Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hotuba ya juzi ya Rais imeonyesha dhahiri yeye na Serikali yake ni watu wa namna gani. Nilitegemea Rais kupitia hotuba ile angefanya yafuatayo: 1. Kuonesha kusikitishwa na mambo ya utekaji 2...
1 Reactions
2 Replies
216 Views
Naomba kujua huchukua wastani wa muda gani plate number moja mfano kwa magari yaliyooanza na namba "D" kujaa kabla ya kuingia namba "E" iliyoko sasa? Kuna mdau alinunua gari mwaka 2015 (kwa...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi. Kadri siku zinavyosogea vinaibuka vizazi hatari kuliko maelezo, karibu asilimia 90 ya wakristo hawasomi hata maandiko (BIBLIA) wanajiendea tu kama kondoo aliepotea. Katika...
7 Reactions
32 Replies
691 Views
Heshima kwenu wakuu, Ustawi wa Jamii ni taasisi iliyo ndani ya serikali,na lengo la kuanzishwa kwake ni kutoa huduma zinazohusiana na masuala ya haki za watoto. Lakini usiombe wewe mwanaume...
32 Reactions
152 Replies
11K Views
Kwa mawazo yangu ya kawaida bila kutumia akili za shuleni kwetu kuna vitu havipo sawa kwenye chi hii. Mfano: Unaenda RITA unafanya maombi ya cheti cha kuzaliwa cha mtoto/watoto etc.. unapewa...
4 Reactions
13 Replies
525 Views
Samahan wakuu hapo sasa kipi kitanipa pesa? Asanteni
8 Reactions
73 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kupewa tafsiri ya haya maandishi hapa chini
4 Reactions
33 Replies
1K Views
#Part2 WAKILI KIBATALA: Sheria inasema (anataja vifungu) mkimkamata mtu muwe mmekamilisha upelelezi. Sasa nyie hamna ushahidi. Mnaomba mahakama itoe amri ya kuingilia akaunti zake ndio mpate...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Nakumbuka mno Waziri Mmoja aliposifiwa kuwa anajua Kuzungumza na Kupambania Jambo na Kesho akatumbuliwa. Na mpaka sasa haamini kwani alikuwa ameshaota Mapembe tayari huku akijiamini kwakuwa ana...
2 Reactions
8 Replies
366 Views
Haya mambo yako dunia nzima, bahati mbaya watu hawafuatilii katika mitandao na vyombo vya habari. Kuna matukio mpaka leo yamebaki katika majalada ya uchunguzi, na mpaka leo majalada hayajafungwa...
1 Reactions
18 Replies
683 Views
Kituo cha Daladala Simu 2000 kimefungwa leo, Septemba 14, 2024, kupisha ujenzi wa karakana ya mabasi yaendayo haraka maarufu kama mwendokasi. Karakana hiyo ni sehemu ya mradi wa awamu ya nne wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimeacha kuangalia vipindi vya origino komedi aka kina Joti kwasababu nilihisi wamekosa mvuto. Sasa leo nimepita kuangalia kidogo nikaona kama wamekuwa makada wa ccm vile. Cjui ndio...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mauaji: Baada ya Zombe, Bageni akiri kuidanganya TUME *Afichua kuwa waliidanganya Tume ya Rais James Magai MSHITAKIWA wa pili katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu Imeandikwa na HabariLeo Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana mbele ya baadhi ya waathirika hao, Katibu wa Kamati ya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Uchukuzi David kihenzile amesema kukamilika kwa jengo la abiria katika kiwanja cha ndege cha Arusha kutawezesha abiria takribani laki nne kuhudumiwa kupitia Kiwanja hicho kwa...
0 Reactions
1 Replies
240 Views
Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza. Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa...
15 Reactions
41 Replies
2K Views
Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa akiagana na Mwenyekiti Mgeni rasmi Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Wakuu, Kwenye haya maisha tuna mambo mengi sana ambayo ni matamanio, na kila mtu nafikiri wanayo. Sasa ni vitu gani ambavyo ulivitamani sana kuwa navyo, yaani ile tu unajiambia I wish, I wish...
20 Reactions
140 Replies
7K Views
Binafsi wakati mwingine namuonea huruma namna watu wanavyomshambulia , ila najiuliza ubora wake upo wapi angalau nimtetee tetee siuoni. Kila kukicha mambo yanaharibika na kwa namna moja au...
5 Reactions
24 Replies
742 Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametoa rai kwa Watanzania kuacha kuiga utamaduni wa watu wa mataifa mengine kwa kisingizio cha Haki za Binadamu. Mhe. Ndumbaro...
0 Reactions
2 Replies
155 Views
Back
Top Bottom