Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Na Mimi GENTAMYCINE tatizo langu Kubwa siyo hilo Gari kwani tokea linaruhusiwa kuwepo njiani (barabarani mwaka 2021) nililiona kuwa ni Bovu ila Abiria wengi walikuwa Wanalitamani kwakuwa hawakuwa...
2 Reactions
13 Replies
546 Views
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho...
13 Reactions
47 Replies
1K Views
Yani unakuta dogo wa form 1 au 2 ameshakalili dance moves zote za chino lakini ukimuuliza hivi unamjuaje hitler eti anakuuliza "hivi aliimba wimbo gani vile" ahah Sio kila mtoto atachukulia...
3 Reactions
9 Replies
306 Views
WATU WANAOJIFARIJI SANA WANA HATARI YA KUBAKI WALIPO MAISHA YOTE. #Wale ambao kila kitu ni mpango wa Mungu hata kama ni uzembeo wao. #Wale ambao wanajipa matumaini ya kufanikiwa ilihali hawana...
3 Reactions
7 Replies
317 Views
The house has passed a bill that will force TIKTOK 's Chinese parent company to sell the social media platform or face a ban in the US. --- A TikTok sale could raise antitrust concerns From...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zanzibar Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Biashara Hii kwa Kutumia Kipengele Cha Ajira Nje. Ya Nchi Ambapo Baadhi ya Watu husafiri Kwenda Nchi Kwa Ajira Ya Kutafuta Ajira. Na Husafiri Bila Kuwa Na...
4 Reactions
2 Replies
220 Views
Zimebaki siku 3 tu kufikia hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inayotarajiwa kufanyika Septemba 21, 2024. Kupitia maandiko yanayoangazia "TanzaniaTuitakayo"...
2 Reactions
5 Replies
405 Views
Waheshimiwa Waafrika wenzangu mlioko hapa Mosi kabisa nipende kuchukua Fursa hii Kunikaribisha Mimi GENTAMYCINE kuja Kujumuika nanyi katika hili Tukio lenu la kutimiza Miaka 120-60 katika...
2 Reactions
11 Replies
631 Views
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Ninapolipa nauli ya Bus hakuna kipengere kinachonitaka kitazame movie au miziki. Mabus mengi ya mikoani ukiisha ingia waanza kukuwekea nyimbo za injili ( wazee kwa kaswida wanapuuzwa), Kisha...
13 Reactions
65 Replies
1K Views
Nitashukuru kama nikijibiwa juu ya hili kwani najua kuwa hata Watu wa Chamani Kwake nao walipaza sana Sauti zao.
0 Reactions
3 Replies
197 Views
Siku ya Kimataifa ya Usawa wa Malipo, inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 18 Septemba, ni siku muhimu inayolenga kuibua uelewa kuhusu tatizo la pengo la malipo kati ya wanaume na wanawake. Hii ni...
1 Reactions
4 Replies
513 Views
✍️"Zeno wa Citium Hii ni kanuni kuu katika kuishi, kila jambo lina taswira ya umilele lakini halina hakika ya umilele, kila wakati mambo hubadilika Una muda wa kufikiria kuwa unaye mtumaini ipo...
4 Reactions
3 Replies
184 Views
Mashindano ya KNK CUP 2024 yaliyoandaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe .Dkt. Doto Biteko ambapo timu 246 kutoka Kata 17 za Wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Hakuna kitu kinakatisha tamaa kama kufanya kazi ambayo unatishiwa kufukuzwa kila siku. Hali hii inauwa kabisa ubunifu na uchapa kazi maana huna uhakika na kesho yako. Au ulishawahi kuwa na cheo...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Habarini wanajamii forum,, nilikuwa nahitaji msaada kufahamishwa kuhusu kozi tajwa hapo juu ya accountant with it,,maana ndo niliyoipata kuhusu upatikanaji wake wa ajira au kwa kujiajiri binafsi...
1 Reactions
2 Replies
299 Views
Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Lovers Rock ya EastAfrica, Baba T amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam Taarifa zaidi kuhusu taratibu za...
12 Reactions
101 Replies
49K Views
Ni muhimu sana Nataka kununua kadi yaani N- Card nipo Tegeta kimakazi Naomba kuelekezwa wapi naweza pata huduma hiyo? Nasisitiza nahitaji kununua tu hivyo mniambie wapi naipata Aksanteni
1 Reactions
8 Replies
294 Views
Siasa ni utamaduni wa kiutawala ambao kawaida jamii imekubaliana kutumia namna au njia fulani kujiongoza/kujitawala ,Mfumo wa demokrasia ni moja wapo ya njia ambazo jamii za kiafrika...
1 Reactions
2 Replies
138 Views
Tunaongozwa na utawala wa kitapeli, na wa kinyang'anyi tu Ona dola inakaribia elfu 3 halafu kuna mazombi wanasema anaupiga mwingi Hii serikali ni ya kitapeli na ya kishetani tu Ni kichaa tu...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom