Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hello wakuu, kuna mahali nataka kuweka biashara, sasa hakuna frame (chumba) so nataka nijenge mm kwa makubaliano na mwenye eneo, ENeo la frame ni sqm 35 (7*5), hivyo naomba wazoefu wa ujenzi...
3 Reactions
14 Replies
949 Views
Dunia inabadilika kwa kasi sana, dini (Ukristo , Uhindu na Uislam) zinajaribu kwenda kinyume na uelekeo wa mawimbi, dini zinapingana na upepo, dini zimezeeka, dini zinaizuia dunia isisonge mbele...
29 Reactions
380 Replies
12K Views
Afya ya akili haipimwi kwa vile tunavyofanya peke yake, ila ni pamoja na vile tunavyokataa kufanya moja ya nguvu kubwa ya kuwa na afya bora ya akili ni uwezo wa kusema hapana, kama kwako neno...
0 Reactions
1 Replies
305 Views
Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
Habari Wana Jamii forum, nitumaini langu wote mnaosoma hii post muwazima. Ni kwa uchungu mwingi nawaleteeni discussion ya maovu mengi yanayofichwa nakusokomezwa chini ya jamvi yanayofanywa na...
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Wewe umejinasibu kuwa utafungua kesi kwa gharama zako hadi uhakikishe kesi ya Afande unashinda, watu wakakupongeza sana, leo kesi inatajwa huko Dodoma unapost kwenye page yako kuwa hujaenda kwa...
8 Reactions
17 Replies
488 Views
Mahakama ya Wilaya ya Mtwara, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kubainika kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka 15...
8 Reactions
104 Replies
7K Views
Shrikes ni jamii ya ndege kauzu sana. Wakikamata mdudu wanatafuta mahali penye mwiba na kumpachika mzima mzima na kuanza kumla taratibu.
1 Reactions
2 Replies
200 Views
TAARIFA KWA UMMA KUKEMEA UKATILI DHIDI YA MTOTO MALIK HASHIM KITUMBI KUKEMEA UKATILI DHIDI YA MTOTO MALIK HASHIM KITUMBI Dodoma, 19, Julai, 2024 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake...
1 Reactions
2 Replies
462 Views
Mahakama ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imemuhukumu kwenda jela kifungo cha maisha Ramadhani Bakari Iddi (46) mkazi wa Kilapula kata ya Ngomeni Wilayani hapo kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye...
0 Reactions
8 Replies
670 Views
zinajitegemea, basi mfungwa atatumikia adhabu moja moja na hivyo atatumikia kifungo cha jumla ya miaka 3o jela. Ushahidi wa upande wa mashtaka uliowasilishwa mahakamani Kwa mujibu wa ushahidi...
0 Reactions
13 Replies
667 Views
Mkazi wa wilaya ya Kilosa, Mohammed Salange amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada kukutwa na hatia ya kumfanyia ukatili mtoto wake wa kufikia wa kiume mwenye umri wa miaka 9. Makosa hayo...
2 Reactions
14 Replies
911 Views
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza linamshikilia Christina Shiriri (43) kwa jina maarufu Manka, mfanyabiashara na mkazi wa Usagara wilaya ya Misungwi kwa kosa la kumfanyia ukatili mfanyakazi wake wa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mtoto Shamsudini Jamadu Msemo (13), aliyemwagiwa mafuta ya taa na kisha kuchomwa moto na mama yake mzazi, amefariki dunia leo Jumanne Oktoba 3, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Mimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
27 Reactions
223 Replies
4K Views
Umasiki mbaya aisee, Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui...
30 Reactions
158 Replies
6K Views
Kila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana Wanainanga...
4 Reactions
34 Replies
723 Views
Wadau habarini, Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa...
3 Reactions
13 Replies
609 Views
Asalam aleykum. Leo sala ya Ijumaa nimesali Tabora Msikiti uitwao Shadhuly [ukitamkwa shazli]. Nakili sala yangu ilikua ngumu kwa sababu ya kupishana steps na wenzangu. 1. Rakaa ya pili baada...
20 Reactions
393 Replies
14K Views
Back
Top Bottom