Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Natumai mko salama. Ningependa kushiriki nanyi wana Jf kuhusu hali yangu ya kifedha na biashara yangu. Biashara yangu imekuwa ikifanya kazi kwa mwaka sasa, lakini mapato yameanza kupungua kutoka...
4 Reactions
12 Replies
464 Views
NAKUPENDA SANA KIJIJINI KWETU Tulio wengi Tumetokea kijijini kama sio sisi basi wazazi wetu na kama sio wazazi wetu basi hata babu na bibi zetu. Sisi ni wale watoto wa tabaka la walio wengi...
7 Reactions
18 Replies
592 Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema moja ya Wajibu wake ni kuendelea kuhamasisha ikiwemo kutoa Elimu ya Mlipakodi kwa Watanzania ili watambue thamani na Umuhimu wa Kufanya hivyo ikiwa ni kwa...
0 Reactions
9 Replies
712 Views
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe...
6 Reactions
63 Replies
2K Views
#AFYA: Wataalamu wa Afya wameonya kuhusu matumizi makubwa ya Dawa za Kuondoa Maumivu zikiwemo Diclopar na Diclofenac na kueleza kuwa yanasababisha madhara kwenye Figo ambapo mtu anayepata athari...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Unaweza kushangaa na hata kujiuliza kwamba mtu mchawi anawezaje kupigwa kujeruhiwa na hata kuuliwa na watu wa kawaida kabisa wasio wachawi Kuna baadhi ya mambo ni lazima uvae vazi maalum yani...
17 Reactions
175 Replies
34K Views
Mshukiwa wa mauaji Kevin Kang'ethe amesafirishwa kutoka Kenya hadi Marekani kujibu mashtaka ya kumuua mpenzi wake Margaret Mbitu. Kupitia idhini ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson...
2 Reactions
7 Replies
404 Views
Huu sio ushauri wa maisha! Ama niseme kwa lugha 'tata' kidogo kwamba, hiki ninachoandika - ambacho wewe unakisoma, sio lazima ukizingatie. Sijalenga kutoa ushauri kwa mtu yeyote, ila nimeamka leo...
6 Reactions
8 Replies
521 Views
Wala siwezi kuwa kama wengine wanaowatisha watu kuwa huku maisha magumu. Mgumu ni wewe. Vitisho mnavyosikia kuwa maisha ya Marekani ni magumu, ni sawa na vitisho vya watu wa Dar kwa watu wa mkoani...
6 Reactions
18 Replies
739 Views
Habarini Wadau, Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika...
7 Reactions
69 Replies
2K Views
Nijuavyo mimi ma professional wakweli hawatakagi kupangiwa na wanasiasa hasa kama kinachopangwa ni kinyume na taaluma yao. Kwanini polisi wakiambiwa kamata wanakamata kweli wakati wanajua wazi...
4 Reactions
12 Replies
470 Views
Kama mjuavyo mkutano wa 9 wa Ushirikiano wa China na Afrika unaanza Karibuni. Je kama Taifa Nani anatuwakilisha huko? Boeing 787 kwa hewa hadi China? I'm sorry Januari! NB: Katibu Mkuu wa...
3 Reactions
11 Replies
394 Views
Picha: Pinterest Mwandishi wa Sianca Sparacino katika kitabu chake cha "The Strength in our scars" anasema kuwa, kovu lako ni kumbukumbu ya mapambano uliyopitia na nguvu uliyo nayo. Lipokee kwa...
4 Reactions
6 Replies
220 Views
Ni nadra kuwakuta ila wapo na watu huwadhania ni jinsia tofauti ni mpaka wakijuzwa zaidi lakini mijadala huanza "huyu ni mwanaume kweli?" "huyu ni mwanamke kweli?" Unamkuta mwanaume ana hormone...
0 Reactions
34 Replies
931 Views
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida, Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Dodoma Mjini na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Jumapili tarehe 1 September 2024 walimbatana na wananchi waliovamia Kanisa la AGGCI...
1 Reactions
11 Replies
693 Views
Inasikitisha kuona Serikali inafukuza Watumishi wake waliowakopesha Nyumba Kwa Nguvu Kwa kushindwa kulipa deni lote ndani ya Mikataba wa Miaka 3-7. Imagine ameuziwa Nyumba Semi finished, aifanyie...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Dharau ambazo anazifanya kwa Watanzania na hata Kututukana Matusi kwa Makosa ya Wapumbavu kadhaa wa Kiimani kumuamini na kwenda Kanisani Kwake GENTAMYCINE nina uhakika angeifanya Rwanda kwa Kagame...
13 Reactions
98 Replies
3K Views
Huyu kijana mhuburi nimemuona akishika kasi kwenye mitandao ya kijamii siku za hivi karibuni. Sehemu kubwa ya mahuburi yake yamejikita katika kuonyosha kizazi cha sasa kinakabiliwa na mashambulizi...
7 Reactions
29 Replies
10K Views
Habari! Nilipomaliza form 6 zikatoka nafasi za kwenda jeshi wanaita "kwa mujibu" basi nikaangaza macho yangu kwenye orodha nikaona "Ephen - Rukwa" Basi nikafurahi sana, furaha haikua kwasababu...
144 Reactions
1K Replies
484K Views
Nikianza na Mali ghafi za misutuni Mbao ya mti Wa Muninga ya 1×10 inauzwa elf 75000-95000 kwa ubao mmoja; yaani kitanda cha kawaida kabisa mtu bongo unauziwa 950000/= Mti Wa mkongo napo fenicha...
41 Reactions
155 Replies
24K Views
Back
Top Bottom