Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
https://www.facebook.com/100003279171374/posts/8187447298041161/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Yapata miezi 7(saba) sasa tangia taka zitolewe mara ya mwisho Wakazi wa eneo hili la mbezi msakuzi kaskazini ambayo ni kata ya mbezi na wilaya ya ubungo hatujapata huduma hii ya kuzolewa taka...
2 Reactions
7 Replies
367 Views
Wamiliki wa dispensary zinazopokea BIMA ZA NHIF huwa mnalipwa baada ya muda gani? personal experience Nilienda Aga khan Dar nikaona tangazo kua hawapokei NHIF labda zinazotoka bank kadhaa ila...
2 Reactions
22 Replies
651 Views
PRODUCERS NA STUDIO.. 1. Kumthamini Producer Master J na Hermy B waliamua kujiweka kando kiasi na kuleta maproducer wengine kusimamia studio hizo. Master Jay alimchukua Marco Chali kutoka Kama...
1 Reactions
5 Replies
356 Views
morning lovely 😍 naombeni mnisaidie nataka kufuta account ya Facebook nilijiunga kipindi bado mdogo sasa inanikwaza nataka kufuta nimeacha kutumia na miaka sasa lakini notification zinakuja hii...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu. Aidha nitoe angalizo kuwa nia yangu sio kukosoa tamaduni za kabila hili. Ila topic ya ndoa ya aina hii kidogo inanipa tabu kidogo kuelewa. Nimeona jambo hili linafanyika sana...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF. Natumai wote ni wazima. Mara kadhaa nimejikuta nashtuka usiku wa saa 7 au saa 8 usiku na usingizi kukata kabisa, inaweza kunichukua hata lisaa kupata usingizi tena...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI - MLOGANZILA KUFANYA KAMBI YA UPASUAJI WA NYONGA NA MAGOTI Jopo la Madkatari Wataalam wa UPASUAJI wa Mifupa, Nyonga na Magoti kutoka Hospitali ya Taifa...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Fikiria mtandao kama mji mkubwa wa kidijitali, ambapo kila kona kuna watu, mitaa na maduka ya kila aina. Kama vile wazazi wanavyowaongoza mabinti zao wanapotembea mtaani kwa mara ya kwanza...
3 Reactions
2 Replies
266 Views
Hello! Hivi mtu analipwa laki 7, 8, 5, 6, 4,3 au milioni 1, 1.5 na milioni 2 huyo umaskini utamtaka vipi? Usafiri na kula 20k per day hapo nyumbani 20 jumla 40 kwa siku. Hapo ukiweka, ada...
9 Reactions
12 Replies
512 Views
Najua tu wanazingua lakini leo wamenishangaza, jamaa yuko spidi, yuko kushoto, anafika Mikocheni(kwa Mwinyi) barabara zimekutana na gari kwenye lane yake limeshasimama kumpisha mtu akunje. Yeye...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Katika hali inayoumiza na kusikitisha ni namna tunavyoyajadili masuala makubwa ya Taifa letu. Nimepitia maandiko mengi, mijadala mingi na hotuba kadhaa ila nilichokibaini nimekipa jina mchezo wa...
1 Reactions
0 Replies
144 Views
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia...
4 Reactions
43 Replies
954 Views
Kuna siri kubwa imejificha kuhusu pesa. Haiwezekani wanaume tuweze kuhudumia wapenzi wetu mpaka michepuko, tuhudumie watoto, tuhudumie wazazi, tuhudumie wakwe na mashemeji na bado tukawa sawa...
4 Reactions
25 Replies
846 Views
Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana. Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio...
7 Reactions
20 Replies
914 Views
Watu wengine hudanganyana kuwa ukitaka kuwa raia wa nchi fulani basi oa mwanamke wa hiyo nchi unayotaka kuwa raia. Nchi nyingi duniani haziko hivyo. Mwanamke aliyeolewa ndie hupewa uraia sio...
1 Reactions
3 Replies
331 Views
Mtu akishapata kuchaa cha dini ndio basi tena. Dawa yake karne hii haipo. China wananyonga lakini wapi Kifupi hiki kichaa IKITOKA IMEENDAA
3 Reactions
19 Replies
428 Views
Gundu ni... Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂 Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza...
3 Reactions
7 Replies
296 Views
Kwanza kabisa ninampongeza Waziri wa Kilimo Bashe kwa kuguswa na kijana wa kitanzania anayefanya kilimo cha kitunguu na kutaka kumsaidia. Ubarikiwe sana Bashe. Vijana kama hawa wanahitaji...
1 Reactions
0 Replies
147 Views
Kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na Jumuiya ya African Parks Kwa kushirikiana na Nchi ya Sudan Kusini imegundua na kuchaposha taarifa inayosema zaidi ya Wanyama pori Milioni 6 Wanahama kutoka...
0 Reactions
6 Replies
444 Views
Back
Top Bottom