Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nitaweka mfulizo wa posts za Sativa kutoka kwenye ukurasa wake wa Twitter akimshutumu ZCO Faustine Mafwele kuwa ndiye kinara wa utekaji na uuaji unaotekelezwa na taasisi za Serikali dhidi ya...
19 Reactions
231 Replies
17K Views
Habari za muda, ndugu zangu. Nina swali napenda kuuliza: Huenda kuna Watanzania ambao walishawahi kufika Afrika Kusini, au huenda kuna wengine wanaishi huko chini ya Madiba. Napenda kuuliza...
4 Reactions
13 Replies
460 Views
Watangazi wa radio ya masafa ya fm ya Banana wameuandikia uongozi wa radio hiyo barua wakiutaka kulipwa mishahara ya ya miezi mitatu vinginevyo watachukua hatua stahiki. Wametoa saa 72 kwa...
4 Reactions
7 Replies
556 Views
Katika vita vinavyoendelea kati ya Russia na Ukraine, Russia imebadilisha na kuboresha mbinu zake za kijeshi ili kuongeza shinikizo kwa Ukraine. Baadhi ya mbinu mpya ambazo Russia inatumia...
1 Reactions
1 Replies
461 Views
Wadau ukipanga nyumba ukipewa mkataba wake ukawa hujaelewa sheria zake unaweza kuda pesa yako kusepa ndio siku ya kwanza.
1 Reactions
8 Replies
505 Views
Ni dhahiri kwamba hakuna kiumbe kisichokuwa na jina, iwapo kiumbe hicho kiliumbwa wakati dunia ilipoanza au hata kimebuniwa hivi karibuni mfano vile vitu vilivyoumba kiteknolojia, mithili ya...
1 Reactions
1 Replies
361 Views
Baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa raia Mkuu wa Idara ya Mazingira Geoffrey Mosiria, ameliomba moja ya kanisa nchini Kenya, kudhibiti kiwango cha kelele ili kuepuka usumbufu kwa jamii...
1 Reactions
9 Replies
471 Views
Wakuu wapenda historia na investigative history! Je ni kweli Yoweri Museveni baba yake alitokea kwa abatwaa na mama yake alikuwa mtusi? Kama ni kweli je kwanini hawasaidii watwaa wenzie wanaokufa...
0 Reactions
9 Replies
382 Views
Habari wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa sana ya kupinga Vita dini na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe, na maneno haya utakuta...
3 Reactions
63 Replies
2K Views
Salam wadau, Huwezi kutenga siasa na maisha ya mwanadamu. Naomba niruhusu mjadala kabla ya kutoa mchango wangu! Karibuni!
0 Reactions
2 Replies
168 Views
Katika kandarasi nyingi wafanyakazi wasio rasmi /temporary worker aka vibarua, huigarimu kampuni almost 7-10, ya fedha za mradi although bajeti hii huwa imeainishwa ndani ya mkataba, tunashuhudia...
1 Reactions
10 Replies
384 Views
Mkuu wa Mkoa amesema ana taarifa za baadhi ya wilaya kuwa na wawekezaji waliotakiwa kulipa fidia Sh400 milioni kwa wananchi takribani, lakini wameshindwa kulipa huku wakiendelea kushika ardhi ya...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Nimeajiriwa ngazi ya chini Serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa. Mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo. Nina mawazo kuacha kazi...
30 Reactions
159 Replies
6K Views
The tale of Afande is somehow orchestrated by people inside the system, If you think well outside the box. Just try to remember when was the issue happened and it was in which situation a...
2 Reactions
17 Replies
435 Views
Habari zenu wana JF wenzangu. Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon. Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile 1)...
44 Reactions
463 Replies
43K Views
Dodoma mjini kati mitaa ya sokoni inanuka ushuzi kinoma, mitaro inayotiririsha majitaka kupeleka kwenye mtaro mkubwa iko wazi harufu mtindo mmoja.
1 Reactions
2 Replies
230 Views
Iko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea...
25 Reactions
85 Replies
4K Views
Raia wa Poland, Wojciech Zabinski, mmiliki wa hoteli za Pili Pili Zanzibar, anadaiwa kutafutwa nchini Poland kwa kosa la udanganyifu. Inadaiwa aliendesha shughuli zake za ulaghai Zanzibar kwa...
1 Reactions
0 Replies
523 Views
TATIZO DAMU YA MTU HAIFUKIWAGI NA MCHANGA. DAMU HUFUKIWA NA DAMU JUU YAKE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mambo ya kiroho na kimwili yanakanuni Zake. Ndàni ya Damu ya Mtu upo uhai. Damu ya...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
USALAMA WA KISAIKOLOJIA (Chanza cha maisha bora) Usalama wa kisaikolojia ni hali ambayo watu wanajisikia huru kutoa mawazo, kushiriki katika mazungumzo, na kuchukua hatari bila hofu ya adhabu au...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Back
Top Bottom