Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Fahamu kiwango cha fedha ambacho ukisafiri nacho lazima utoe taarifa TRA Mamlaka wa Mapato Tanzania (TRA) ambayo ndiyo yenye dhamana ya kusimamia masuala mbalimbali yahusuyo fedha imetangaza kuwa...
6 Reactions
87 Replies
17K Views
Kwa hali ilivyo sasa madereva kupigwa mpaka kuuwawa, abiria kushushwa kwenye mabasi kimafia na kuuwawa na matukio mengine mengi ya kiharifu, ni bora wamiliki wa mabasi mkafunga Camera hizi kwenye...
1 Reactions
6 Replies
269 Views
Mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria, Aliko Dangote (66), amerejea kushika nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi barani Afrika, kwa mujibu wa Orodha ya Mabilionea ya Bloomberg ya tarehe 7...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Wataalamu wa jadi wapo dunia nzima kila sehemu wapo. Katika maisha ya binadamu kuna mauza uza mengi sana. Kuna mda binadamu anashindwa kupata hata usingizi kutokona na mambo kuwa tight. Kila...
2 Reactions
7 Replies
351 Views
Anonymous (5a11)
Kulingana usaili unaoendelea wa idara ya Afya kupitia PSPR mikoani. Kumekuwa na hali isiyo ya uwazi katika kutenda haki ili kupata wasailiwa wenye vigezo vya kuajiriwa. Kwanza katika mchakato...
0 Reactions
17 Replies
590 Views
Tatizo ni nini? Sasa hivi kumekuwa na hofu kwa baadhi ya watu wanaokula samaki Sato na Sangara kutoka ziwa Victoria baada ya riport kuwa wakazi wengi wa kanda ya ziwa wanapata kansa na hili sio...
1 Reactions
3 Replies
743 Views
😂😂😂😂 hii ya kuandika barua imeniacha hoi jamani loooh! Soma: Shirika la Reli Tanzania (TRC) laomba radhi kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao
4 Reactions
22 Replies
773 Views
Kama mnavyojua katika Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2024/25 kuna kodi kadhaa zimependekezwa ikiwemo kodi ya kwenye Digital Assets. Bunge limeshatoa wito kwa wadau kupeleka mapendekezo...
0 Reactions
2 Replies
364 Views
Kazi nyingi sasa hivi hazitangazwi radioni, kwenye TV au magazeti hata za Serikalini Tanzania zinatangazwa mitandaoni. Vivyo ajira makampuni ya kimataifa au NGO za kimataifa au mashirika ya Umoja...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Trafiki ametushusha Abiria wote kwenye daladala, hajatupa usafiri mwingine kisa gari inadaiwa na Konda kamwambia “Hii trip ya kwanza, nitakuungia baadaye” Huyu Askari namba zake za kifuani ni...
0 Reactions
17 Replies
449 Views
Nimatumaini yangu kumekucha salama, wagonjwa na wenye changamoto ninaungana nao kuomba na kupambana ahueni ipatikane. Aidha ninaungana na wafiwa na wale walioguswa na msiba wa mzee wetu Ali...
1 Reactions
3 Replies
314 Views
Roho ya mwanadamu sasa hivi ina thamani ya bei ya miguu ya kuku ile inayochomwa na kuuzwa jioni, ROHO ZETU ZIMEKUWA CHEAP SANA. Utu wa mwanadamu sasa hivi una thamani ya nguo ya ndani(vyupi)...
7 Reactions
20 Replies
588 Views
Huyu bwana kwani ni nani? Kila upoteaji na upatikanaji wa miili kabla ya Polisi yeye ndio mtoa habari 🤔🤔🤔 Pia soma - Boniface Jacob: Ni lini Polisi Iringa itatoa taarifa ya miili ya vijana...
3 Reactions
82 Replies
4K Views
Hivi sasa usb cable fake zimezagaa tanzania nzima, yani ukinunua zinakaa mda mfupi tu zinaungua au zinakufa kabisa, na hazijulikani zipi ni original na zipi ni fake yani nyingi ni majanga sasa...
3 Reactions
59 Replies
7K Views
Wakuu, hivi hawa Bank teller wanawezaji kutoa fedha za mteja bila kuwa na namba ya siri? Utakuta unaenda bank kutoa millions 10 but ukifika bank unajaza fomu ya kutoa fedha, namba ya simu, then...
18 Reactions
84 Replies
3K Views
Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili. Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number...
1 Reactions
5 Replies
270 Views
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote...
55 Reactions
378 Replies
34K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kazi iendelee. Ilikuwa ni furaha kutoka Nyanda za Juu Kusini na kuja Ukanda huu wa Kaskazini mwa Tanzania. Jiji maarufu kabisa kwa...
33 Reactions
149 Replies
29K Views
Hii habari nimeiona Millard Ayo, wazee baada ya hili tukio Shivaz, kuna usalama kweli sasa hivi hapo, si patakuwa panawaka moto. Doria za 24 hours za polisi plus malaya wengine kuhama hiyo sehemu...
13 Reactions
180 Replies
17K Views
Huenda SGR inafanyishwa kazi kupitiliza uwezo wake kwa sasa ndio maana inapata majanga ya kukwama mara kwa mara, sasa TRC wajaribu kuipa mapumziko ya siku 3 kwa wiki. Yani ifanye kazi Jumamosi na...
1 Reactions
3 Replies
335 Views
Back
Top Bottom