Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ukifika Coco beach na gari utakaribishwa na mdau anayekusanya ushuru wa TZS 1,000 Kwa kila gari. Je, hiyo pesa inafanya kazi gani? Maana hata kile choo pale unalipia tena pesa. Uchafu umejaa kila...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kueleza kuwa kuna changamoto kubwa ya foleni eneo la Busisi kwa Watu wanaohitaji kuvumia kivuko kuvuka tangu usiku wa kuamkia jana Agosti 29, 2024, akidai...
0 Reactions
1 Replies
387 Views
Alitokea mzee mmoja na mwanae walikuwa wanasafir kwa kutumia punda so wakaamua kupanda wote kwenye huyo punda. Wakiwa njian wakakutan na kundi la watu likawaambia watu gan nyie msiokuwa na huruma...
4 Reactions
10 Replies
372 Views
Mungu huwa anadeal na individual yaani wewe kama wewe haangalii mass kila mmoja anabeba msalaba wake. Ndiyo mana yule mwanamke aliyetokwa damu mda mrefu alimuwinda yesu akiwa kwenye umati amshike...
5 Reactions
17 Replies
507 Views
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu...
8 Reactions
42 Replies
808 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Najua wengi wenu humu mmekuwa mkisumbuliwa na huyu mnyama/ndege aitwae popo katika mapaa ya nyumba zenu. Kwa leo nimejisikia ku-share na nyie dawa...
18 Reactions
52 Replies
25K Views
SERIKALI KUKARABATI MADARAJA YALIYOHARIBIWA NA MVUA. Naibu Waziri, Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa -TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema Serikali inatambua umuhimu wa miundombinu...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Unajua kuwa unaweza kuwa mgeni ambaye wenyeji hutamani aondoke haraka kwa sababu mbalimbali ikiwemo kukuchoka? Hali hii inaweza kukutokea wewe au mtu mwingine yeyote anaposafiri kwenda ugenini...
4 Reactions
7 Replies
785 Views
TAMISEMI wahamisheni Maafisa Utumishi waliokaa kwenye kituo kimoja cha kazi kwa muda mrefu (Zaidi ya miaka 5) maana utendaji wao wa kazi umekuwa wa kimazoea. Mfano kuna halmashauri moja Naafisa...
2 Reactions
3 Replies
353 Views
Yaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi...
18 Reactions
210 Replies
3K Views
Kuna jambo linastaajabisha sana kwa hawa ndugu zetu ma-askari polisi. Yaani polisi anaamka asubuhi kwenda kazini anaaga mke au mume, watoto, baba, mama kutesa au kuua binadamu mwenzake. Halafu...
1 Reactions
5 Replies
283 Views
The BRICS trading system is already wiping out US farmers, as global price discovery is destroyed (2024.08.29) Millions of tons of annual agricultural trade is now being conducted OUTSIDE the US...
2 Reactions
1 Replies
240 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Arusha, Agosti 30, 2024 - Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Hayo yameelezwa...
2 Reactions
1 Replies
221 Views
Imeundwa August 25/ 2024 na kufanyiwa maboresho August 26-27/2024 LOGO Imeundwa na Kamati yetu ya Ubunifu kwa kushirikiana na kampuni ya Strain Org inayomilikiwa na MwanaKigoma. Imeundwa Kwa...
1 Reactions
1 Replies
554 Views
Ndio hivyo kusifiwa tu kwamba fulani ana mkwanja mrefu hakuna jipya mengine yote hata wenye maisha ya wastani wanayo.
16 Reactions
66 Replies
1K Views
Kisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things. Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba...
8 Reactions
133 Replies
1K Views
Watu wanne wamenusurika kifo baada ya kupigwa na kukatwa mapanga pamoja na gari waliyokuwa wakiitumia aina ya Raum kuchomwa moto katika Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa...
2 Reactions
55 Replies
2K Views
Watumiaji wa X (Twitter) mliopo JF, naomba kujua X kwenye vifaa vyenu mnaipata bila matatizo? Kwenye simu yangu tokea mchana wa leo X haifunguki: kwenye app na web. Nimejaribu kutumia Proxy...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa orodha ya 'Bloomberg Billionaires Index' imemtaja Bilionea Johann Rupert kutoka Afrika Kusini kuwa Mwanaume tajiri zaidi barani Afrika Rupert anamiliki Kampuni kubwa duniani ya...
2 Reactions
5 Replies
638 Views
Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwana Joseph Mollel iliyopo Kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na Polisi baada ya kutuhumiwa...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom