Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa...
8 Reactions
97 Replies
1K Views
Habari, Ni ukweli usiopingika kwa ajira hizi tunazofanya bila kujua haki na wajibu wako ni kazi sana kutoboa. Wafanyakazi walio wengi hawajui haki na wajibu wao katika kazi wanazo zifanya. Mfano...
6 Reactions
33 Replies
799 Views
MOROGORO - Moto mkubwa unavyoteketeza safu ya milima ya Uluguru kwa zaidi ya wiki moja sasa , milima hiyo ina umuhimu wa kipekee kwa kuwa ni vyanzo upatikanaji wa maji yanayotegemewa na wananchi...
2 Reactions
11 Replies
382 Views
Jana nimepokea sms zile za "Jiunge na freemason upate utajiri n.k" Nilichofanya nikaforwad sms kwa namba 15040 na kutuma namba iliyonotumia. 👇👇👇
0 Reactions
11 Replies
406 Views
Hali tete , familia watendewe haki ni zaidi ya mwaka sasa , vyombo vya usalama vifanye juhudi za ziada . https://youtu.be/6onwxmeYfDE?si=qYODv9dKxBE-9040
10 Reactions
80 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada, ivi karibuni nimebahatika kuoa, Tumefanya sherehe ya harusi na alhamdillilah tumechangiwa kiasi kisichopungua milioni 10. Nilikua na nataka Kuongeza pesa kidogo iingie...
2 Reactions
14 Replies
374 Views
Hawa watu unaweza kuta kuanzia Babu, Bibi, wajomba, Mama wadogo, watoto, Wajukuuu, wote wanaishi nyumba moja na kwa upendo mkubwa mno. Wabongo hii haiwezekani kabisa, make kusengenyana...
31 Reactions
137 Replies
15K Views
Habarini ndugu, Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Mzee wangu, nimeamua kushare story hii fupi inayohusu jambo ambalo lilimkuta enzi za uhai wake. Kama ilivyo kawaida katika jamii zetu, mtu...
17 Reactions
113 Replies
3K Views
Hivi Majuzi niliona nimeamka kutoka usingizini lakini cha kushangaza nilijiona bado nipo kitandani nimelala. nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende...
9 Reactions
66 Replies
2K Views
Kwa sasa nchi yetu au tuseme dunia kifo kipo nje nje ni suala la kumtegemea tu Mungu wako ila yako mambo ya kuzingatia. 1. Achana kabisa na wake au waume za watu.hata wanawake wamekuwa wakatili...
5 Reactions
7 Replies
329 Views
Ndugu yangu askofu Josephat Gwajima wewe ndiye baba askofu mkuu wa makanisa yote ya ufufuo na uzima Tanzania, wewe ni mbunge na ni kada wa chama Cha mapinduzi unakiona anachofanya mojawapo ya...
4 Reactions
14 Replies
820 Views
Salaam, shalom!! Nimesoma kitabu kimoja kinaenda Kwa Jina la (Waebrania 7:3), kwamba Kuna mtu anaitwa MELKIZEDEKI, Ambaye amefananishwa na YESHUA / YESU/JESUS,Kwa sifa zake, kwamba Hana baba wala...
1 Reactions
10 Replies
347 Views
Habari zenu wana JF. Natumaini mu wazima wa Afya. Naomba niende direct kwenye mada tajwa. Mkoa wa Rukwa ni mkoa ambao asilimia 60 ya mapato yanatokana na kilimo. Mkoa una Ardhi nzuri na mvua zake...
7 Reactions
40 Replies
5K Views
Hahaa nimejitutumua utazan bei najua ya kufungiwa mita private hapa ofisin. Wakuu nipeni Raman hapa salon hichi kifaa mita kufungiwa hapa ofisi bei gani? Pesa hazinifikii kwa wakati huku dogo...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Zimesalia Siku 5 tuu kuelekea Septemba 21, 2024, Usiku Maalum wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo kwa Washindi wa awamu ya 4 wa Shindano la Stories Of Change Kupitia Maandiko yao, Mwaka huu Washiriki...
2 Reactions
3 Replies
409 Views
Kwenye mpira kuna matokeo matatu kushinda kushindwa na kutoa sare.cha ajabu yangs sikumbuki mara ya mwisho imefungwa lini tokea mwaka huu uanze nahisi kama imefungwa mara mbili tu au tatu..mwenye...
1 Reactions
9 Replies
355 Views
Hivi majuzi, tulishuhudia upatikanaji wa kiongozi bila kupingwa. Hii haikutosha, kwani kuna mmoja pale kaskazini ambaye katiba iko wazi akimaliza misimu miwili anaachia wenzake, lakini ghafla...
2 Reactions
9 Replies
401 Views
Amina alikodolea macho skrini iliyopasuka ya simu yake ya mkononi, akijaribu kusoma ujumbe wa hivi karibuni kutoka kwa binamu yake, Lin, aliyeko ng'ambo ya dunia huko Shanghai. Jua lilipokuwa...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Leo ni mwanzo wa hearing ya man shitty kutokana tuhuma zao za kitapeli tapeli katika soka. Unaweza kununua makombe lakini hauwezi kununua historia na class. Ndio maana nabaki kusema man utd...
0 Reactions
0 Replies
99 Views
MEXICO CITY - Mexico imetangaza rasmi mabadiliko makubwa katika Mahakama ambapo pamoja na mambo mengine Majaji sasa watapatikana kwa kupigiwa kura tofauti na utaratibu wa awali wa kuteuliwa...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Back
Top Bottom