Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa wale wenzangu tuliozaliwa bongo bahati mbaya tunataka kwenda kanani, basi serikali ya Marekani imetangaza rasimi kuwa wale wote wanaotaka kwenda marekani kuwa wa kazi wa kudumu mnatakiwa...
41 Reactions
528 Replies
47K Views
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya 1)Aliyeona akikusimulia na, 2)aliyesikia akikusimulia Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza. A} ALIYEONA AKIKUSIMULIA B} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA...
4 Reactions
35 Replies
643 Views
Kuna tukio limetokea hapa mtaani kwetu Monduli, Arusha, kuna Watoto wawili walipotea katika mazingira ya kutatanisha siku kadhaa zilizopita. Leo tarehe 19, Septemba 2024 mmoja kati ya Watoto wale...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna unregulated PA advertising ambayo karibia kila saa inapita hapa katikati ya mji. Kuna haja iundwe mamlaka inayosimamia au ku regulate matangazo ya kibiashara. Ni kero kubwa sana.
1 Reactions
14 Replies
514 Views
Lau nitataka kufungua biashara leo, nikienda TRA nitapata kila kitu kwa maana TIN na Tax Clearance pasipo tabu yoyote. Tena hatumwi hata afisa kuja kuona hiyo biashara. Kimbembe ni pale utapotaka...
2 Reactions
2 Replies
326 Views
Ndivyo ilivyo siku zoke hakuna malaika mwanamke na hakuna mitume wanawake, wanaojitakia waendelee kuyaoga maji yao. Kwenye ulimwengu wa majini na mashetani ndio uliko Utawala wa Mwanamke. Kwenye...
5 Reactions
12 Replies
368 Views
Yafaa Rais ajae wa Tanzania awe Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi ili kuimarisha zaidi muungano 1. Nyerere - Bara Makamu wa Rais -Zanzibar 2. Mwinyi - Zanzibar Makamu wa Rais - Bara 3. Mkapa - Bara...
0 Reactions
17 Replies
595 Views
Na Joel Magese Moshi Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewataka Watanzania kuacha mara moja tabia ya kuuza maeneo ya wazi ili kuhifadhi ardhi kwa matumizi...
1 Reactions
1 Replies
146 Views
HEKIMA ITUMIKE KUTATUA MIGOGORO YA FAMILIA: NAIBU WAZIRI PINDA Na. Joel Magese, ROMBO Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewataka Watanzania kutumia hekima...
1 Reactions
0 Replies
130 Views
Kuwalaumu wengine kwa ugumu na changamoto tunazopitia katika maisha yetu mara nyingi ni njia rahisi ambayo wengi huichagua. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba kila mtu tunayekutana naye ktk...
5 Reactions
6 Replies
726 Views
Nimejaribu kutafakari mnoo swala hili la matukio ya kikatili nchini hususani mikoani Dodoma😭 majibu kamilifu sina. Ila Mimi naona kwa sector ya masuala ya Imani kumelegea mno🥲. Watu hawana tena...
1 Reactions
0 Replies
91 Views
Baada ya kuona Episode I: Kuchagua Camera, Episode II: Kuset light, sasa simply nikukumbushe Kufanya Editing. Edit ni process ndefu, na inachukua muda kujifunza. Ila hainamaana uogope, kikubwa...
3 Reactions
2 Replies
201 Views
Mwanaune alie tayari kufa n yule aliejenga nyu mba Kama hujajenga na ukafa umekimbia majukumuuuu Uwiiii niongeze sauti Past nikujengee wapi sanamu
2 Reactions
31 Replies
510 Views
Zamani kidogo, ilikuwa lazima uchape CV yako vizuri, ununue bahasha zile safi, na utembee hadi ofisi moja baada ya nyingine ukizigawa. Siku hizi, hiyo ni hadithi ya kale! Teknolojia imegeuza kila...
4 Reactions
18 Replies
590 Views
Na hapa ndiyo utajua kuwa Watanzania hatujui tunataka nini na huenda Watawala wameshatujua Udhaifu wetu na wala hawana kabisa wasiwasi na Sisi huku wakitufanyia wanachokitaka pale wanapojisikia.
16 Reactions
35 Replies
1K Views
Mkuu wa Wilaya ya Moshi James Khaji kasema anaomba Viongozi wa Dini wauombee Mkoa wa Kilimanjaro kutokana na sasa kukumbwa na Janga Kubwa la Wanaume kuwa Walevi wa Kupindukia, Kubaka na Kulawiti...
5 Reactions
11 Replies
797 Views
Sikia! Kila kitu kina mlango ili ukiingie! Hata wanzinzi, wezi, mafisadi, nk kabla ya kufanya tukio ujiuliza nitaingilia wapi? Ukitaka kuingia kwako hata chumbani kwako lazima upitie mlangoni...
1 Reactions
1 Replies
165 Views
🐍 Kila mwaka, karibu watu milioni 5.4 huumwa na nyoka duniani kote, na kusababisha zaidi ya vifo 800,000 na kuacha mara tatu ya idadi ya walionusurika wakiwa na ulemavu. Ugunduzi wa haraka wa dawa...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Ipo hivi, unakuta mtu anafanya kazi inayomuingizia kipato cha kutosha na anajuana na watu wengi wenye hadhi zao, lakini upande wa pili mwanamke aliyenaye anafanya kazi kwa mshahara usiozidi hata...
4 Reactions
15 Replies
578 Views
Elon Musk mwenye utajiri $243.7 sawa na Tsh. Trililioni 663 yaani sawa na bajeti ya nchi yetu ya miaka 15. Musk ndo tajiri namba moja Duniani. Musk anayemiki Tekinolojia kubwa kwa sasa Duniani...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom