Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
My Take Kiukweli Utapeli wa Dini Za Wazungu na Waarabu Huwa unanipa Raha sana ya Kicheko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂👇👇 https://twitter.com/zoomafrika1/status/1828132965932786005?t=N7i4nl8cxrSGmancTJ2HAg&s=19
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Huduma ya kujitenga kwa muda ama moja kwa moja (temporary self exclusion or permanent self exclusion) kwenye makampuni ya michezo ya kubashiri (online) haipaswi kuwa ni huduma ya hiari kwa watoa...
1 Reactions
2 Replies
259 Views
Dar es Salaam, Septemba 10, 2024 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika tarehe 28...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna nini Dodoma? Mbona taarifa za Watu Kuuawa tena Zaidi ya Mmoja Kwa wakati Mmoja zimekuwa zikifululiza? Nimeogopa sana 🐼
0 Reactions
4 Replies
398 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) lenye urefu wa Kilometa tatu linalojengwa kuunganisha barabara kuu ya...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Taarifa ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ya kulaani mauaji ya watu Watatu wa familia moja huko Dodoma imesema, hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko kubwa la matukio ya kikatili...
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Tunatumia muda mwingi kwenye simu zetu za mkononi, iwe ni kwa kutuma ujumbe, kupitia mitandao ya kijamii, kuangalia barua pepe au kufuatilia habari mpya. Kwa kawaida tunazima simu zetu pale tu...
3 Reactions
0 Replies
370 Views
Hi everybody, Hope mnaendelea poa na majukumu ya kulisongesha gurudumu la maisha, Mie naomba tu kuuliza maana hii hali huwa inajitokeza sana endapo nikikaa the same place for months, najipata i...
19 Reactions
199 Replies
14K Views
Wakuu, niko Singida hapa nimekula jana msosi sehemu inaitwa kwa Maclaree lkn sijavutiwa napo. So naomba mnijuze sehemu inayopika msosi mzuri hapa Singida.
2 Reactions
40 Replies
811 Views
Habari zenu Wanajamvi. Nimefuatilia sakata la dada JM kufanyiwa ukatili wa kubakwa na kulawitiwa kwa kundi na vijana watano wanaosemekana wamepewa order na Afande. Kinachonitia mashaka kuhoji...
0 Reactions
3 Replies
194 Views
Wakuu msaada nimemaliza dawa ila panya hawapungui Kuna kiboko nyingine
1 Reactions
29 Replies
964 Views
Kijana wa kiume una miaka 30 bado unaishi kwenu sikatai lakini huna mbele wa nyuma umekaa tu huna hata godoro na kitanda jua unaenda kufa masikini tu hii ni aibu Kuna vijana wanakaa tu nyumbani...
12 Reactions
111 Replies
11K Views
Nawasalimu kwa jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR. SAMIA SULUHU HASSAN, Kwa heshima na taadhima, napenda kukuandikia ujumbe huu nikiwa na...
1 Reactions
2 Replies
220 Views
Mlio Tanga tuhabarishe tunasikia daladala za kwenda njia ya Pangani Wamegoma kisa barabara mbaya inaharibu magari yao. Ni kweli? Hali ikoje?
0 Reactions
2 Replies
143 Views
Nimeona watu wakishare namna walivyopambana na baadhi ya matukio katika maisha Yao nami nimeona sio mbaya Leo nikaeleza namna nilivyonusurika kifo katika harakati za kutafuta maisha. Mwaka 2007...
37 Reactions
169 Replies
11K Views
Kama umeajiriwa wewe bado ni mtumwa kwahiyo bado hujiamini, kama unajiamini jiajiri mwenyewe.
2 Reactions
5 Replies
219 Views
Muda huu mlima wa morogoro unaungua naiomba serikali iingilie kati mkuu wa mkoa tuma timu ikazime kwakweli inaumiza sana kwasisi wapenda mazingira.
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa. Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba.
12 Reactions
114 Replies
11K Views
Habari zenu Wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Ratiba yangu Ya Muhimu kila Mwisho wa Mwezi ukifika Huwa Nacheki AFYA yangu (Napima na Magonjwa ya zinaa), na Afya ya akili na Vitu...
5 Reactions
19 Replies
667 Views
Kuna baadhi ya wazazi wamekuwa Na nongwa sana hasa pale umri unapoanza kuwatupa mkono. Mzazi, hasa hawa wa kike, anakuwa ni mtu wa malalamiko, usipoangalia vizuri na kulaaniwa utalaaniwa. Kumbuka...
1 Reactions
1 Replies
156 Views
Back
Top Bottom