Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wadau wa JF, poleni na pilika za maisha. Najua dunia hii ni ya mbio—asubuhi unakimbiza noti, jioni unatafakari makato ya kodi, na usiku unalala na ndoto za mafanikio. Kila mtu anahangaika, lakini...
25 Reactions
102 Replies
2K Views
Unaweza kukuta mtu siku nzima kashinda na njaa na kupata chakula ni mara moja. Kuna wengine hata uhakika wa msosi hana lakini huwezi kuona wanatetereka. Ramadan ikifika wengi hulegea na wengine...
7 Reactions
29 Replies
348 Views
Wasalaam, (Maalumu kwa kijana wa kiume kati ya umri wa miaka 20-30) Kwako mpendwa kijana wa kiume. Inaweza hii ikawa si mara ya kwanza kuona nyuzi za namna hii au zenye kufanana na hii...
43 Reactions
141 Replies
3K Views
Habari Mbaya sana. Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani. Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje. Huwa aka yake...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Anonymous
Habari Mimi ni kijana nipo Njombe Mjini, Hivi Karibuni Halmashauri ya Mji wa Njombe ilitoa Mikopo Kwa vikundi vya wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu zaidi ya Billion 1.8, Kikundi chetu Cha...
1 Reactions
15 Replies
353 Views
  • Redirect
Takwimu za hivi majuzi zinaonyesha joto limeongezeka sana kwa viwango vya kutisha, katika sehemu mbalimbali duniani. Here are some of the hottest recorded temperatures in 2024: Ouargla, Algeria –...
0 Reactions
Replies
Views
Wadau wa Jamiiforums, habari za wakati huu! Katika dunia ya leo, teknolojia ya AI imepiga hatua kubwa kiasi kwamba, usishangae siku moja ukiona video yako ukicheza ngoma ya asili na mababu zako...
8 Reactions
27 Replies
812 Views
Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam wamekamata Wafanyabiashara wawili waliokutwa na kosa la kuuza bidhaa ya nyama kwa kutumia mizani yenye kupunja uhalali wa vipimo. Akibainisha...
7 Reactions
32 Replies
852 Views
1: Matthew McConaughey 2: Denzel Washington: 3: Christian Bale: 4: Jim Carrey: 5: Tom Cruise:
5 Reactions
72 Replies
4K Views
Jamii, hii Barabara inayotoka Tengeru sokoni kuelekea Chuo cha maendeleo ya jamii na Chuo cha mifugo (LITA) Tengeru NI mbaya Sana, viongozi hebu tupieni jicho hii barabara inatesa Sana Kwa kweli.
0 Reactions
8 Replies
206 Views
Swali hili nauliza kwa sababu kuna jamaa anasema hivi, nitanukuu ila baadhi ya sehemu za majina nitaficha "Tulipokuwa JKT Afisa mmoja wa jeshi ambaye ni moja ya viongozi wakuu wa kambi ile...
7 Reactions
17 Replies
572 Views
Japan ina viwanda vingi, vya magari vikiwemo. Lakini bidhaa za Japan zinazoletwa sana nchini ni magari na, pengine, spea za magari. Kwa nini baidhaa zingine za Japan si maarufu nchini? Au...
3 Reactions
42 Replies
822 Views
Ijumaa ya tarehe 28 Februari haikuwa siku rahisi kwa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alipotembelea ikulu ya White House Marekani. Kabla hata ya mzozo ulioibuka kati yake na wenyeji wake Rais...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
1. Usimsaidie mtu bila kuombwa msaada. 2. Lazima ujue kuwa adui wako makubwa ni miongoni mwa ndugu yako. 3. Rafiki wa kweli zaidi ni wewe mwenyewe tu. 4. Ukiwa maskini utadharaulika mpaka na...
21 Reactions
25 Replies
702 Views
Alisikika kijana MMOJA Njau bar pale mbezi beach wakati alipokuwa akila kiti.moto na familia yake BAADA ya miaka Mingii kijana akitoka kazini anaitana na WALEVI wenzie na wazinzi wenzie wanakaaa...
6 Reactions
14 Replies
335 Views
Asilimia 90 ya watumishi wa umma Tanzania ni wa daraja la kati, wengi ni walio na diploma. Mishahara ghafi yao ina range laki 6 mpaka laki 8. Baada ya makato, wanaondoka na kama laki 5. Hapo ni...
24 Reactions
119 Replies
7K Views
Watu hutazama mieleka ingawa inachukuliwa kuwa "bandia" kwa sababu hutazamwa kama aina ya burudani, inayotoa hadithi za kuvutia, matukio ya kusisimua, maonyesho ya riadha na ukuzaji wa wahusika...
4 Reactions
36 Replies
816 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…