Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Naleta kwenu hili wadau naimani mtanishauri vyema. Nataka kucha kazi yangu ya ualimu niliyodumu nayo Kwa miaka mitano(5). Sababu kubwa za kuacha kazi. ( 1) Nilicho kitegemea na nilichokikuta ni...
10 Reactions
88 Replies
2K Views
Leseni ya USA ni kitambulisho cha hapa Tanzania kwa jina ID card kuwa wewe ni Mtanzania. Upande wa wenzetu waliona nini kwao ili.Wajuzi tuelewesheni
1 Reactions
18 Replies
297 Views
Mathayo 7:13-14 SRUV [13] Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. [14] Bali mlango ni...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Serikali imewatoa hofu watanzania wote wanaoishi na virusi vya ukimwi, kuwa dawa zipo na serikali tayari imesha andaa bajeti ya fedha zitakazo tumika kuhakikisha watanzania wanapata dawa hizo...
4 Reactions
11 Replies
498 Views
Siwezi kushangaa waziri mkuu akilalamika kuwa serikali kupitia mfumo wa kukusanya malipo wapigaji wakiwa wengi mpaka wengine kupelekwa mahakamani. Siwezi shangaa kuona TRA,bandari na mifumo ya...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Fikiria miaka 25 ijayo: Je, maisha yatakuwaje ifikapo mwaka 2050? Teknolojia inakua kwa kasi kuliko wakati wowote katika historia ya binadamu. Leo, tunaona simu janja, magari yanayojiendesha, na...
3 Reactions
3 Replies
164 Views
Sijui na bahati mbaya YAAN kila siku nikiangalia taarifa nakuta jamaa wanaelezea wahusika wamechekewa kutia taarifa moto ULIKUWA stage mbaya imesambaaa Sasa tunasaidianaje na hiliiiii Hili n...
0 Reactions
3 Replies
72 Views
Lugha ya Kichina inaendelea kupata umaarufu katika nchi na sehemu mbalimbali duniani, na vijana wengi wanapenda kujifunza lugha hii kwani imekuwa ni daraja la kuunganisha tamaduni za nchi...
3 Reactions
1 Replies
133 Views
Suala la matuta barabara ya Cheka - fery eneo la shule ya Meka na Dege centre. Pale shule ya Meka ndio kuna zebra kwa ajili ya shule ile yenye wanafunzi wengi tu wanaotoka mpaka Pemba, Mnazi na...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
Maudhui yanayotengenezwa kwa kutumia Teknolojia ya Akili Mnemba yanaweza kutumiwa kupotosha Uhalisia hivyo ni muhimu kujifunza namna ya kutofautisha maudhui yaliyotengenezwa kwa teknolojia hiyo...
6 Reactions
5 Replies
165 Views
Serikali imesema ipo mbioni kuanza ujenzi wa daraja la Ilembo lenye urefu wa mita 60 litakalogharimu kiasi cha Shilingi Bil.1.3 hadi kukamilika kwake lililopo Kata ya Mpui, Halmashauri ya Wilaya...
2 Reactions
1 Replies
87 Views
Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanja cha Kimataifa cha Ndege Wilayani Serengeti umesainiwa Februari 27,2025 Jijini Dar Es Salaam Utekelekezaji wa Mradi huo utasimamiwa Mhandisi Mshauri na Kampuni Binafsi...
1 Reactions
3 Replies
567 Views
Mimi sio mwanasiasa ila kuna kitu nimeona kwa huyu mwamba. John Heche kwa sasa ni Makamu mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA). Huyu mzee ameonyesha umahiri mkubwa sana toka...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Kampuni ya taski mtandao Bolt imeweka bayana madereva zaidi ya elfu arobaoni (40,000)wamefungiwa akaunti zao kutokana na makosa mbalimbali yakiwemo makosa ya uhalifu. Hayo yamebainishwa na Dimmy...
0 Reactions
5 Replies
204 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, ameonya vikali wakuu wa taasisi za umma dhidi ya upendeleo na mianya ya rushwa katika teuzi zao...
2 Reactions
8 Replies
233 Views
Habari! Naandika hapa huu Uzi Kuomba majibu kutoka kwenu. Naomba Kila mtu aniambie hii Hali hua ananiona inatokana na Nini? Na hii Hali ni nzuri kweli? Najua wengi tushaiona hata wengine...
2 Reactions
15 Replies
183 Views
Unapobaini kuwa Taarifa uliyokutana nayo Si ya Kweli, epuka kuisambaza kwa wengine kwani inaweza kuwa chanzo cha Migogoro na Taharuki katika Jamii. Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji...
3 Reactions
9 Replies
224 Views
Wande Mbiti (38), mkazi wa Kitongoji cha Busalala, Kijiji cha Nhelegani, Kata ya Kizumbi, mkoani Shinyanga, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba aliyokuwa...
2 Reactions
5 Replies
192 Views
Uvumi wa Taarifa zisizo za Kweli kuhusu Afya unaweza kuwafanya Wananchi kupuuza ushauri wa wataalamu, hali inayoweza kusababisha madhara makubwa kwa afya za Watu. Hakikisha Unathibitisha Taarifa...
5 Reactions
7 Replies
239 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…