Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ni ukweli usio fichika asilimia kubwa kama 90% ya diaspora wanaishi kwa kufanya kazi ambazo ni Unskilled Labour. Wengi wao maisha ni ya kawaida tena ya kuwa busy sana japo wanapenda kupiga picha...
1 Reactions
8 Replies
223 Views
Historia ya Msingi kwa wasio na habari: 1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina. 2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola...
9 Reactions
17 Replies
676 Views
Habari za mchana Naomba kujua maziwa mtindi yananenepesha au kukondesha nimeanza kunywa hivi karibuni nataka niwe natumia permanently kila siku. Nataka nijue kama yanakondesha au Lah maana sitaki...
5 Reactions
60 Replies
3K Views
Watu sita wanahofiwa kufa maji, huku mwili mmoja ukiopolewa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria. Watu hao walikuwa wakitoka kwenye harusi Kijiji cha Mwiruruma...
5 Reactions
14 Replies
785 Views
Umaskini ni fedheha. Umaskini ni jambo la kupambana nalo kufa na kupona. Fanya ufanyavyo usiwe maskini. Umaskini huambatana na mambo mengi sana ya hovyo. Mtu mwenye njaa ana sura mbaya na roho...
4 Reactions
8 Replies
568 Views
Nimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
10 Reactions
60 Replies
4K Views
Na je, ni ipi ambayo nitatumia muda mfupi na ipi ambayo nitatumia muda mrefu? Na ipi ina Mabasi yaliyo Luxury tu? Sitani Mtani wangu Arovera uchangie huu Uzi wangu kwani kwa Ushamba wako wala...
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Msaada kuhusu elimu na vyeo jeshini
7 Reactions
212 Replies
53K Views
Ni kijana wa 24yrs old ana miaka 6 sasa hapa Dar es Salaam kumaanisha ameingia jiji hili akiwa 18yrs. Ni kijana ambae anahisi alizaliwa kwa bahati mbaya kwamba ni kama wazazi wake hawakujipanga...
8 Reactions
22 Replies
799 Views
https://www.youtube.com/watch?v=RYUxjy76CPg Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, Tundu Lissu amesema maandamano yaliyotangaza na Chama hicho kupinga vitendo vya utekaji Nchini yako...
1 Reactions
3 Replies
687 Views
WAZIRI NDUMBARO ATANGAZA FURSA LUKUKI TAMASHA LA TATU LA UTAMADUNI Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameeleza kuwa, Tamasha la tatu la Utamaduni la Kitaifa Songea...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano. Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote...
6 Reactions
24 Replies
649 Views
HAKUNA TOFAUTI KATI YA WANAWAKE WA MAKUNDI HAYA MAWILI Kwanza nawasalimu;- Bwana Yesu asifiwe/Assalamu Alaykum. Pili naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu kwa kuyataja makundi mawili...
0 Reactions
4 Replies
300 Views
Mmezaliwa miaka ya 70 Mwishoni, themanini mwanzoni hadi themanini katikati ( 1985). Wazazi wenu hawakuwa hata na kipato kikubwa kihivyo lakini walifanikiwa kujenga nyumba (wengine zaidi ya...
18 Reactions
69 Replies
2K Views
Habari, Hali ya mgawo wa umeme imerejea kwa kasi sana ni wiki tangu kuanza kwa changamoto hii. Ndani ya jiji la Dar es Salaam wilaya ya kinondoni hali sio nzuri. Watanganyika tulijua baada ya...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
https://gamerant.com/24-movie-needs-end-jack-bauers-story-properly/
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Kwa kweli sijamsikia tena mwenyekiti wa CHADEMA kutoa tamko au ufafanuzi wa ajenda yake. Najiuliza jee ni mzima au amekubali alihemkwa tu Au amekiri kimya kimya hakuna atakayetoka pamoja naye...
1 Reactions
4 Replies
184 Views
Ni kwa miezi kadhaa baada ya vilio vya mgao mkali wa umeme, hali imetulia, baadhi ya maeneo umeme haujakatika miezi mitatu mfululizo. Ndivyo inavyobidi serikali itutumikie wananchi, kwa hali...
1 Reactions
5 Replies
269 Views
Wakuu: Kheri ya Maulid Kuna ka slogan haka kamekuwa maarufu sana siku hizi, Wengine wanajiita watoto wa mjini, wengine wanajiita wazawa wa mjini, wengine wanajiita wazee wa kumanipulate mfumo n.k...
1 Reactions
1 Replies
131 Views
Katika kipindi cha kabla ya enzi ya ukoloni, na hata ukoloni ulipoingia nchini Tanganyika, aina hiyo ya magari ndio yalikuwa vyombo vikuu vya usafiri nchini. Magari hayo hayakuwa ya kuwasha kwa...
8 Reactions
10 Replies
488 Views
Back
Top Bottom