Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hivi huduma shule za sekondari Tanzania zimeboreshwa? Nakumbuka miaka ya 90's tulikua tukisikia migomo ya wanafunzi kila kukicha. Miaka ile ndio palitokea mgomo Sekondari ya Tambaza na wanafunzi...
3 Reactions
27 Replies
795 Views
Wakuu naomba kuuliza kati ya vitu tajwa hapo juu kwa kijana ambaye ni Muajiriwa amejichanga na kuweza kusave wastani wa 10 milioni. Ni kitu gani aanze kumiliki katika harakati zake za Maisha...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Askari mmoja wa kituo cha polisi Muleba (jina lake linaifadhiwa) ametekwa na Mhasibu wa halmshauri ya wilaya ya Muleba hadi alipopatikna akiwa njiani kupelekewa katika maeneo ya vijijini kwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee Nimejichanganya aiseee!!!
7 Reactions
77 Replies
2K Views
Teknolojia imefika mbali sana, bro! Unakumbuka zile enzi ambazo simu za mkononi zilikuwa kubwa kiasi kwamba ilikuwa lazima ubebe kwenye begi? Sasa tumefikia wakati ambapo tunaweza kuvaa...
2 Reactions
3 Replies
309 Views
One Day To Go! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inatarajiwa kufanyika kesho, Septemba 21, 2024 Mwaka huu Washiriki wameonesha uwezo wa juu katika kuijenga...
3 Reactions
3 Replies
262 Views
Arovera, mrangi, Bila bila, King Kong III, SAGAI GALGANO kuna Mtu kawaiteni huko 'Makhulukutabu' mmekubali Wakuu?
7 Reactions
9 Replies
293 Views
Mrithi wa aliyekuwa mtabiri na mganga wa kienyeji marehemu Shekhe Yahaya Hussein, Hassan Yahaya ametabiri mambo mbalimbali yatakayotokea mwaka 2014,kubwa amesema ametabiri kiongozi mkubwa wa chama...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Umuhimu wa Mtu ni pale akiwa hayupo, Tunamshukuru sana Rais Jakaya Kikwete Kwa kuitumikia nchi hii Kwa moyo mmoja, Ukweli ni kwamba kipindi chake ilikuepo mazungumzo ya mara Kwa mara na...
1 Reactions
5 Replies
332 Views
Tuendelee kukumbushana kila wakati juu ya ulaji sahihi kwa ajili ya kutunza miili yetu, japo kuna watu husema tutakufa tu hata tufanye nini lakini ni muhimu kuwa na tahadhari juu ya maisha yako ya...
7 Reactions
17 Replies
614 Views
Hapa ni uringanisho wa Kisiwa cha Mafia na Maldives. Ukumbwa Mafia -435 KM2 maldive -300 KM2 UCHUMI MALDIVES -6 Billion za kimarekan MAFIA -0 (no data/Hawajafanya tathmin) SHUGHULI ZA UCHUMI...
2 Reactions
30 Replies
874 Views
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA Kadi za bank...
32 Reactions
123 Replies
5K Views
Hii niliiona katika ile habari ya jamaa aliyekamatwa na polisi, akawekewa mguu, bahati mbaya akafariki, raia walikuwa wanashauri polisi, lakini hawakuzuia polisi asifanye kazi yake. Kuna siku...
3 Reactions
38 Replies
496 Views
Last week kuna mdau alizungumzia kuhusu kufanya maamuzi ya kuacha kazi ili akapige mishe zingine mtaani, kwenye mjadala ikaibuka point ya makato ya mikopo kuwa mikubwa kiasi cha kusababisha net...
33 Reactions
56 Replies
14K Views
Habari wakuu Kama kichwa kinavyosema hapo juu naomba msaada,pia kama Kuna group za Whatsapp naomba kuunganishwa.
5 Reactions
37 Replies
806 Views
Takribani mwezi tatu sasa tangu shirika la MDH linalojihusisha na masuala ya maendeleo ya afya halijaweza kulipa fedha wanazo dai watoa huduma. Mwezi wa saba mwaka huu TMDA iliendesha mafunzo kwa...
2 Reactions
2 Replies
221 Views
Ipo wazi inajulikana pombe sio chai na mtu akinywa pombe uwezo wake wa kufanya maamuzi kwa asilimia kubwa hupungua. Sasa utakuta kuna huu mchezo wa kuposti watu wakiwa wamelewa kwenye sherehe au...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimepata safari ya kiutafiti Maeneo ya wilaya ya Mkalama, sina idea yoyote kuhusu eneo hilo, sina mwenyeji kule na sijawahi fika kabisa. Naomba kujuzwa yafuatayo; 1. Nasafiri kwa...
2 Reactions
15 Replies
575 Views
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua ujenzi wa jengo la mapumziko la Wananchi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kusema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya utatuzi wa...
1 Reactions
1 Replies
216 Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewataka Watanzania kujivunia kwa maendeleo yaliyopatikana katika sekta mbalimbali zinazogusa wananchi moja kwa moja. Akizungumza na...
0 Reactions
1 Replies
262 Views
Back
Top Bottom