💼MHADHARA WA 8
Hii ni sheria ya 16 kati ya sheria 48 za Mamlaka katika kitabu cha THE 48 LAWS OF POWER kilichoandikwa na ROBERT GREENE. Anatuonyesha kuwa kadiri utakavyoadimika machoni pa watu...
Kama kichwa cha habari kinavyosema!
Mtoto wangu kasoma shule moja inaitwa St. Charles Borromoe ipo Mbeya Mafiati. Kamaliza darasa la saba mwaka huu. Shule hii inaongozwa na masister wahindi hapo...
Sitaki kusema ni mimi au laaa..ila ni issue ya kweli..
Ipo hivi
Mhusika kabla ya mkopo alikua anaweza kusave 400k kwa mwezi kutoka kwenye Salary,
Akaona hio 400k inayozidi aikopee bank, riba Mil...
KUJIONA | KUJIPENDA | KUJIJALI
Jambo lolote unalohisi haupewi ni kwa sababu hauna, ukiona mtu analalamika hapendwi ndani yake yeye ndio upendo hamna, mtu akisema anadharauliwa ndani yake dharau...
Jukwaa la Kidigitali katika Uhakiki wa Taarifa la JamiiCheck linaloendeshwa na JamiiForums limeshinda Tuzo ya U.S.-Tanzania Tech Challenge iliyokuwa ikiwaniwa na Taasisi 113 za Kiteknolojia kutoka...
Historia na Uteuzi
Hamad Masauni aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais Samia Suluhu Hassan mnamo Januari 10, 2022. Kabla ya uteuzi wake, Masauni alikuwa na uzoefu wa muda mrefu katika...
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu.
Mkurugezi kwa kushirikiana na afisa elimu halmashauri ya Kibaha mji wamewasimamisha kazi walimu wapatao watano wa shule moja ya Mwambisi sekondari...
Wanabodi,
Kumekuwa na hii habari nimekuwa nikiisikia mara kwa mara hivyo nimeleta hapa jukwaani kwakuwa wajuzi wa mambo mi wengi.
Je, ni kweli huyu IGP mstaafu alikuwa anamiliki na pamoja na...
Kuna habari kwamba Mwandishi wa Habari, wa Alasiri mwanamke alitekwa na kutelekezwa Mbagala leo mchana muda huu ametoka polisi Oysterbay..... Habari zaidi baadaye
Wakuu kuna taarifa zinasambaa mjini Arusha na viunga vyake kwamba baadhi ya askari wa jeshi la polisi mkoani Arusha wanashangilia kila kona kuondoka kwa RPC SABAS na OC-CID MAFWELE hapa mjini...
Mafwele Makubi alinifundisha shule ya Sekondari Geita mwaka 2004. kisha alihamia Magu. tangu hapo sijawahi kumuona mpaka leo. nimejikuta nina shida naye kubwa sana. yeyote anayeweza kunisaidia...
Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu
Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili...
Kuna uhusiano gani kati hizi international schools na tabia ya mtoto?
99% ya watoto ninaowajua they are bad mannered,at least by our local standards of good conduct.
A Our Solar System
a.( Planets circling the sun)
The Sun
1. Mercury
2. Venus
3. Earth
4. Mars
the asteroid belt
5. Jupiter
6. Saturn
7. Uranus
8. Neptune
Mpaka hapo nadhani tuko pamoja.
Pleiades...
Wakuu Nanunua Sungura wa porini kwa bei nzuri sana.
Kama ww n muwindaji au unaweza kuwapata nitafute tufanye biashara.
Bei 50000/= mmoja
Nipo Mwanza.
Watu wa dar mtulie haya si mambo yenu
Mwaka 2014 nilishawishika kwa mara kwanza kuekeza kwenye biashara za hisa, Basi nikapata abcd za namna gani na faida za za kuekeza kwenye masoko ya hisa na nikafanya maamuzi ya kununua hisa...
Nimeona tukumbushane hili
najua n tatizo la kila ukoo hivi karibuni pale mtu anapopata shida tunashindwa kusaidiana
anapokufa ama kuteseka ndio tunaanza kukimbizana
Leo nilikuwa kwenye msiba...
ZINGATIA HAYA UNAPONUNUA SIMU ILIYOTUMIKA AU KWA MTU
1. Angalia IMEI namba kwa Android na IMEI/MEID namba kwa iPhones, na zitumie kuhakikisha simu sio ya wizi
2. Kagua iwapo simu iliwahi...
Habari za jioni.
Kuna jamaa alifanya kazi serikalini kwa miaka 18 akampa boss wake vitasa vizito akaamua aachane na ajira.
Leo nimemuona mtaani kachoka ile mbaya kwa ulanzi hana mishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.