Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Tanesco tunaomba mtupe taarifa rasmi wakazi wa Kigamboni kuna shida gani mnakata umeme kila siku bila ratiba yoyote ili kufanya na sisi wananchi tujipange kuwa kuna mgao maana mnakata umeme saa 3...
0 Reactions
3 Replies
128 Views
Tasnia ya habari imevamiwa na magugu maji. MNA JUKUMU LA KUNG'OA MAGUGU Na N'yadikwa - Milima ya Umalila Hongereni kwa kuteuliwa. Kwa kuzingatia changamoto za uandishi wa habari na utangazaji...
2 Reactions
3 Replies
400 Views
Hivi ni watu kukosa akili ama ni nini? Au watu wameshaona fursa kwenye haya makanisa? Lakini hata kama umeamua kunyaka fursa uwe tajiri kama wachungaji na manabii wengine, ila ndio uje karibu...
7 Reactions
55 Replies
678 Views
Nina rafiki yangu leo kafikisha umri wa miaka 31. Sasa amenicheki hapa kuwa nimtumie zawadi ya muamala kwajili ya birthday yake: je hili limekaaje wadau wa JF? Mtu wa aina hii kijana mwenye...
2 Reactions
6 Replies
127 Views
Wahenga walisema "Usitukane mamba kabla hujauvuka mto" ishawahi kukutokea ukafikiri jambo ni rahisi ila ulivyolijaribu ukaona ugumu wake na ukahangaika nalo.
5 Reactions
51 Replies
1K Views
  • Redirect
Hello, nina 30yrs (girl) naish kwetu(nawish kutoka), natafuta kazi sipati, nina kabiashara kadogo kutwa nikifungua asubuh nakutana na kinyesi nje ya frem so biashara yenyew haitoki, sina...
0 Reactions
Replies
Views
Huwa tunasisitiza mara nyingi kwa kusema “Kwa Udi na Uvumba”. Sasa najiuliza maana ya ‘Uvumba’ ni nini maana Udi tunaufahamu.
4 Reactions
6 Replies
727 Views
Na Mwandishi Wetu, London. Askofu Lazarus Msimbe S.D.S wa Jimbo Katoliki Morogoro (pichani) amewataka Watanzania waishio nchini Uingereza (Diaspora) kutambua na kuendeleza mshikamano baina ya...
0 Reactions
3 Replies
89 Views
Wadau mimi ni rai wa tanzania. Naishi ktk mkoa mmoja miongoni mwa mikoa ya tanzania Lengo la kuja katika jukwa hili nikutaka kuomba ushauri maana naamini humu kuna wadau wengi wenye dondo ktk...
4 Reactions
17 Replies
306 Views
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua...
36 Reactions
753 Replies
134K Views
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama...
25 Reactions
256 Replies
17K Views
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha. Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Moderator naomba Uzi huu uache ujitegemee lengo lake ni kujifinza Wadau hamjamboni nyote ? Napenda kujua kama upo mwongozo wowote ule kiimani au kikanuni kwa mujibu wa Vitabu vitukufu kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET)imetoa rai kwa wazazi na walezi wenye watoto wanaosoma madarasa ya awali, msingi, sekondari ,vyuo pamoja na watu wenye mahitaji maalum kununua vitabu vya mitaala...
0 Reactions
4 Replies
95 Views
Ulimwengu (universe) una maajabu yake ila kwa Watanzania sidhani katika watu 100 unaweza kupata hata wawili wenye kujiuliza maswali na kuyatafakari kwa kina Enyi ndugu zangu ambao mmetenga...
3 Reactions
7 Replies
158 Views
Anonymous
WASALAAM, Napenda kumpongeza meneja wa NHC urafiki kilipokuwa kiwanda cha nguo zamani cha kanga. anafanya kazi nzuri sana ya kurekebisha miundo mbinu na kukarabati majengo ya flats za urafiki...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata...
24 Reactions
112 Replies
2K Views
Mwanangu hajui hata National Flag ni nini, hajui hata what is civics: Hajui hata fasihi ni kitu gani! Haelewi hata simulitenious equation inafanywaje nikiwa kama mzazi mzalendo ni vyema nikakata...
20 Reactions
74 Replies
2K Views
Back
Top Bottom