Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hivi wakuu zile Safari za TRC kwenda Moshi bado zipo? Haki hii serikali ni Hangaya ni failure kabisa yaani kila mradi umekufa Cha kusikitisha hatusikiii Tena treni ya kati ikifanya kazi au...
0 Reactions
17 Replies
745 Views
Yani Katarama ikotoka kesi hii inakuja kesi nyingine, kama sasa hivi wana soo nyingine huko LATRA. sasa wahuni mtaani wanasema allys roho inamuuma maana competition ya Katarama ni next level ndio...
3 Reactions
14 Replies
674 Views
Wadau naulizia gharama za Nauli ya treni kutoka shinyanga kuja Dar maana kuna mtu nahitaji kumsafirisha.Pia nauliza hiyo nauli inakatwa Kwa booking au papo hapo, na kama jumapili treni ipo
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Vijana wawili wamefariki dunia hii leo Septemba 11, 2024 baada ya wananchi 800 kuvamia na kufanya vurugu katika kituo cha polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita vurugu zilizoanzia katika...
16 Reactions
248 Replies
10K Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, leo Septemba 16, 2024 akiwasili katika Baraza la Maulid yanayofanyika kitaifa mkoani Geita. Picha na Bakwata Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limeungana na...
0 Reactions
6 Replies
755 Views
Nimeona mijadala mingi sana watu wakijaribu kumfananisha Chriss Brown na Michael Jackson, wengi wakienda mbali saana na kusema Chriss ni mwanafunzi wa Michael Jackson, sikatai maana Mwanafunzi...
3 Reactions
32 Replies
910 Views
Nguvu za mwili zitaanza kukuishia, Utasikia kama usingizi mzito unakuja, Mapigo ya moyo yatapungua kasi, Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia. Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto...
23 Reactions
108 Replies
6K Views
Wakuu, Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity. Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika...
6 Reactions
24 Replies
895 Views
Silalamiki wala! After all, I am a man of culture 😉. Calling all other men of culture to congregate and appreciate nature’s magnificent creation. Kumbe katika jina la utamaduni ni sawa kuonyesha...
23 Reactions
170 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa! Naombeni ushauri ninunue ipi Kati ya scooter ya umeme na scooter ya mafuta, nimeuliza zote zina range kwenye 1.5 millions.
3 Reactions
29 Replies
905 Views
1. Jenga nyumba mapema. Iwe kijijini kwenu au mjini. Kujenga nyumba ukiwa na miaka 50 sio mafanikio. Usizoee nyumba za serikali. Faraja hii ni hatari sana. Hebu familia yako yote iwe na wakati...
14 Reactions
54 Replies
3K Views
NAMNA YA KUWEZA KUISHI DAR! ISHI KIBEPARI Anaandika Robert Heriel Ni ndoto ya Vijana wengi hapa nchini kuja mjini hasa Dar es salaam. Hilo sio ajabu kwani hata katika mataifa mengine hiyo ni...
72 Reactions
118 Replies
12K Views
Na hawajaishia tu Kuupenda bali wameenda mbali zaidi na kusema kuwa pia unapatikana kwa Gharama nafuu mno. Chanzo Taarifa: BBC Dira ya Dunia hivi punde tu. Ngoja nami sasa nipate Elimu ya Kilimo...
1 Reactions
4 Replies
255 Views
Mara nyingi tunapo elekea uchaguzi mkuu, imekuwa ikidaiwa kuwa "genge la Chadema" huwa wanapanga matukio ya kihalifu maeneo mbalimbali kama vile, kuteka, kuchoma moto, mashambulizi n.k kwa lengo...
2 Reactions
22 Replies
547 Views
Lugha ni moja ya funguo za maisha ukiachana na elimu
4 Reactions
5 Replies
518 Views
Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo. Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi...
1 Reactions
15 Replies
251 Views
Nimepita vijiji vingi vya Tanzania , Zambia, Zimbabwe, Malawi, Msumbiji na South Africa hii, Kuna vitu vinafanana sana kasoro vijiji vya South Africa ( baadhi sio vyote ) vimechangamka na kuweeza...
3 Reactions
2 Replies
222 Views
Mwanzoni wakati nilipokuwa mtoto mdogo nilikuwa siamini kabisa haya mambo lakini kadiri nilivyokuwa nakuwa ndio nikaanza kufahamu kuwa kweli uchawi upo, Na mtu akiamua kukuharibia au kukuchafua...
19 Reactions
129 Replies
5K Views
Hivi viumbe vinavoitwa ndugu ni wapumbavu washenzi ndugu wote ni nyoko. Nimepangisha nyumba yangu yenye vyumba 3, sitting room na jiko nimekuja kupanga chumba na sebule. Maamuzi haya nimeyafanya...
82 Reactions
175 Replies
6K Views
"Hivi sasa yameibuka mafundisho ya baadhi ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao, kutegemea miujiza Zaidi, ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa, viongozi hao...
14 Reactions
71 Replies
3K Views
Back
Top Bottom