Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wanabodi. Mwandishi Mkongwe wa TBC Benjamini Rwegasira aliyekuwa katika kituo cha Bukoba na baadaye kuungua ugonjwa wa kiharusi kwa kipindi kirefu amefaiki dunia na kuzikwa katika kata ya Gera...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu Wakati mungine inabidi tu tuambiane ukweli bila kupepesa macho ili kupata njia ya kulisongesha mbele taifa letu, na kutuepusha na aibu ambayo huwa tunaipata pindi...
1 Reactions
4 Replies
308 Views
Kwanza WAALIMU tunawapenda sana ndio maana tumewaamini kuwafundisha Watoto/wadogo zetu. Lakini hii imekaaje unatoa oda zaidi ya wanafunzi wa 5 wakuletee fimbo za kuwaadhibu? Hatukatai adhabu...
4 Reactions
10 Replies
343 Views
Kufuatia tamko la mkuu wa mkoa wa dar es salaam mh. Chalamila kuwa tare 23 vyombo vya ulinzi vitafanya usafi mkoa wa dar salaam mi naona kuwa kwa kuwa hivyi vyombo viko vingi angepanga kwa...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Wastaafu wa Tanzania wanaoonekana wana akili na maono wengi wanawekeza kwenye nyumba za kupangisha, kujenga fremu za biashara na kuzipamgisha, wengine wananunua bodaboda 10-20 kwa mkupuo na...
8 Reactions
18 Replies
647 Views
Kwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda, napendekeza kuwa wananchi wote wa TANGANYIKA tuandamane tarehe 23 kwa utaratibu huu. 1. Tumchangie nauli dada yetu Mange Kimambi aje nchini kuongoza...
6 Reactions
12 Replies
522 Views
Katika ulimwengu wa sasa, wanawake wanazidi kutumia mtandao kuonyesha vipaji vyao, kushiriki mawazo yao, na kuunganisha na jamii. Lakini pamoja na hayo, unyanyasaji mtandaoni umekuwa tatizo kubwa...
2 Reactions
9 Replies
792 Views
Mahakama Kuu Tanzania imewarudisha kazini askari polisi watatu waliokuwa wakifanya kazi uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Kesi hiyo namba 9432 ya mwaka 2024 iliyokuwa mbele...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha na taasisi saba zikiwamo kampuni, inatarajiwa kusikilizwa leo Jumatano Septemba...
1 Reactions
2 Replies
635 Views
Halafu ukute huyo Mbwa mwenyewe wa Afrika hana hata Afya na hajui Kukabiliana na Adui ila kutwa Kujitutumua tu.
0 Reactions
1 Replies
262 Views
Yaani kama Mtu mzima hadi sasa hujajua na hujui kuwa Balozi ni Mwakilishi namba Moja wa Rais wa Taifa husika nchi fulani na kwamba kila Siku au mara kwa mara huwa wanafanya Mawasiliano ya moja kwa...
5 Reactions
2 Replies
179 Views
Naomba nijikite kwenye mada na itapendeza ukiweka mchango wako kwenye uzi huu. Nadharia ya maisha na ushahidi wa kihistoria unaonyesha kuwa kuna watu walipokutana na watu flani maisha yao...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Mkutano wa Mwaka wa Maafisa Ustawi wa Jamii Septemba 18-20, 2024
0 Reactions
0 Replies
402 Views
Jina Bagamoyo linatokana na maneno ya Kiswahili "bwaga moyo," maana yake "weka moyo chini," ikionyesha jukumu lake la kihistoria kama mahali pa kupumzika na matumaini. Kabla ya kuwa mji mkubwa wa...
4 Reactions
7 Replies
560 Views
Wana jf naomba kufahamishwa tofauti ya majukumu kati ya Mamlaka ya viwanja vya ndege na Mamlaka ya usafiri wa anga. Kwanini hizi mamlaka zisingeunganishwa ikawa moja ,yaani mamlaka ya viwanja vya...
2 Reactions
2 Replies
328 Views
Kuna huyu mwalimu rafiki yangu hapo halmashauri, mwezi wa pili amekopa 28m kutoka CRDB, amechukua 23m kumfungulia mke wake wa mtoto moja duka la boutique hapo centre. Biashara ina miezi 8 ila...
75 Reactions
256 Replies
9K Views
Wakazi wa maeneo ya Bulumawe mtaa wa wa Dovya kata ya Bunju manispaa ya Kinondoni tulikuwa tunapata shida sana hususani kipindi cha mvua kutoka na ubovu wa barabara. Lakini sasa kipande cha...
2 Reactions
1 Replies
244 Views
Kuna tetesi kwamba Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments), itafanyika kwa kila mlengwa kwa kuzingatia mwezi wa ajira ya mwajiriwa....Kwa mfano kama uliajiriwa mwezi wa tano, basi Nyongeza hiyo...
0 Reactions
8 Replies
704 Views
💼 MHADHARA NA.4 Wapo wanawake ambao baada ya kuolewa wanaamua kufunga biashara zao halali walizokuwa wakizifanya awali kabla ya kuolewa, kuna ambao wanaamua kuacha kazi, wengine walikuwa mbioni...
1 Reactions
0 Replies
203 Views
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mh Abdallah Mwaipaya amesema akiwa DC wa Mwanga aliingia Kanisa la KKKT mara nyingi kuliko Wakristo wengi Kwa sababu ya kuvutiwa na Hayati askofu Dr Sendoro. DC Abdallah...
9 Reactions
61 Replies
3K Views
Back
Top Bottom