Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Swali fikirishi:Kwanini tigo tu baada ya kubadili jina TTCL bando zilishuka bei ghafla. Siku ile ile tigo wamebadili jina na shareholder wakabadilika kwa baadhi, siku hiyo hiyo TTCL bando...
2 Reactions
10 Replies
385 Views
Vipaumbele vyangu nikipewa Kitengo cha ku Recruit Watu mahiri wa Idara za Usalama wa Taifa Barani Afrika vitakuwa... 1. Atokee kwa Wazazi wenye Akili Timamu na Koo za Watu Werevu 2. Ufaulu wa...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Naomba kujua hivi hawa mnaowaita sijui right handman / woman wa Marais duniani huwa wanakuwa 100% well Vetted na Idara za Usalama wa Taifa za nchi? Nitashukuru sana nikijibiwa na hata Kuelemishwa...
1 Reactions
12 Replies
709 Views
Watu wana shida kibao zisizotatulika. Watu wana matatizo mengi yaliyo juu ya uwezo wao; wanalia maisha magumu lakini hawana mlango wa kutokea. Watu wanatafuta “solution” ya shida za kifamilia, za...
6 Reactions
29 Replies
391 Views
WANAWAKE MUELEWE; KWA SISI WANAUME WATOTO WOTE SIO SAWA. TUNAWAPENDA NA KUBARIKI WALE WANAOTUSIKILIZA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kutuzalia Sisi tunaweza kukushukuru Sana lakini...
6 Reactions
40 Replies
717 Views
Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Wakuu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeelezwa kuwa vijana sita, wakiwemo mabondia wawili, walipanga kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo kwa lengo la kumlawiti na kumsababishia...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari yenu ndugu na jamaa zangu ! Kwanza ninge elezea kuwa hiki nilicho andika hapa sio hadithi ya kufikirika bali ni mambo halisi yaliyopo mitaani na kwenye yetu. Kwanza nianze na historia...
6 Reactions
126 Replies
2K Views
Je ni kweli kua mazoezi yanakula mwili?? Mwili ndio mwili Yaan unaisha
2 Reactions
7 Replies
141 Views
Tazama Ramani umekaa kizalendo zaidi, uwe wimbo wa Taifa haraka iwezekanavyo, Mungu ibariki Africa iwe sala ya Taifa. ===== 1. Tazama ramani utaona nchi nzuri Yenye mito na mabonde mengi ya...
4 Reactions
24 Replies
355 Views
Kwa sasa kumekuwa na msisitizo mkubwa mno makanisani watu kutoa pesa inayotajwa kama fungu la 10 (zaka) kiasi kwamba imegeuka kero kubwa kwenye jamii. Wanawake wamekuwa wahanga wa kuchotwa akili...
15 Reactions
61 Replies
3K Views
Rafiki yetu 2024 ndio anatuaga leo anakwenda zake,tulikuwa nae pamoja na changamoto za hapa pale lkn baadhi yetu hawakupata bahati ya kuwa hai mpaka leo na wengine masaa haya machache yaliyobakia...
6 Reactions
17 Replies
489 Views
Mwamba ameshuka kabisa hataki ujinga😂, ame-fume sana, na wala hajaomba refund Abiria wengine wamemzomea ashuke tu kwa maana anajiona yeye mtakatifu kuzidi wote. Vp kwa upande wako uaonaje hii...
20 Reactions
139 Replies
3K Views
Mbona maji umejua faida yake na ndo maana unayanywa Kwa bidii na chakula bora una jitahidi kuupatia mwili wako lakini kwanini nguzo moja ya afya bora unaipotezea? Nayo ni kufanya mazoezi walau ya...
5 Reactions
26 Replies
754 Views
Inasikitisha sana kusikia kesi za watu wanaojiua, ama kwa kunywa sumu, kwa kujinyonga, kwa kujipiga risasi au kwa kujitupa chini kutoka ghorofani. Wanaofanya hivyo huwa wanafikiri kwamba wakijiua...
3 Reactions
15 Replies
380 Views
  • Redirect
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (kulia) akizindua rasmi Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (Journalists Accreditation Board-JAB)...
0 Reactions
Replies
Views
Soma vizuri hasa huko chini kuna ujumbe wako. Mungu husimamia neno lake. Mungu ni mwaminifu, hadanganyi wala hadanganywi. Ukiomba kwake usipopata basi usikae kimya ukaanza kusema Mungu hajibu...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Watanzania kati ya vitu tunavyo ni JWT ni jeshi limezingatia weledi, mbinu imara katika medani za kivita Watanzania tuna Imani na jeshi JWTZ na tunaliamini sana Wanasiasa mmeharibu kila kitu...
11 Reactions
69 Replies
3K Views
Haya matambi yalioko mtaani sijui wanatengenzea kina nani, hayaelewiki hayapikiki. Soko huru liheshimiwe, watu washindane kwa ubora na si ukora. Halafu wafanya biashara kama wamekaririshwa...
32 Reactions
75 Replies
2K Views
Mwanaume kama unajitambua usioe.Kataa ndoa tunakusanua kimbia usioe.Ni mara elfu saba mara sabini uzalishe utunze ila kamwe usioeeeeeeee!!!!! Usioe mwanamke aliyesoma,kimbia usioe utajuta.Wenzako...
38 Reactions
250 Replies
4K Views
Back
Top Bottom