Muhula wa Patrice Motsepe Rais wa CAF unatarajia kukoma hapo mwakani na duru zinaarifu Bado hajaweka hadharani kama atawania muhula wa pili.
Ila kama ataamua kuacha na kuwa busy na Biashara zake...
Hawa wanasiasa wa Tanzania siyo wa kuwaamini embu imagine Luaga Mpina alivyo mkanga Bashe na sisi wananchi tukaapa kumsapoti ila ajabu Leo waziri bashe amefanya ziara kisesa na kupokelewa na umati...
Wa gwaan, Jah Rastafarai, Selasie I King.
Wakush mpo? Ni amanii?
Swali hili linawahusu pia ma-vegetariano (sio ma-vegan), watu wote ambao kwa sababu zao na za ki-maadili hawali wanyama (ila...
Habari Wanajamvi,
Tunapoelekea kwenye suala la Uchaguzi nchi imeendelea kuchafuka kweli, matukio ya utekaji na kupotea watu yanazidi kuongezeka. Baadhi ya Wananchi hususan wafuasi wa Vyama vya...
Angalia majengo ya makanisa mtaani kwako, kwenye maeneo yote uliyowahi kutembelea! Angalia gharama za ujenzi wa hayo majengo! Angalia watu wanaohubiri injili katika maeneo ya makusanyiko stand za...
Baadhi Watetezi wa haki za binadamu hususani watetezi wa haki za Mtoto nchini September 14, 2024 wamefanya matembezi ya amani kupinga ongezeko la vitendo vya ubakaji na ulawiti ambavyo kwa mujibu...
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na...
Uwanja wa CCM Jamhuri hapa Dodoma umekuwa ukifanyiwa maboresho ya mara kwa mara hasa kwenye eneo la kuchezea (pitch) na maeneo ya jukwaani lakini katika vyoo mara nyingi hali sio hali.
Uwanja huu...
Mzee mmoja, tumwite Hekima, aliamua kumpa kijana wake gari lake la miaka mingi baada ya kuhitimu masomo ya Chuo Kikuu.
Kabla ya kumkabidhi, alimtaka alipeleke kwa watu tofauti ili kujua thamani...
SaveTheDate! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Stories of Change Msimu wa 4 inakaribia.
Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu’ zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee katika kuijenga...
1 Corinthians 7:25-28 MSG
Are you married? Stay married. Are you unmarried? Don’t get married. But there’s certainly no sin in getting married, whether you’re a virgin or not. All I am saying is...
Hello!
Suala la kero za wakopeshaji wa mitandaoni limekuwa kero kubwa. Kila ukiperuzi mtandao wowote Tanzania usipotumia VPN matangazo ya mikopo yatajazana mbele yako mpaka kero.
Kwa wakopaji...
Credit kwa Jewel Fitila, Mmiliki wa andiko.
UKWELI KUHUSU UISLAMU:
1. Je, Qur'ani inafafanua neno "Allah"?
2. Je, jina "Allah" liliteremshwa kwa mara ya kwanza kwenye Qur'an?
3. Je, Qur'ani...
Bila shaka, kuna baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam ambapo watu wamekosa umeme. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO ) linawataarifu wateja wake kuhusu maboresho yatakayofanyika katika kituo cha...
Mzuka wanajamvi!
Hii siyo sahihi nchi ambayo inajinadi kwa demokrasia, utawala bora, sheria na kujali haki za binadamu.
Ni hawahawa wazungu wakiingia makubaliano na kuweka sahihi wanaulinda...
Serikali inatukamia mikodi mikubwa mikubwa kiasi cha kufunga biashara zetu hasa hizi ndogo ndogo. Hakuna sehemu ya kukwepea kabisa.
Kanisani nako tunakamuliwa haswa kwa micaho iliyopakwa rangi...
Je, unajua kwamba:
- Kijiko kimoja cha asali kinatosha kuweka mtu hai kwa masaa 24
- Moja ya sarafu za kwanza ulimwenguni zilikuwa na ishara ya nyuki
- Asali ina enzymes hai. Kijiko cha chuma...
Wadau za wikiendi!
Wakati napita facebook huko nikakutana na post ya huyu jamaa akanikumbusha maumivu ya hii mikopo maarufu kausha damu namna ambavyo ilidhoofisha afya ya dada yangu, akihangaika...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo, wamechangia damu kwa ajili ya kuwasaidia wananchi pindi wanapopata Changamoto za uhitaji wa damu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.