Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
https://www.youtube.com/live/YnZrlTCDEQc?si=K0IFuAjemyfD9BKZ Karibuni
2 Reactions
18 Replies
472 Views
Kampuni ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari. Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine...
35 Reactions
159 Replies
6K Views
Wadau hamjamboni nyote? Leo nimeshiriki meza ya Bwana (Lords Supper) kama ilivyoagizwa na Bwana wetu Yesu Kristo kama njia ya kumkumbuka. Hata hivyo nimeshuhudia utaratibu mpya kwenye zoezi la...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Hizi ajali zinazidi kumaliza watu. Ajali hiyo imetokea Iringa ambapo watu 3 wakiwemo wanandoa ambao wamefunga ndoa siku 4 zilizopita. ====== Noah na Agnes wamefikwa na mauti katika ajali hiyo...
13 Reactions
86 Replies
9K Views
Mara baada ya taarifa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke iliyotolewa na Mkurugenzi Elihuruma Mabelya ikielezea kuhusu Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), kumsimamisha kazi Katibu Mkuu...
2 Reactions
4 Replies
682 Views
Habari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo. Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka...
25 Reactions
42 Replies
3K Views
Hello Jf. Kuna partner wangu umri ni 30+ Jinsia KE Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani...
1 Reactions
76 Replies
959 Views
Leo siasa pembeni Leo nimeingia kwenye majonzi binafsi Ben rafiki yangu wa miaka mingi aliniunganisha na wazalishaji wa kemikali nchini India maana alifahamiana nao akiwa kule. Leo supplier...
35 Reactions
83 Replies
5K Views
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao...
11 Reactions
185 Replies
3K Views
Aisee...nimekuja kukumbuka miaka ile baada ya jamaa mmoja kuandika kisa chake ingawa actually hakikuhusiana na aina ya usafiri sana. Nakumbuka miaka ile ilikuwa unaposafiri kwenda mwanza ilikuwa...
31 Reactions
214 Replies
34K Views
Wakuu nawasalimu na kuwatakieni heri za sikukuu za Christ Mass Kama ilivyo kawaida sehemu ya mikusanyiko huwa hakukosekani wenye maarifa mawazo na ushauri mbali mbali. Ndio nimekuja kwenu...
5 Reactions
177 Replies
31K Views
Habari...! Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili katika chuo kikubwa Afrika mashariki na Kati. Katika kusoms kwangu toka nikiwa mwaka wa kwanza nilisikia chuo hiki kinafuata utaratibu wa Carryover...
0 Reactions
3 Replies
403 Views
KUSIMAMIA UNACHOKIAMINI KTK NYANJA YOYOTE ILE INAWEZEKANA KUTOBOA. -UVUMILIVU. -MENTAL TOUGHNESS.
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Ndiyo wakuu, hii ni nyingine tena kutoka kwa Mwizukulu mgikuru ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa vijana wengi tunapitia joto ya jiwe, moja ya mambo yanayotufanya dunia tuione chungu ni hili la...
19 Reactions
46 Replies
3K Views
Anaeleza kijana SATIVA. ... RISASI ilipita kisogoni na kuenda kutokea kwenye kidevu. Taya ya kushoto ilivunjwa vunjwa vipande. Sehemu iliyoingilia Risasi mpaka leo nywele hzioti kabisa...
22 Reactions
76 Replies
4K Views
Napenda sana kujifunza Mapishi mbalimbali na kutengeneza nyumbani. Lakini linapokuja Suala la “Icecream” za Maziwa kuna kitu Bado sijaelewa vizuri. Wajuzi wa kutengeneza naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Wakuu naombeni msaada. Ijumaa mchana kuna watu waliingia kwangu wakafungua geti na milango (sijui funguo walipata wapi) wakaniibia vitu vyangu then wakafunga milango kama ilivyokuwa. Mwenye...
4 Reactions
22 Replies
599 Views
BONGO MOVIES & BONGO FLEVA COMPINATION KATIKA JUHUDI YA KUINUA NA KUENDELEZA SANAA NCHINI TANZANIA Kumekuwepo na mabadiliko makubwa sana katika Tasnia hii ya Muziki wa Bongo fleva, maana wasanii...
0 Reactions
0 Replies
299 Views
UMUHIMU WA ELIMU. Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na...
0 Reactions
0 Replies
548 Views
Back
Top Bottom