Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (e29f)
Ukifika kivuko Cha Busisi mkoani Mwanza unakuta tangazo kuwa kuna changamoto ya chenji ya Sh mia, ukichungulia mezani kuna silver za mia Tano na mia mbili, nauli ya kuvuka ni TSH 400 kwa mtu mzima...
3 Reactions
6 Replies
791 Views
So kuna watu wanalalamika kua profile zao ni 100% lakini wakiomba kazi, application inafaili na kuambiwa waangalie vigezo. Kama umekutana na tatizo hili basi mi nimepata suluhisho . Kifupi ni...
1 Reactions
0 Replies
516 Views
Bali mpe Mungu nafasi akuunganishe na watu sahihi Wazo la leo Weekend njema
3 Reactions
1 Replies
129 Views
Kwa wale tuliosoma ifunda tech tunajua mziki wa engineering science (physics) sio poa. Mimi tangu nipo form one mpaka namaliza form six sijawahi kupata chini ya A kwenye somo lolote lile...
24 Reactions
403 Replies
39K Views
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeshiriki katika kikao kazi cha uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Maendeleo ya Filamu na Sanaa Tanzania linalotarajiwa kufanyika mwezi wa Disemba mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Anonymous (899a)
Kumekuwa na vitendo vya ufisadi unaofanywa na baadhi ya watumishi wa manispaa ya Ubungo kitengo cha wakusanya ushuru pale stendi ya mabasi Magufuli. Wakusanya ushuru Hawa kwa kushirikiana na...
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Jumamosi, 17 Agosti 2024 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuhusu zoezi la maboresho ya mfumo wa mita za Luku ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida...
0 Reactions
2 Replies
536 Views
I am not joking to any body/ faith but I think we have to use force or praying for our beloved sister and mother as well as brother and fathers to set them free from devilship chair. Majuzi...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Yani kati ya kitu kimoja kikubwa Tanzania imeshindwa kutoa huduma yake kwa angalau hata asilimia 30% ni huduma ya NIDA yani huduma hii imekuwa tatizo kubwa sana kwasababu inaweza pelekea mtu...
4 Reactions
23 Replies
574 Views
Naombeni mnifahamishe utaratibu mliofanikiwa kuhama taasisi moja kwenda nyingine hapa inakuwaje.. Naona inakuja option ya kuchagua mikoa badala ya kuja orodha ya taasisi then nichague taasisi...
1 Reactions
8 Replies
589 Views
DHANA YA MAUAJI YA KIMBARI NA UHALISIA WAKE Msamiati wa "mauaji ya kimbari" ( Genocide) ni msamiati ambao tumekuwa tukiusikia Mara nyingi tu hasa kwenye vyombo vya habari na Mara nyingi...
8 Reactions
21 Replies
5K Views
Taarifa kutoka Netblocks zinasema mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania --- Confirmed: Live metrics show that X (formerly Twitter) has been restricted on Tanzania's main internet...
9 Reactions
60 Replies
3K Views
Tunahangaika sana na Jeshi la Polisi kukimbizana na waarifu wanaofanya vitendo hivo. Lakini Binafsi, Sina hakika sana kama Kuna Sheria na kanuni ambazo zinaenda Moja Kwa Moja KUMLINDA MTOTO...
1 Reactions
9 Replies
495 Views
Hukumu inayotolewa na mahakama zinaathari kubwa Zinakuwa reference katika kesi mbali mbali zinazotokea na kutolewa uamuzi, katika maisha yetu, zikiwa mbaya zinaleta athari zaidi hata kwa mtoaji...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Heshima yenu wakuu, Summary: Msanii Mya (44 yrs) kafunguka hivi karibuni kwamba amekaa kwa miaka saba bila kufanya mapenzi, akihojiwa na Angela Yee msanii huyo wa RnB/Pop alifunguka hivi karibuni...
5 Reactions
39 Replies
1K Views
Kipanda cha Tanga Kibaoni, hakipitiki. Ni tope tupu na barabara ya pembeni hiyo ndiyo kadhia kubwa hasa. Irudishe kama ilivyokuwa zamani iweze kupitika ! achana na lami maana mmeshindwa!
1 Reactions
1 Replies
158 Views
Hatimaye Kwa mara ya kwanza nimeignore baadhi ya watu humu. I'm so proud to be "chujio" na sio kuwa "dampo" la kila taka🙏
3 Reactions
8 Replies
243 Views
Habari zenu, Huu ni uzi maalumu kwa watu ambao wanatamani kuacha kufanya jambo fulani lakini imekuwa ngumu kwao. Funguka hapa huenda ukapata msaada na ukaweza kuyashinda yanayokutatiza.
14 Reactions
260 Replies
7K Views
Narudia hii: 1. Kama hujawahi kwenda kwa mganga 2. Kama hujachanjwa Chale 3. Kama Sio mchawi 4. Kama huendekezi imani za giza 5. Kama utotoni wazazi hawajakufunga hirizi shingoni au mkononi. 6...
22 Reactions
88 Replies
2K Views
Maji ya Kilimanjaro hapo awali hayakuwa na ladha ya chumvi, ila haya ya siku hizi hili tatizo limekuwa sugu, nini sababu ya haya maji kuwa na ladha ya chumvi chumvi? Na ukikagua packaginh...
4 Reactions
63 Replies
5K Views
Back
Top Bottom