Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
As great thinkers naimani wabobezi wa sera za kiuchumi watanisaidia mimi mwanakijiji kuelewa. -Mara nyingi hujiuliza kwa bidhaa kama hii kuagizwa kutoka nje ya nchi !!! Ipo athari yeyote katika...
0 Reactions
6 Replies
201 Views
Jeshi la Polisi mkoa wa Mara linawashikilia watu kumi na tano (15) kwa tuhuma za kuwashambulia askari wawili wa kikosi cha usalama barabarani waliokuwa wakitekeleza majukumu yao ya kikazi kwenye...
1 Reactions
12 Replies
638 Views
Bila shaka hamjambo watu wa Mungu! Kwa wale wenye changamoto za kiafya na wanaendelea kuteseka na maumivu juu ya magonjwa waliyonayo, Mungu atawaponya. Katika dunia ya sasa kumekuwa na wimbi...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari za Leo, naomba msaada kuna Rafiki yangu alikuwa na biashara ya kuuza Vinywaji vya Jumla lakini baadae akapatamatatizo (aliibiwa) Hivyo kw amuda mrefu hakuweza kufanya biashara tena...
2 Reactions
4 Replies
319 Views
Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili), simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada...
8 Reactions
5 Replies
298 Views
Anonymous (a473)
Tunakaa miezi miwili mpaka mitatu bila malipo na wakilipa wanalipa mwezi mmoja malimbikizo yanakuwa mengi. Hivyo inatufanya maisha yanakuwa magumu kiasi kwamba tunakosa hata nauli. Tunaomba...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Idadi ya kadi za simu zilizo sajiliwa kufikia 2023 TZ (TCRA) 2020 51.2 million 2021 54.0 million 2022 60.2 million 2023 67.0 million KE(CA) 2020 57.0 million 2021 60.1 million 2022 63.3 million...
1 Reactions
5 Replies
785 Views
Rais wa kwanza wa African Union Committee. Rais wa kwanza wa Pan African Parliament. Balozi wa Tanzania nchini India bibi yetu comrade Gertrude Mongella ameliona hilo huko ughaibuni kwa Fidel...
0 Reactions
9 Replies
348 Views
Wakuu kama mtakumbuka mwezi mmoja uliopita niliandika Mada kuhusu wasajili lain za simu wanavyotapeli Watanzania wenzetu. Sina mengi naomba uchukue Muda kidgo sikiliza audio hapo chini
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Anonymous (96c5)
Ni takriban miaka zaidi ya sita tangu huduma ya umeme ifikishwe katika KATA ya MAGANGE Wilayani Serengeti mkoani Mara lakini tangu wakati huo wananchi mbalimbali walijaza fomu za maombi ya...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Mtu mweusi ni mkaidi sana. Mpe uhuru, ajipatie nafasi ya kubania wengine uhuru. Mpe mamlaka, ajipatie nafasi ya kutajirika haraka. Mwafrika katika harakati analalamika kuhusu njaa na tabu...
1 Reactions
0 Replies
129 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mikoa inayoongoza Kwa mbumbumbu wengi Tanzania Rukwa, Katavi, Tabora, Simiyu na Dodoma. Kilimanjaro yenyewe ni tofauti kwani inaongoza Idadi watu wanaojua kusoma na...
6 Reactions
17 Replies
650 Views
OLD MEMORIES OF BLACK HIP HOP CULTURE & ELEMENT IN AFRICA... WAY BACK 🔙 1980 - 2005 ... Historia ya Muziki wa Rap / Hip hop Duniani 🌎 inatueleza kuwa Asili ya Muziki wa Rap ni 🌍...
0 Reactions
1 Replies
373 Views
Kwa hali ninavyona mimi! Elimu yetu afrika iko nyuma sana na ulimwengu unavyokwenda kwa kasi! Elimu yetu inakwenda kuwa siyo kitu cha kujivunia tena kuwa nacho maana haitakuwa na msaada...
4 Reactions
4 Replies
153 Views
Kiwango cha uzazi nchini humo kwa sasa ni watoto 1.5 kwa kila mwanamke, chini ya kiwango cha 2.1 kinachohitajika kwa utulivu wa idadi ya watu Rais wa Urusi Vladimir Putin ameripotiwa kuanzisha...
3 Reactions
9 Replies
455 Views
Kwa kipindi cha miakaa miwili hii, mabenki ya nchini Tanzania kama CRDB, NMB, DTB, NBC, AZANIA BANK nk yamepandisha riba za mikopo kwa kiwango kikubwa. Hii imekuwa ni maumivu makiuubwa saana kwa...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano...
10 Reactions
53 Replies
1K Views
Jana katika mitando mbalimbali yamepost picha ya jumba la Mayor wa zamani wa Ubungo ndugu Boniface Jacob Jumba limenikosesha usingiz niliamka sa Tisa na kusali sana ili na mimi niweke jengo kama...
12 Reactions
118 Replies
12K Views
Nusu waniue leo! Asee njaa njaa jana nikaletewa mchongo kutengeneza radio call hazishiki frequency. Kalaga baho sindo nikajimwambafaiiii... Njaa hizi! Asee nikapewa advance jana hiyohiyo...
15 Reactions
43 Replies
1K Views
Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia Innalillah wainna ilayhi raajiuun ===== Mfanyabiashara maarufu jijini...
15 Reactions
166 Replies
16K Views
Back
Top Bottom