Replies
3K Views
WAZIRI DKT. NDUMBARO ATEMBELEA MAONESHO TAMASHA LA TAMADUNI Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Septemba 22, 2024 amekagua mabanda ya maonesho katika Tamasha la...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Hivi kuna anayejua dawa hasa ya kuua hawa wanyama/ndege aina ya popo? maana naona wanakuwa kero kweli kweli kwenye nyumba. hivi wataalam kweli wameshindwa kutengeza dawa au sumu ya popo? Naona...
0 Reactions
46 Replies
43K Views
Wakuu, Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba. Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni...
8 Reactions
74 Replies
5K Views
Ni karibu mwezi wa pili sasa Radio EFM haisikiki Morogoro, tatizo ni nini? Au labda hamjui kwamba matangazo yenu yamekatika Kwa muda wote huu? Mnatukatili wasikilizaji wenu. Au labda tukubaliane...
0 Reactions
2 Replies
203 Views
Hawa watu (rasta men) wanavuta sana bangi lakini bado wanabaki kuwa watu wa Amani na Utulivu sana katika Jamii. Hivi kuna nini mpaka haiwasumbui kichwa kama ilivyo kwa watu wengine?
4 Reactions
18 Replies
2K Views
FISTULA INATIBIKA EPUKA UNYANYAPAA , mpe taarifa ndugu , jamaa na rafiki kuhusu taarifa hii ili kurudisha tabasamu katika Jamii .
1 Reactions
2 Replies
63 Views
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta nakodisha banda liliko lipo wazi msimu wa mwaka jana. Mtaa ninao kaa kulikuwa na mabanda mawili ya mpira ila msimu huu jamaa mmoja hakufungua...
13 Reactions
71 Replies
2K Views
Huyu mwamba ambaye katika Himaya ya Utwitani ni Maarufu kwa Id ya Msouth Madenge nilichokigundua huyu jamaa anauwezo Mkubwa wa kuchambua mambo kwa haraka zaidi yaani kwa lugha nyepesi ni mtu...
7 Reactions
120 Replies
7K Views
Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua, Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa...
64 Reactions
304 Replies
14K Views
Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao...
29 Reactions
64 Replies
2K Views
Wakuu nina imani mnaendelea kupambana. Nimeshangaa sana kukutana na watanzania wachovu kufikiria kama wale. Wale wazee ni watu wa pwani, wamefikishana mahakamani wanagombea mpaka. Eti...
12 Reactions
51 Replies
1K Views
Habari njema Matajiri Wawekezaji, Karibuni kwenye mfululizo wa masomo yetu ya programu ya NGUVU YA BUKU, ambapo tunajifunza na kufanya uwekezaji kwa hatua ndogo ndogo na kujenga utajiri kwa...
2 Reactions
1 Replies
518 Views
Kanuni za uendeshaji waklabu na kanuni za fedha za klabu naombeni msaada jamani nataka kuzifahamu kwa anaejua anisaidie wadau
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao. Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu amani iwe nanyi. Twende kwenye mada, ni namna gani naweza pata taarifa zote za namba yangu ya NIDA bila kufika NIDA? Kwanini bila kufika NIDA? Nimeona kabisa jamaa ananijaza i.e anasema...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mambo nasoma asbh hii ya pdidy vs jb Kwa kweli nimewakumbuka sana kaka zethu walio nje Mungu awatunze wasijiingize kwenye hii michezo Nasema haya kuna mama jirani yetu kmr mwisho ana...
1 Reactions
0 Replies
248 Views
Salaam kwenu wanajukwaa. Ningependa kuwashukuru Jamii Forums (JF) kwa tuzo hii ya kipekee. Ni fahari yangu kutambuliwa kuwa kiongozi anayepokea maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi kupitia...
95 Reactions
161 Replies
3K Views
KWa hasira alizonazo mnyama na matendo aliyofanyiwa kule Algeria, basi leo wale Tripoli wanagongwa vingi tu. Wagongwe bila nidhamu.
3 Reactions
12 Replies
434 Views
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Ruvuma kuifuta Hati ya Ardhi kwa Bw. Steven Mapunda ambaye alikabidhiwa...
0 Reactions
4 Replies
415 Views
Back
Top Bottom